Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

MWANAMKE ANAYEJITAMBUA HAWEZI KUWA MCHEPUKO AU MKE WA PILI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Binti yàngu, kwetu Watibeli ni mwiko Kwa Binti zetu kuolewa Mke wa Pili au Uke Wenza au Kuwa...
14 Reactions
299 Replies
6K Views
Yule mwamba aliyenyimwa mke siku ya harusi kwa kisingizio cha kwenda kwenye send off akiwa chakari,amepewa tuzo. Amepewa tuzo ya mwanaume bora wa mwaka na waziri Doroth Gwajima Kwa kweli jamaa...
51 Reactions
235 Replies
8K Views
just curious, habari zenu wadau! nimejiuliza sana hili suala la muda mrefu! nimeona sasa ni bora nililete hapa tujadiliane! imekuwa kama kasumba hivi kwa wanaume kulilia wanawake wenye bikra...
3 Reactions
112 Replies
14K Views
Jamani wenzangu tuliomo kwenye ndoa zaidi ya miaka 15 njooni tupongezane ndoa sio mchezo wa Simba na Yanga ndoa inahitaji mental maturity and stable income, hususani ukiamua kua na wake wawili...
6 Reactions
53 Replies
1K Views
Ushawahi kujiuliza kwa nini wanaume waliofanikiwa wanaoa la Saba B? Au kwa nini kinamama wengi wenye kazi zao na pesa nyingi hawajaolewa? Zama zimebadilika, zamani wanaume walifanya shughuli zote...
21 Reactions
67 Replies
2K Views
Hawa wanawake sijui wana shida gani!? Wakiwa hawajaolewa wanahangaika kwa manabii na waganga ili wapate ndoa. Ila wakishaolewa kutwa kuhangaika kurukaruka kutaka kugawa utamu wa ndoa kwa sisi...
11 Reactions
36 Replies
2K Views
Mi binafsi nasema hata ziwa lilale kama banzoka iliyopitishiwa moto bado Robot hawawez ziba nafasi yetu wanawake.... especially kwenye vitu hiv: 1.Robot hatoi utelezi ila anawekewa 2.Robot hana...
64 Reactions
659 Replies
26K Views
Au nasema uongo? Tazama ana umuhimu gani kwako...kama hana faida yoyote kwako....huyo hakufai....unataka mume mwajibikaji kwa familia nae anatimiza ipasavyo ila ana tatizo la kupenda...
45 Reactions
235 Replies
6K Views
Assalam Aleykum ndugu zangu waislam na wakristo. Kwa asili mimi ni mtu niliye huru zaidi kutoa hisia zangu kwa maandishi kuliko niwapo ana kwa ana na watu. Leo niko na hisia za furaha sana na...
40 Reactions
118 Replies
6K Views
Habarini za jioni jamani nimewakumbuka wanajukwaa!! kama kichwa kinavyojieleza ushauri uzingatiwe kwa maendeleo ya taifa NB; Nimeona nisipite bure kwani nimewakumbuka familia
4 Reactions
14 Replies
464 Views
I'll never forget such kind of moment in my life. Ile wamepika matoke wakayachanganya na maharage, plus matumbo ya ng'ombe, karanga za kusiginwa plus karanga za kutafunwa, humo humo mfuru, kha...
18 Reactions
43 Replies
2K Views
Simulizi hii inaletwa kwako kwa hisani ya binti wa kiroho wa pastor Anni Kaleb. Shuka nayo kama binti anavyomsimulia mamaye wa kiroho...... Pastor Anni acha Leo nikupe story ya Ndoa yangu...
2 Reactions
1 Replies
732 Views
Kabla ya mwanaume kumtongoza mwanamke huwa anaangalia hadhi (social status). Hadhi ya mwanamke inajengwa na vitu vifuatavyo:-elimu, fedha, cheo na uzuri wake. Hadhi ndiyo Kinga inayochuja na...
4 Reactions
47 Replies
1K Views
Aisee bora kufa kuliko kurudiana na muuaji.
2 Reactions
11 Replies
310 Views
Habari za wakati huu! Wadau wa JF, nina girlfriend lakini hapendi kabisa nishike simu yake kinamna yoyte Ile. Hili linafanya niwaze, ilikuwa hivi, leo alikuja nyumbani asubuhi tumekaa, tumefanya...
15 Reactions
136 Replies
3K Views
Kuna baadhi ya watu wameamua kutokuwa na watoto na wana sababu zao za msingi, Sababu zao, Hawataki kujipa kazi ya kulea kwasababu kulea ni kazi kama kazi nyengine uzijuazo. Hawataki matatizo...
5 Reactions
18 Replies
529 Views
Mtu mnakaa miaka mpaka sita mara miezi saba!!.. kwanini..? hamuoni kama mnapoteza muda,mnachunguzana nini kwani kuna mtu ametokea sayari tofauti na hii..? au umeambiwa unaoana na alien...
9 Reactions
23 Replies
565 Views
Jichunguze tabia zako kama unajijua huwezi kutulia na ndoa yako tuliza kizazi alasivyo tutakikata!. Unaoana ili iweje ukijua utamletea mwenzako balaa!,kama hicho kipaji huna jishughulishe navitu...
13 Reactions
16 Replies
313 Views
Ningependa tushare experience hususani ya malezi ya mtoto chini ya miaka sita ukiwa kama baba yaani full responsibilities kuhakikisha mtoto anapata huduma zote za msingi. Binafsi Nina mpango wa...
2 Reactions
8 Replies
262 Views
Back
Top Bottom