Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kwa wanawake wote wajasiriamali wafanyabiashara na wengine walojipata ,mwanaume yeyote akija kukufata kukutongoza ukamuelewa ukaona kabisa maisha yako yanakwenda kubadilika kupitia huyo mwanaume...
4 Reactions
0 Replies
183 Views
Mwanaume kama wewe ni husband material tunza akiba tunza akiba!! yako dont restrain all your resource kwa ajili ya kusomesha watoto wako kwenye shule za ada ya juu au ufurahisha mke kwa kumpa 100k...
23 Reactions
73 Replies
2K Views
Salaam, Neno linasema wapendanao hufanyika mwili mmoja(waefeso 5:31) Ishara kuu ya kufanyika mwili mmoja na mpendwa wako ni kushare moment. MIFANO 1. Wakati unataka kumjuza umemiss uwepo...
4 Reactions
42 Replies
783 Views
Wakuu mm niko late 20s sasa bibi angu mzaa baba amekua akinisisitiza swala la kuoa ila namkwepa. Nilivyoenda nyumban bibi alienda kwa kaka zake kijijini akakodineti mipango kwa binti fulani hivi...
14 Reactions
99 Replies
6K Views
Wasalaam wana MMU. Nyuzi kuhusu ndoa kuwa ni chungu, yenye mateso zimekuwa ni nyingi sana humu jukwaani. Leo nimeona nitoe ushuhuda wa maisha yangu ya ndoa ndani ya miaka 14. Kwangu mimi ndoa...
16 Reactions
167 Replies
27K Views
Na Fred Putin. Jambo moja ambalo mwanamume anayejiamini hawezi kamwe kufanya hadi kifo kitakapomchukua : "KUFANYA PUSSY KUWA BWANA NA MWOKOZI WAKE BINAFSI. " Wanaume wanaojiamini hawaabudu...
2 Reactions
1 Replies
372 Views
Huniambii kitu hata! Mimi siingilii Uhuru wa maonî ya Watu walah! Kûna waliniita Mario, Kûna waliniita Serengeti boy, Kûna waliniita kibenteni. Basi kama mjuavyo Siku hizi Vijana Hawana Kazi, na...
3 Reactions
17 Replies
744 Views
Kataa ndoa naomba msome kwa makini sio kila mtu aliyepigwa matukio kwenye mapenzi anakata tamaa jumla. Haya maisha bila kuwa na mwanamke wa kuelewaka mtu utajikuta unalala hadi na kuku au mbuzi...
10 Reactions
78 Replies
3K Views
Baada ya kuleta uzi ambao nilieleza ya moyoni na wengi walipiga mawe, wengine wali nifananisha na baadhi ya watu humu japo kuwa mimi hata kwaa id nyingine sijawahi kujibu au kueleza chochote au...
3 Reactions
86 Replies
1K Views
Mara umekaa zako, mpenzi wako anakuaga kuwa ana safari kwenda kusalimia ndugu. Unamuaga vizuri, mara huna hili wala lile inaingia sms Anasema eti, "ukiona sipatikani, ujue ni mtandao...
8 Reactions
32 Replies
1K Views
Wanaume wanaosema usioe Mwanamke mwenye mtoto siwapingi aisee think umeowa mwanamke umemkuta na watoto halafu inafika Jumapili anakwambia nampeleka mtoto kwa baba yake anahitaji kumuona...
6 Reactions
20 Replies
703 Views
Mpendwa Bachelor, Ikiwa sababu kuu ya kuwa mwanamke ni kwa sababu ana kifurushi kikubwa cha mbele aka Manchester united na kifurushi cha nyuma aka Arsenal, basi hauko kwenye MAPENZI. Haijalishi...
6 Reactions
7 Replies
2K Views
Mapenzi ya sasa hivi yamejaa utapeli mwingi, huna kitu hupendwi mtu. Ukimtongoza tu mrembo, atakuuliza unafanya kazi gani, au unamiliki nini? Kama bado unajitafuta, utakutana na fedheha. Ila...
15 Reactions
70 Replies
1K Views
Wakuu nina swali ambalo nilishawahi kuwauliza watu mtaani lakini majibu waliyonipa hayajiniridhisha. Sasa kwa kuwa JF ni jukwaa lenye watu wenye profession tofauti tofauti natumai nitapata majibu...
0 Reactions
26 Replies
866 Views
Ivi ushawahi kukutana na penzi traaaaamu, traaaaaamu mpaka unashindwa kulielezea Taaaamu unaishia kusema yum yum kama chocolate yum yum Kama asali yum yum Au kwako bado mpo season 10 ya magomvi...
5 Reactions
51 Replies
730 Views
Habari wana JF, Ni asili ya mwanaume kuanzisha mahusiano na mwanamke ndio mwenye maamuzi ya kukubali au kukataa, hata kama mwanamke ataanza kumpenda mwanaume ni vema kusubili mwanaume aanze...
10 Reactions
12 Replies
1K Views
Naam wakuu. Baada ya kuelezea nilivyofanyiwa na watoto wa kike, kabla sijabalehe sasa nimekuja kumalizia visa nilivyofanyiwa baada ya kubalehe na hawa ndugu zetu wa upande wa pili. Kama ulimiss...
2 Reactions
12 Replies
5K Views
1. Kwa sababu sina hela 2. Sijui kubembeleza 3. Mda wote naitaka NB: Mapenzi yanawenyewe
5 Reactions
33 Replies
697 Views
Hii ndio sababu kuu inayowafanya wapenzi wenu watembelee maeneo ya starehe. Utapambana sana kumzuia; lakini atasingizia anaenda kucheki mpira, mara kupata moja mbili tatu, mara kusikiliza mziki...
2 Reactions
12 Replies
343 Views
Wakuu Habari zenu. Nina kisa hiki siwezi kisahau muda mwingine nikikumbuka nacheka. Kuna Manzi mmoja ofisini tulikuwa idara tofauti katika tasisi moja muhimu Dar es salaam Basi nilivutiwa nae...
12 Reactions
15 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…