Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Nisaidie kutoa jibu
0 Reactions
2 Replies
196 Views
Ni mdada ana mchumba wake wana mwaka sasa Jamaa amekua na tabia ya kuwasiliana kwa siri na wanawake na dada akigundua jamaa anaomba msamaha yanaisha. Jumamos wazazi wa mume wamepanga kuja kupanga...
2 Reactions
54 Replies
4K Views
Thread closed
1 Reactions
67 Replies
7K Views
kuna mdogo wangu anamchumba wake ambae process zote za kuoana tayar japo jamaa kaomba hajajipanga kufunga ndoa sasa hv uchumi haujakaa sawa anaomba amchukue kwanza ndoa baadae bint amepanga...
3 Reactions
67 Replies
8K Views
Nataka nifanye maamuzi magumu ya kuachana na huyu Mwanaume, nahofia kitu kimoja 1) Ukweni kwangu pamoja na mume wangu hawana dini yaani ni waganga sana. Je watanibakiza? 2) Nilitolewa mahari mil...
12 Reactions
153 Replies
17K Views
Nimeulizwa swali kwangu limekua kidogo Mnaishi mke na mme mfano ndugu wa mume au mke anataka kuja kuishi hapo mnajadiliana Kwanza au mmoja ndio anapewa taarifa tu ndani? mfano rafik angu kuna...
1 Reactions
58 Replies
5K Views
Et hii imekaaje wanandoa wapya hamna mtoto hamna ugomvi mnamaliza wiki 2 hamjasex na mnalala kitanda kimoja shuka moja naked... hamna majukum makubwa Sana yakuwafanya muwe busy et hii...
2 Reactions
37 Replies
3K Views
Hope mko poa guys Iko hivi Dada anamtoto mmoja wa kike ana 5yr aliezaa nae alishafariki Sasa hv kaolewa na mwanaume mwingine hawajazaa bado wanakama miaka 2 wanaishi wote kiuhalali... Kabla ya...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Una mume mnaishi pamoja kama mwaka hivi, hamjabahatika kupata mtoto. Tangu umeolewa jamaa amekuwa mzito sana kukuhudumia na akitokea amekuhudumia, ni mpaka kumetokea ugomvi mkubwa. Yeye anachojua...
12 Reactions
143 Replies
12K Views
Mapenz ni nini jmn??? Nampenda nahisi moyo utasimama aisee ....akil aifanyi kazi kabisa...nifanyeje??! Kwann imetokea??? Dunia haiko fair kabisa Nashindwa kumwambia jmn nifanyeje Its serious love...
2 Reactions
77 Replies
5K Views
Jamani mlioko ndoani ndani ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje? Yaani mmewezaje kuishi wawili mpaka miaka hiyo Yaani mimi miaka 2 tu natamani dunia igeuke kichwa chini miguu juu.Yaani ukimuona...
33 Reactions
181 Replies
15K Views
Mdau (ke) yupo ndani ya ndoa kwa mwaka 1 Ila tabia ya mme wake inampa shida sana. 1). Jamaa mkimya sana akiamka asubuhi salamu anaaga anaenda kazini akirudi salamu anakaa kimya anakula ataangalia...
11 Reactions
55 Replies
5K Views
Ilikua mwaka 2017 nilipata kazi sehem flan kufika nikakutana na kaka mmoja mpole Sana asie na makuu alikua akisifika ofic nzima kwa hekima zake. Nilitokea kumpenda Sana Sana nikajisogeza karibu...
61 Reactions
267 Replies
30K Views
Huyu mzazi mwenzangu sielewi anatatizo gani. Ni miaka 8 tangu tumeachana tena sio kuachana aliniaacha kisa kapata mchumba mwalimu mi kwa wakati huo nilikua jobless na mimba ya miez 6 nikarudi...
36 Reactions
179 Replies
11K Views
Ninamtoto nae wa miez 9, tuko nae mikoa tofauti nampenda sana. Huyu kaka ni muhuni sana anamwanamke tena kazaa nae anamtoto wa miez 11 yeye wanafanya nae kazi sehemu moja. Huyu jamaa nampenda sana...
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Unakuta mtu kakutenda vibaya na majigambo juu but bado unampenda unashauriwa mpaka na wachungaji umsahau pamoja na mabaya mengi alokutendea bado moyoni hatoki na kuona hutakuja kupata kama yeye au...
1 Reactions
60 Replies
6K Views
Nimeulizwa swali hili na mchumba wangu ambae kila kitu tayari ikiwa kupelekana kwa wazazi na mahari tayari. Iii imekaaje jmn! Nb. Tunabariki tu ndoa kanisani...
1 Reactions
40 Replies
3K Views
Eee mungu nisaidie niweze kumsahau!! Sikutegemea kama ingekua hivi nilikupenda zaidi ya sana uliniahidi kunipenda upendo ambao sijawai pendwa!!!! Tulipanga mambo mengi...... kweli malipo ya...
1 Reactions
72 Replies
7K Views
Eti jamani mke na mume ni kawaida mume kwenda chumbani kulala saa 5 au 6 au 7 usiku kila siku? Yan et jamaa yake wakimaliza kula watu wote wanasambaa anabaki yeye na simu mpaka saa 6 au 7 ndio...
7 Reactions
37 Replies
2K Views
Eti hii imekaaje? Umeolewa labda tuseme miaka 5 nyuma miaka yote hiyo mmeo ni wa kimoja cha sekunde 2 kamaliza umejitahidi kila namna kumpikia vyakula vyakuboost tendo wapi na akimaliza...
9 Reactions
62 Replies
3K Views
Back
Top Bottom