Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Bei elekezi ya kuhonga mwisho Tsh ngapi? Maisha yamebana Sana aisee
3 Reactions
17 Replies
585 Views
Ni mwanamke fulani mwenye akili na busara. Anayo namna ambayo huleta amani na faraja. Linapokuja suala la mume wake, kwa asilimia zote amejitahidi kumfanya mumewe ajione ni mwanaume bora. Amekuwa...
0 Reactions
0 Replies
180 Views
Siku hizi wasichana wengi wazuri au warembo, ili kuwanasa, lazima uwahonge pesa nyingi. Jamii imebadilika sana si kama zamani, ambapo mapenzi yalikuwa hayaangalii una pesa kiasi gani, mapenzi...
2 Reactions
13 Replies
650 Views
Jumamosi iliyopita tulikuwa na semina kanisani kwetu, semina hiyo iliyohusu mambo ya mahusiano mapenzi hadi ndoa ilichangamsha sana vijana wanaosubiria ndoa, maswali mbalimbali yaliulizwa na...
12 Reactions
92 Replies
5K Views
MCHOKOZE KIDOGO MPAKA AKASIRIKE ILI UJUE HEKIMA YAKE IKOJE 😊 Moja ya mbinu nzuri ya ki intelejensia ya kuijua hekima ya mtu ni kumchokoza makusudi mpaka akasirike 😊 Usiogope maamuzi yake...
5 Reactions
12 Replies
527 Views
Nina umri wa miaka 29, tangu nimalize chuo miaka mitano nyuma sijapata kazi, nikajiegesha kwa maza mmoja anafanya kazi benki kuu, anaishi maghorofa ya Mbezi Beach, aisee najuta, simu yangu iko...
22 Reactions
142 Replies
16K Views
Changamoto yao kubwa ni ujuaji mwingi hutoeza kumchit asijue, udanganyifu wowote ule unagonga mwamba Yani ni full mabishano. Ukiwa na Mali utapigwa bila kujua.
1 Reactions
2 Replies
212 Views
Relationships Do not Work Nowadays Because : 👉You Are Dating People Who Are Still In Love With Their Ex's, 👉You Suffer From "insecurities" you Didn't Create. 👉You Are Dating People Who Are...
1 Reactions
0 Replies
233 Views
Hili ni gumu kufikirika, ila ukikaza fuvu lako vema utang'amua! Nimetaja ndoa, ila of course ni kwenye mahusiano ya mapenzi baina ya mwanaume na mwanamke Tumezoea kuambiwa ndoa ni ya wapendanao...
5 Reactions
5 Replies
1K Views
Upara mara nyingi huleta hisia kali ya kujiamini. Wanaume wanaonyoa upara wao huonekana kuwa na ujasiri na salama katika sura zao, sifa ambazo wanawake wengi huona zikiwavutia. Zaidi ya hayo...
6 Reactions
36 Replies
1K Views
Iko hivi mr alikuwa mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Ni kitu kimekuwa cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya...
72 Reactions
352 Replies
25K Views
Japo kila mtu ana mapendeleo yake ila jamani mapaja manene manene nayapenda yananichanganya.wengine wanapenda wembamba eti kwa sabab wanachangamka kwenye game na rahisi kuwakunja..nyie acheni...
2 Reactions
4 Replies
263 Views
Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya...
31 Reactions
243 Replies
14K Views
Kwa hali hii nioe kweli? Kuna uncle wangu juzi kanywa sumu kisa amemfumamia mke wake. Huyo mke wake ni kicheche wa hatari hata mm hapa factor nimekimbiza sana lile gari, Kipindi hicho jamaa...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Kikalio ni kitu cha kuheshimiwa sana kwenye tamaduni nyingi.. Unapofika kwa mtu cha kwanza unachopewa ni kikalio... Kikalio chaweza kuwa kiti, jamvi au mkeka! Kiti ni mjumuisho wa kochi, stuli ama...
17 Reactions
44 Replies
6K Views
1. Bill Lugano 2. GENTAMYCINE 3. Chizi Maarifa 4. Deep Pond 5. Viatu vya samaki Kuna watu huwa nawasoma halafu nawaza watakuwa na sura gani? Umbo gani? Wanavaaje? Wanatembeaje? Wanaishije...
34 Reactions
387 Replies
14K Views
Ndugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka...
26 Reactions
167 Replies
6K Views
Naam kama heading inavyosema kwakweli kwasasa nimeanza kujichukia hasa upande wa mahusiano ya kimapenzi. Nianze nyuma kidogo ili uelewe kwanini yamenifanya kua katili na pengine inaweza ikawa...
16 Reactions
63 Replies
8K Views
Leo nimekumbuka kiss hiki cha miaka kadhaa nyuma..... Nilikuwa na rafiki yangu mpendwa alikuwa na mchumba ambaye ni shemeji yangu ambapo walikuwa mbioni kufunga ndoa.....na maandalizi na harakati...
26 Reactions
138 Replies
5K Views
Miezi kadhaa nyuma niliondokewa na baba mzazi,,, tukaanza process za mirathi, wiki iliyopita tumepata kama mil 18 kila mtu. Sasa huyu shemeji yenu simuelewi hapo nyuma alibadilika akawa...
27 Reactions
131 Replies
10K Views
Back
Top Bottom