Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kumpa mwanaume huduma zote za mke ikiwemo kumfulia, kumpikia,tendo la ndoa nk wakati hajakulipia mahari ni kuchafua nyota yako. Huo ndio ukweli japo mchungu Mwanaume lazima umnyime haki za ndoa...
4 Reactions
12 Replies
343 Views
Nawasalimia wana JF, hope mpo fine. Ebana hii nahisi siyo hali ya kawaida ni pepo mbaya, ipo hivi........ Katika kipindi hiki cha ujana na ukizingatia bado sijaoa mda mwingine unasafiri huku na...
7 Reactions
54 Replies
4K Views
Kulingana na tafiti mbalimbali duniani, imeonyeshwa kuwa mahusiano ya vijana chini ya umri wa miaka 25 huvunjika sana. Ni kawaida kwa vijana wa kizazi hiki kuanzisha mahusiano kirahisi na watu...
1 Reactions
2 Replies
568 Views
Wadau mambo ni gani aseee? Nimehitimu chuo mwaka 2020, BSC education chemistry and biology from SUA. Historia ya safari yangu katika elimu from primary mpka chuo ipo hivi... Kwanza nianze kwa...
8 Reactions
23 Replies
1K Views
Kama unadhani nasema uongo muulize Nikki wa Pili. Ama nasema uongo ndugu zangu?
13 Reactions
113 Replies
2K Views
Anauliza mdau wangu wa karibu ambaye tunaheshimiana na kushirikiana mambo mengi. Mimi na mke wangu tuna miaka mitatu tangu tuoane, Nampenda sana,na yeye ananipenda sana,sijawahi kushitukia...
21 Reactions
98 Replies
4K Views
Kama mada inavyojieleza Nimefanya kauchunguzi kidogo nimegundua mabinti wengi wanaotoka katika familia njaa/maskini mlo mmoja kwa siku wana tabia zifuatazo:- 1.Wanapenda sana kuigiza maisha...
23 Reactions
226 Replies
26K Views
BEST TIME TO MAKE LOVE TO YOUR SPOUSE Yes, you should make love anytime you both want to but here are strategic times you don't want to miss and means the whole world to your spouse. Make your...
2 Reactions
13 Replies
692 Views
Siku mbili tangu ziibuke taharuki na malumbano katika Mtaa wa Mabibo Wilayani Ubungo Jijini Dar es salaam baada ya nyumba zaidi ya nne na fremu zaidi ya tano kuvunjwa licha ya Mahakama kutoa zuio...
4 Reactions
35 Replies
1K Views
mimi nikijana nina amri wa miaka 26 nimeona na nimejaliwa kupata mtoto wa kike ila ninatatizo Fulani ambalo linanitatiza kipindi naoa mke wangu kuna siku kulitokea misunderstanding Kati yangu na...
13 Reactions
77 Replies
2K Views
Hello, Kuna ile situation unajikuta tu tayari kishaumana na mtu ambae hukumhisia kuwa na tabia za kikubwa may be kutokana na cheo/wadhifa ama umri alionao [emoji4][emoji4] Yaani ambaye ulidhani...
60 Reactions
333 Replies
53K Views
Poleni na nsiba wananzengo Mwaka 2016 kuna binti wa miaka 19 nilikua namla ,mahusiano yaliendelea hadi pale nilipompiga chini 2017 Baada ya muda tukarudi tena ila sikuwa na mzuka nae so tukawa...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
makontena mapya new era sura mpya mnasubiriwa kwa hamu na mabaharia wa vyuo wenye magetto mitaani hata wale wafanyakazi karibu na vyuo wanawasubiri kwa hamu kubwa sana kuweni makini mabinti...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Hi Jana nliona video afrimax, kuna bibi anaeitwa Sofia wa hapa hapa Tanzania anadai ana miaka 86 halafu bado bikra, hajaolewa hana watoto wala wajukuu, kwasababu kipindi cha usichana wake...
11 Reactions
20 Replies
1K Views
Ni ndugu yangu anaona muda unayoyoma ila hana confidence ya kupata bwana, hana kazi, mzuri ila ana chunusi( anadai hii ni sababu kuu), hatoki nyumbani at all... Nimejaribu kutoa tips kadhaa...
3 Reactions
39 Replies
4K Views
Kwema wakuu, Najiuliza nimfanyeje huyu jamaa. Anajua kabisa huyu demu alikuwa mchumba wangu na nilikuwa na malengo ya kumuoa lakini kamtongoza na kumpata na demu kanipiga mimi chini. Sasa nawaza...
15 Reactions
53 Replies
3K Views
Alinibania nikamvumilia sasa nikaona huu ni upuzi ya nn niteseke sasa baada ya kugundua nimeanza mahusiano mapya ameanza kuvurugwa. Kipindi sina demu alikuwa ananijibu kwa jeuri kwa sababu...
8 Reactions
25 Replies
968 Views
Niaje wakuu Hiki kisa Cha muda kidogo pia lengo la kuleta mkasa huu ni kuonyesha tu jinsi tukio hili la bila kupangwa lilivyo niletea heshima niliyokuwa navunjiwa Kwanza mimi kiasili nina aibu...
2 Reactions
23 Replies
4K Views
Tumeenda kwenye msiba wa mwenzetu mmoja kafiwa na mumewe.actually haikuwa hasa imepangwa iwe leo.lakini baada ya kusikia maiti inasafirishwa leo jioni basi ikaonekana ofisi nayo ihusike kwa njia...
13 Reactions
190 Replies
17K Views
Back
Top Bottom