Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wajumbe mpoo.... Is Mr. Liverpool onces again na ileile kauli mbiu yake MSIOE MSIOE MSIOE ...!!! Twende kwenye mada; 1. 2007 Nilianza kufanya Kazi za ajira 2007 baada tu ya kumaliza form four...
48 Reactions
166 Replies
18K Views
Iko hivi, mwaka jana mwezi wa 12 nilienda mkoani nikakutana na mama wa mwanangu ambaye naweza kusema kama mahusiano ya kimapenzi yalikuwa yameshaisha tulibaki kulea mtoto... Sasa, nilifikia lodge...
13 Reactions
55 Replies
2K Views
Thamani Inamasharti Watu huonyesha kupendezwa na wewe unapokuwa tajiri, unapokuwa unawavutia katika kitu furani au haupo tena duniani. Madhara ya Hasira Maamuzi yanayofanywa kwa hasira...
2 Reactions
0 Replies
201 Views
Wakuu Leo nimeenda kula mgahawa Moja Stendi ya Arusha wali maharage wa 1500 jumlisha soda ya 1000. Baada ya hapo Mimi na rafiki tukarudishiwa Chenji yeye 2500 baada ya kutoa 5000 na Mimi 7500...
2 Reactions
14 Replies
503 Views
Ukishakua mwanaume tu, tayari familua wanakusubiri ukue uwakomboe, jamii inakuangalia wewe. Ukiwa na mwanamke au ukioa unategemewa kwa vitu vingi hata kama huyo mwanamke anajiweza. Wengi wetu...
6 Reactions
11 Replies
1K Views
Wadau mko poa!! I am doing well. Mtaa nilohamia mwaka huu mwishoni kuna ki sistaa flan, hiki ki sistaa kwao ni wafanya biashara wanamaduka ya vyakula na maduka ya dawa za binadamu...
14 Reactions
35 Replies
2K Views
Kama head inavosoma..... Binafsi juzi kuna mmama flani wa so Mzee ni kama mshangazi alikuja ofisini kwangu akihitaji nimrekebishie swala fulani. Sasa swala lenyewe lilikuwa ni app ya mesej...
22 Reactions
86 Replies
3K Views
Wazee kwema! Kuna shemeji/wifi yenu ukiachana na huyo bikra anayebana kutoa uroda ila yeye anataka kuhudumiwa. Huyu mchumba bhana anamalizia chuo mwaka huu nafikiri mwezi wa 8 au wa 7. Huyu...
9 Reactions
25 Replies
920 Views
Copy na kupaste.👇 MUME WANGU, SIWEZI KUSHINDANA NA MABINTI WADOGO WA MJINI. Alikuwa akisoma article fulani kwenye mtandao huku amekaa kwenye kiti kilichopo chumbani mwao.. "Darling...."...
1 Reactions
5 Replies
673 Views
1.Kuelewa chanzo cha hofu: Jaribu kuelewa chanzo au sababu inayosababisha hofu yako. Unapojua kinachokusababisha wasiwasi, unaweza kukabiliana nayo moja kwa moja. 2.Kujifunza mbinu za kupumua...
4 Reactions
7 Replies
531 Views
Hofu ni hisia ya kisaikolojia ambayo mtu huipata anapokabiliana na hali inayotishia usalama, afya, au ustawi wake. Ni majibu ya asili ya mwili na akili kwa hali zinazochukuliwa kuwa za hatari au...
2 Reactions
2 Replies
268 Views
Wataalam wa mambo... twende kazi.... Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu. Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka...
56 Reactions
142 Replies
6K Views
Natumaini ni wazima ndugu zangu Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako. Hadi sasa...
27 Reactions
92 Replies
2K Views
Ilikua siku ya ijumaa kuamkia jmosi, kjana nikavuta pisi moja ina makalio makubwa hivi bas bhana ikafika home tukapiga story mbili tatu kama mnavyojua kweny jinsia mbili bas tendo la faragha...
4 Reactions
29 Replies
1K Views
Kuna jamaa yangu Ni mkandarasi serikalini, mkewe Ni mtendaji. walijenga hapa Dar baadae jamaa kaja kuhamishiwa mkoani kikazi, ikabidi mkewe nae kikazi ahamie huko huko mkoani wilaya alipo Mumewe...
15 Reactions
269 Replies
12K Views
twajibiii mimi nikimpigia simu mtu wangu akawa anatumika nakuwa na mawazo na hasira juu nawaza vingi sana anaongea na nani? wanaongea nini? inamaana kuna mtu yupo wakumpigia simu na kuongea...
9 Reactions
42 Replies
923 Views
Habari za sasa wanachama wa Jamiiforums natumai wote ni wazima wa afya, nilikuwa na jambo lini kereketalo moyoni mwangu liitwalo “MAHARI”  Nilikuwa na tatizo na huu utamaduni ulio zoeleka hapa...
6 Reactions
177 Replies
6K Views
Naandika uzi huu huku nikiwakumbuka wengi waliokufa na gonjwa la hatari la UKIMWI kule kwetu Iringa Mafinga kwenye misitu mbao mji wa biashara mji wenye viwanda vidogo vidogo vingi vya mbao mji...
183 Reactions
793 Replies
69K Views
Nianze kea kuwapa pole wote mnaoteseka na maisha ya ndoa, Pia natoa pongezi kwa yeyote alie single kea kusema hongera 👋👋👋 Niliishi maisha ya ndoa KABLA ya kurejea katika ubachela tena ndio...
13 Reactions
40 Replies
1K Views
Ewe mwanamke Agnes kwa nini umeyafanya haya? Yani nimekukaribisha na kuwasululisha vizuri maugomvi yenu alafu nilipoondoka ukafanya haya? Uliomba msamaha wa nini sasa kama bado ulikuwa na...
46 Reactions
140 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…