Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

kweli muda unazungumza aisee kila kitu kipe mda Yaani kipindi nakua nilkua nahangaika na wanawake yaani ndugu yangu mmoja akaniambia utakuja kuwakimbia mweyewe wewe tulia tuu nikawa naona ni...
10 Reactions
25 Replies
2K Views
Hii lodge nikiyofikia Leo imenikumbusha mwaka 2015 nilipokuwa Arusha field kikazi. Naandika huu Uzi nikiwa hapa Musoma (lodge kapuni), sasa hiki chumba kinafanana sana na kile Cha Arusha (Cha...
39 Reactions
55 Replies
9K Views
Hapa Vip!! Juzi niliamua kufanya utafiti fulani ili nijue ni kwa Kiasi gani hiki kizazi cha sasa kimeamua kumuasi Mungu kwakukafanya vitendo vile vya sodoma. Ukweli utafiti wangu nilifanya kwa...
5 Reactions
25 Replies
19K Views
Kuna ile mwanamke unamwona au mnafahamiana. Muda si muda mnapeana namba na mawasiliano kuanza. Katika kuwasiliana, mwanamke anajiletaleta au kujitongozesha. Lkn inatokea mwanaume havutiwi na yule...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nahitaji wenye uzoefu au mifano halisi katika hili nisije ingia mkenge au kufanya maamuzi sio mazuri Nilikutana katika ofisi napofanya kazi na Mwanamke ambae tuliwahi kusoma wote...
8 Reactions
89 Replies
4K Views
Mrembo: unajua Penny, nimefurahi umeanzisha youtube channel buana, sasa kuna ishu nataka nikupe Money penny: enhe nambie mrembo Mrembo: kuna wanaume wawili wananitaka, Mmoja ni mtu mzima miaka...
7 Reactions
127 Replies
3K Views
Naomba tujadili kidogo je kufikisha miaka 30+ kwa binti bila kuwa na mtoto kwa misimamo ya kusubiri Ndoa ni sawa au si sawa
6 Reactions
144 Replies
16K Views
Habari wanaJamiiForums. Mimi ni mama wa watoto 2 wakike. Sipo kwenye ndoa kwa sasa Mume wangu alifaliki miaka 6 iliyopita. Na kifo chake kiliniacha maumivu makali sana sihitaji kukumbuka kabisa...
48 Reactions
517 Replies
34K Views
Dodoma kuna watoto wazuri asikwambie mtu. Ilivyobaki Laki 1 nanusu ndiyo akili ikarejea. Nimeambiwa kipindi cha Bunge ndiyo mambo yanakuwa hivi. Hili nalo mkalitizame.
36 Reactions
200 Replies
7K Views
Uzi wangu wa kwanza kuhusu mpenzi wangu kukataa kuja nami US ulipata wachangiaji kadhaa huku baadhi walionesha nia ya kuja na mimi. Basi nikajitosa kwa mmoja, kuja kukutana naye mtoto mashallah...
10 Reactions
60 Replies
1K Views
Habari za muda huu Wana Jf Kutokana na halihalisi ya mabinti wa Sasa hivi kujiachia sana Hali imezidi kua Tete sana, Mimi ni kijana mwenye umri wamiaka 27 nilikua nampango wakuoa mwaka huu baada...
10 Reactions
19 Replies
847 Views
Watanzania, hasa akina baba, tunao wajibu wa kuwalea watoto wetu kwa kutowapa kila kitu, hata kama tumejaliwa utajiri wa kutosha. Tunapaswa kuwafanya watoto wetu wa hustle ili wajue kuwa mali...
1 Reactions
10 Replies
454 Views
Situation One Marry: Shouger mwenzako V anapitia kipindi kigumu saa hii na hana dalili ya kutoboa leo wala kesho, ingawa anajitahidi kunipa mahitaji madogo madogo ya muhimu na ananijali sana but...
10 Reactions
14 Replies
720 Views
Hali zenu, SakoKwaBako! Kile nilichokuwa nahisi kuwa ni kweli, hatimaye kimejidhihirisha kuwa ni kweli, na hii imedhihirisha kuwa nilikuwa sahihi kuwaza hivyo. Tatizo langu ni la saikolojia...
19 Reactions
91 Replies
3K Views
Msimamo unilinde,siwezi kudate na mwanaume anayeishi Dar,yaani sijui kwa nini ila kwa kifupi ukinifuata pm ukishanambia upo Dar huwa sireply.moyo hupendi wanaume wanaokaa Dar Kama unakaa...
9 Reactions
100 Replies
8K Views
Ngoja niende moja kwa moja kweye mada husika, jana mida ya saa 10 jioni nilipokea simu kutoka kwa bi mkubwa mmoja wa makamo kidogo miaka kama 55 hivi, huyu bi mkubwa alikuwaga jirani yangu...
33 Reactions
286 Replies
28K Views
Habarini wana JF, Kwanza niwatakie heri ya sikukuu ya wapendanao mzidi kupendana. Tukirudi katika mada mimi ni mwanamke wa miaka 25 na mama wa mtoto mmoja. Nina mwenza wangu ambae ndio baba wa...
8 Reactions
181 Replies
16K Views
Habari wadau, Tumekua tukibishana na wenzangu kuhusiana na upendo wa kwanza yaani truly love. Kuna wanaosema upendo wa kwanza unakua wakujitoa sana yaani kama msichana ama mvulana anakua na...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Imekuwa ni hali ya kawaida kwa baadhi ya dada zetu kuvaa nguo zisizo na maadili. Je hii ni kwaajili ya kutafuta soko au fasheni. Na je wazazi wako na ndugu zako wanakuchukuliaje, na wewe...
0 Reactions
94 Replies
48K Views
Haijalishi mkeo kakuzidi umri, kipato au elimu usikubali mwanamke akuendeshe, usikubali dharau kutoka kwa mtu ambae unamvua nguo huo ni ubwege Mwanaume uwe na principle zako kama hawezi...
3 Reactions
9 Replies
783 Views
Back
Top Bottom