Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wapwa natumaini ni wazima wa afya na pia poleni na majukumu ya kulijenga Mi kijana wenu katika harakati nimekutana binti mmoja nimetokea ku fall in love tunapendana sana kuhusu kumuhudumia na...
0 Reactions
2 Replies
155 Views
HEllow Naumwa na upweke sina friend kipindi hiki nawezaje kuondokana na upweke?
19 Reactions
149 Replies
12K Views
Habari za mapumziko wana MMU!! Mwanajamvi mwenzetu chakii amefiwa na dada yake leo asubuhi huko Machame,Moshi. Taratibu za mazishi zinafanyika huko huko Machame. Mungu awape wafiwa imani na...
7 Reactions
135 Replies
7K Views
Enyi watoto wadogo, wakiume, wavulana nani amewaloga? Mmekuwaje mbona hamna hofu ya kuogopa wakinamama wakubwa waliowazidi umri mara 20000? Mnapata wapi ujasiri huo? story iko vile: Jana...
66 Reactions
383 Replies
37K Views
Wakuu habarini...??niende kwenye mada moja Kwa moja. Nimejaribu kupambana na haya maisha toka nimalize chuo mwaka 2018 lakini mpaka sasahivi bado sijajipata. Lengo langu nilitaka nipate maisha...
11 Reactions
54 Replies
2K Views
dereva funga brake tushafika kwenye party eeeh bwana eh kumbe bonge la party cheki mademu kibao utadhani kitchen party duh! cheki lile anti lililovaa skintight ee bwana eh! liko safi sio mchezo...
3 Reactions
7 Replies
407 Views
RIWAYA: BONDIA MTUNZI: HUSSEIN ISSA TUWA SEHEMU YA KWANZA Lango kuu la gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam lilifunguliwa na mtu mmoja mrefu alitoka nje ya lango lile kwa hatua za kujiamini na...
5 Reactions
240 Replies
47K Views
Wana jukwaa jumapili njema Swali langu kwa wadada na wataalam wengine wa mambo ya mahusiano,wanaume warefu,weusi wana nini cha ziada tofauti na wanaume wengine? Nimepata kuwauliza wadada...
8 Reactions
647 Replies
69K Views
Nina miaka 7 kwenye ndoa na watoto wa2. Niligundua mume wangu ana cheat akakiri na kuomba radhi. Mwezi sasa sitaki anisemeshe kwa mapenzi au hata aniguse nakumbuka kilichotokea na naona na huko...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Dada yangu alinitumia sms kuwa yu mjamzito nikaenda kumuona,nikajaribu kuhoji baba wa mtoto ni nani na kwa nini hawafungi ndoa? Akadai wanamipango hiyo. Juzi akanitumia sms kuwa jamaa ni mume wa...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Habari wana JF, Pokeeni shukrani zangu kwa kushiriki nami kwenye msiba wa mume wangu mpenzi (may his soul rest in eternal peace). Ahsante kwa JF - Arusha Wing na wote walionitia moyo na...
4 Reactions
35 Replies
2K Views
Faraja ha ndoa ni watoto tu, the rest is bullsht, even sex isn't fun anymore once you are in marriage. Babati mbaya kuna hakuna reverse gai. Kabla ya kuoa mwanamke ankua kama malaika vile...
12 Reactions
38 Replies
843 Views
Another day another story of my life, twende straight, Nikiwa na umri wa miaka 10 mpaka 12 nilianza kuwa mdadisi na mtundu sana. Nakumbuka chumbani kwa baba yangu nilikuwa nimeshachunguza almost...
52 Reactions
186 Replies
33K Views
Salamu sana wapendwa wangu. Kuna kaka nimemuona leo ofisi fulani ya umma, ni mzuri tena anaonekana ni "mtamu" kutia naye story. Wakati nimesimama zangu kwenye hiyo ofisi nasubiria huduma, huyo...
6 Reactions
58 Replies
5K Views
Wasalaam wakuu Kama kichwa cha huu uzi kinavyojieleza, Hivi ni kweli Wanawake huwa hamsamehi? Yaani hata mkiombwa msamaha mtakubali tu lakini moyoni mnakuwa mmelihifadhi tu hilo tukio/kosa...
5 Reactions
36 Replies
550 Views
Habari! Nimeleta huu uzi kwa maana vilio vimekua ni vingi mara usimuamini Mwanamke, mara Wanaume wote Malaya. Sa sikieni one day kuna mshikaji wangu nilimuuliza mbona una demu mmoja unajiamini...
6 Reactions
12 Replies
665 Views
Wakuu Kuna kautafiti kasiko rasmi nimekafanya,nimegundua wanaume kutoka hii mikoa ni wambea sana hasa maofisini. 1.Dar es salaam 2.Pwani 3.Morogoro 4.Iringa 5.Mbeya 6.Mtwara 7.Lindi 8.Tanga...
12 Reactions
55 Replies
1K Views
BASI BWANA! Jana usiku kuna jirani yangu amegombana na mke wake. Yalikuwa majira ya usiku mwingi kidogo, nadhani wengi walikuwa wamelala. Sikutoka nje, lakini niwe mkweli. Sikuziba sikizi lau...
27 Reactions
62 Replies
3K Views
Naanza Mimi. Imenitokea mara mbili; 1. Nilipigana kabisa na msichana flani tukiwa shule ya msingi (darasa la 6). Alinichongea kwa mwalimu nami nikamtafuta baadae na kuzibuana nae vibao; mitama...
4 Reactions
5 Replies
432 Views
Huu ni ushuhuda wa kweli. Kuna mwanaume amepata ushindi mahakamani dhidi ya gumegume, ambao inabidi tushirikishane hapa ili wanaume msiogope kuwafukuza wajasiriaNDOA a.k.a "makupe"au magumegume...
15 Reactions
72 Replies
2K Views
Back
Top Bottom