Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kuna miaka bana nilibrowse simu nkaona nichat na bidada mmoja tukakubaliana atanitembelea mkoa nilipo, tulikuwa tunaishi mikoa tofauti. basi bana ikawa imeisha iyo, wakubwa hawatongozani...
25 Reactions
138 Replies
4K Views
Hii movement kwanza ni haramu na imeleta madhara makubwa katika jamii yetu ya sasa kuliko faida au tija. Watoto wetu wa kike wamekuwa brainwashed kuamini vitu ambavyo kiuhalisia havipo na...
9 Reactions
26 Replies
412 Views
HAbar za wakati. Nilikuwa namfukuzia Binti mmoja ambaye Kwa mwanzo tulikuwa na urafiki zaid ya mwaka na nusu ingawa alikuwa na mahusiano yake ambayo yalikuwa mkoani huko Baada ya kumueleza hisia...
9 Reactions
78 Replies
1K Views
Habari, Binafsi ni muuminini wa usafi na muonekano bomba iwe nje na hasa ndani. Kuna katabia ka mabinti kuvaa michupi mibaya huku inaonekana kama madekio. Utakuta mdada mrembo haswaa, ila...
19 Reactions
260 Replies
46K Views
Zamani mwanamke aliyeachika au kutalikiana na mmewe alikuwa hatakiwi kabisa kupewa nafasi yoyote ya uongozi katika jamii. Jamii ilifanya hivyo ili kupeleka meseji kwa wengine kuepuka kuishi...
20 Reactions
44 Replies
1K Views
Utafiti umeonyesha kwamba wanandoa wanaolala uchi pamoja mara nyingi wanaripoti viwango vya juu vya kuridhika katika mahusiano yao ikilinganishwa na wale wanaolala wakiwa wamevaa mavazi. Katika...
5 Reactions
28 Replies
754 Views
Wakuu nawasalimu, Je wanawake hupiga punyeto?how often?Na kinachowasukuma kufanya hivyo ni nini?huwa wanaweza kuacha haraka wakiamua au nao husumbuka kama wanaume? Alamsiki!
2 Reactions
49 Replies
9K Views
Nasema hivi watu wenye furaha na amani katika kuishi ndoa ni waislamu peke yao kwanza mwanamke na mwanaume wote wanaandaliwa kiakili, busara na hekima za kuishi maisha ya ndoa. Dini nzuri hii pia...
16 Reactions
81 Replies
2K Views
Nitakujuza tu yoyote unayemvulia chupi ama suruali yako kama sio mkeo wa ndoa kitendo cha kuingiza dudu lako kwake nikujuze anaondoka baraka zako Haijalishi amevaa hajavaa condom nitakujuza NDUGU...
6 Reactions
36 Replies
828 Views
  • Redirect
Wakuu, Wakati mwingine kataa ndoa huwa wana hoja muhimu sana wasikilizwe. Mimi nilioa miaka mitatu iliyopita,tukajaliwa kupata mtoto wa kiume mmoja,tangu mama mtoto wangu ajifungue miaka miwili...
11 Reactions
Replies
Views
Kwanza niombe radhi kwa kuleta uzi huu kwenye mwezi mtukufu. Hii tabia nimeivumilia lakini nimeshindwa, wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali wanatabia ya kusimama na kushikana sehemu ambazo watu...
12 Reactions
55 Replies
964 Views
Salaam, Baada ya kuwaza sana na kuwazua bila kupata suluhisho la changamoto ninazopitia kwa sasa nikakumbuka kipindi nipo kambini JKT, nakumbuka afande mmoja mnoko alituambia maneno ya ajabu sana...
8 Reactions
33 Replies
10K Views
Mtu anaweza kukuharibia upako wa jumapili kwa request za ajabu. How come Mwanamke anaomba atumiwe video za utupu Nianze kuinstall VPN niingie pornhub ni download X then nimtumie Mimi nimemwambia...
6 Reactions
30 Replies
698 Views
Salute mates... Kwenye mizunguko yetu ya maisha kuna wakati unakua upo very attached na mtu Fulani either ni rafiki wa kawaida kama Man to man au Man to woman, pengine ni mpenzi wako umpendae...
212 Reactions
2K Replies
196K Views
Za jioni, Well kuna kamsemo kanasema kuwa starehe ya masikini ni ngono. Well napingana na hiyo kauli kwa 100% mimi naamini kuwa wanaume wengi duniani kama sio wote tunapenda SEX kuliko chochote...
13 Reactions
87 Replies
2K Views
Copy and Paste πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ I cheated on her, and I don't even know if she knows. I came home yesterday from a business trip, and I found a big photo of my side chick in my living room. She made a huge...
13 Reactions
38 Replies
1K Views
Habari humu ndani natumaini mkoa poa kabisa ila kwa upande wangu siko sawa yaani Sina amani Sina Raha daaah ☹️! Ebana nisiwachoshe sana IPO hivi wiki 3 KABLA nilikuwa natoka kwa mteja kuset dish...
13 Reactions
68 Replies
2K Views
Katika jamii ya sasa kumekuwa na mkaranganyiko wa kifikra kutokana na kukosekana kwa elimu na mifumo sahihi inayoweza kutanabaisha mahitaji sahihi ya jinsia moja kwenda nyingine. Mwanaume...
29 Reactions
46 Replies
3K Views
  • Redirect
Msaada wadau, moja kati ya vitu ambavyo katika maisha yangu niliplan sitokuja kuishi au kuoa mwanamke ambaye kashazilishwa..Hii leo nimempatia mimba binti wa watu ambaye kashazalishwa na...
4 Reactions
Replies
Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…