Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kama mnavojua binadamu tumetofautiana uwezo wa utambuzi na uwezo wa akili.ndo maana wengine wanasahau sahau unakuta amekaa sehemu kainuka kaacha simu anafika mbele anashtuka kama kasahau simu...
0 Reactions
0 Replies
138 Views
MKAKA: Mambo.? MDADA:- Poa MKAKA: Pandezipi? MDADA:- Dodoma MKAKA: Unasoma? MDADA:- Ndio MKAKA: Hakika nimeona picture zako vile umedamshi nimetokea kukupenda ghafla! MDADA:- Una kazi gani? MKAKA...
4 Reactions
10 Replies
440 Views
Wasalaam JF, Chonde chonde mabaharia wenzangu tumia akili na maarifa katika mazingira yako yoyote yale, kuwa makini sana na afya yako. Wanawake wameamua wana kauli mbiu maisha ni mafupi...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Wanaume wa kiafrika ni dhaifu Sana mbele za wanawake. Kupitia udhaifu huu wameharibu Kazi zao zilizokuwa zinawasaidia kuendesha maisha na kuwapa heshima. Udhaifu huu umewafanya wameharibu ndoa...
15 Reactions
21 Replies
817 Views
Salaam, Kuna binti aliwahi nambia, wanawake hawana tamaa kama wanaume coz wao ni selective sana linapokuja suala la mahusiano. Alinambia, mwanamke kwa mwaka anaweza pokea order 100 hadi 1000 za...
5 Reactions
49 Replies
2K Views
Wapendwa nawasalimu. Leo Nakadori mimi nimekuja nikiwa mdogo sana, sio yule mliyemzoea siku zote, naomba kwa nia njema tu mnishauri. Ni ndefu ila naomba msome tu kwakuwa ni story ya kweli kabisa...
21 Reactions
404 Replies
17K Views
Napenda kuuliza haya maswali kwa wanandoa ambao wamepitia Talaka: 1. Ilikuja Kama surprise au ulitegemea? 2. Uliwezaje kuikabili? 3. Ukirudi nyuma utabadili msimamo? 4. X ana hali gani? Kwangu...
4 Reactions
6 Replies
259 Views
Aisee! Hadi nimechoka mwili, akili na roho Kuna mdada mzuri tu yuko na mama yake opposite na duka langu la maudambu udambwi ni mama nt'ilie. Huyu binti alinivutia sana tokea siku ya kwanza...
20 Reactions
36 Replies
691 Views
Marashi ya kujipulizia sio muhimu sana, na yanazidisha kero na usumbufu yakichanganyika na uchafu mkiwa katika faragha. Kujisafisha vizuri zaidi kwenye mikunjo ni muhimu zaidi na inapendeza zaidi...
2 Reactions
0 Replies
147 Views
Kwema wakuu, Yaani demu wangu kanisaliti na mtu mwingine. Yaani kakaza mpaka mi ndo imebidi niombe msamaha. Dah hatari sana kwakweli
8 Reactions
40 Replies
1K Views
Weekend ndio inaendelea hivyo nimetoka job. Gheto liko, kimya. Hakuna hata mwanamke wa kuongea naye. Hali ya upweke inanijia.. Nashika simu, upande wa contacts hakuna hata jina la kike nipige...
28 Reactions
106 Replies
3K Views
Hivi umewahi kujiuliza kwa nini wanaume hukasirika zaidi pale wanapogundua kuwa wanawake zao wanacheat? Iko hivi... Watu wengi (hasa wanaume) huamini kuwa wanaume ndio wanaongoza kwa kucheat...
17 Reactions
160 Replies
4K Views
Nipo kwenye mahusiano na binti 2 years aliasomea ualimu na kazi hajawah pata mahusiano 2 years hakuna nachofaidika zaidi ya mbususu hana offer yyte hata likitokea la kutokea napambana mwenyewe...
14 Reactions
31 Replies
1K Views
Moja kwa moja, wenye ndoa zao mkilala ukaletewa Makalio bumper to bumper huku wewe una stress zako kibao sana, huwa ni kama kero na stress zaidi. Mwenzio anakoroma wewe hesabu haziendi.
31 Reactions
225 Replies
8K Views
Wazungu wanasema " you will never miss your water untill your well gets/become dry, yaani umuhimu wa maji huja baada ya kisima kukauka. Nakumbuka nikiwa mwaka wa kwanza wa masomo yangu katika...
89 Reactions
209 Replies
26K Views
Baada ya kutumia kipindi cha maisha yako kujijenga, kuvuja jasho usiku na mchana, sasa umejipata au umeanza kuona mwngaza basi usifanye kosa la kuwa retirement plan ya mwanamke mpumbavu ambae...
60 Reactions
180 Replies
7K Views
Maybe bila yeye am just another lonely soul😔 I wonder au Niko na pretend kutotuma message mpaka aanze yeye and yet am dying inside. I think I'm acting tough for something I shouldn't, Iko hivi...
32 Reactions
498 Replies
16K Views
Hii ni tahadhari ila si sheria, amua mwenyewe kufuata qu kuacha. Kuna mikoa inasifika kwa wanawake watata na jasiri na kubishana na mume. Mkoa wa Mara. Wanawake hawa ni watiifu kwa waume lakini...
12 Reactions
84 Replies
4K Views
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Ndugu zangu naomba ushauri! Mimi ni mwanaume wa miaka 35 nimeoa mwaka huu mwezi wa pili na mwanamke niliyemuoa nimekuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka mitatu...
35 Reactions
229 Replies
10K Views
Katika nyakati hizi ngumu tulizonazo, mwanamke ukisikia mumeo anachepuka na mwanamke mwingine mshukuru Mungu. Sio kama nahamasisha uzinzi nje ya ndoa lahasha ila tambua kwamba kuna baadhi ya...
8 Reactions
19 Replies
1K Views
Back
Top Bottom