Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

TALAKA AU KUACHANA KUNAWAATHIRI ZAIDI WATOTO. Sehemu Ya 1 Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na changamoto nyingi sana katika ndoa na mahusiano hali inayopelekea ndoa nyingi na mahusiano mengi...
3 Reactions
13 Replies
948 Views
Ni rafiki yangu anafanya biashara zake mikoa fulani alikuwa na mpenzi wake wakaachana mazoea yalipoanza na mdogo wa ex- wake alikua ananiomba ushauri sana anamkataeje dogo maana dogo alikua...
1 Reactions
14 Replies
616 Views
Kama unataka drama za ajabu ajabu na mitafaruko isiyoweza kuepukika basi date mwanaume ambae hanywi kilevi chochote au havuti. Utaona dunia chungu. Wanajikutaga wajuaji alaf wengi wao ni...
17 Reactions
83 Replies
2K Views
Hello JF, Wanaume kwanini mnakuwa hamjiamini ukiwa kwenye mahusiano Na mwanamke au ukioa mke aliyekuzidi kipato ingawa unakuta anakuheshim vizurii. inferiority inampelekea mpaka mwanaume kuanza...
1 Reactions
9 Replies
503 Views
Unaweza kuingia sehemu za kupumzikia wageni mathalani hotelini, guest house au lodge usikute box au pakiti ya kondomu mezani, hata sabuni siku hizi mpaka uombe kwa muhudumu tofauti na kipindi cha...
8 Reactions
57 Replies
2K Views
Nilipata mwaliko wa kwenda huko mkoani kwenye tukio la rafiki yangu mmoja, nikaona si vibaya nikaongozana na bibie. Bibie akanipa bajeti yake kuanzia mavazi pamoja na vitu vidogo vidogo, ikabidi...
19 Reactions
187 Replies
4K Views
Nmekuwa nikishuhudia baadhi ya watu wenye visa kama hivi: Unakuta mtu ana maindisha misosi, anafunga friji na funguo ili tu watu wasile matunda au maziwa ambayo ni ya familia ambayo hata hajui bei...
7 Reactions
119 Replies
10K Views
Habari JF hii ndio Inaitwa VITA Ya Kiroho katika Ulimwengu Wa Mapenzi Twende moja Kwa moja Kwenye mada IJUE VITA YA KIROHO YA MAPENZI. UMEMUAGA mkeo unaenda kazini, ukapita kwa mchepuko wako...
1 Reactions
4 Replies
730 Views
Kaa ukijua mume wa mtu hakuna mapenzi ya kweli, alitakalo likitimia hana muda na wewe. Usilogwe kumpenda mume wa mtu, mwisho wa siku atakuacha peke yako. Bora kupambana na hawa papatu papatu.
18 Reactions
111 Replies
6K Views
Habari ndugu zangu. Miaka miwili iliyo pita nilitongoza Binti mmoja mitaa ya home akanichomolea nje.sikukata tamaa mapema nikamrudia kipindi Cha pili majibu alio nipa ni kama hapo juu kichwa...
15 Reactions
55 Replies
2K Views
Wengi wao wakiachwa au ndoa zikiwashindwa huwa wanarudia tabia zao mbovu. Rejea: Dada mwenye Msambwanda heavy East Africa nzima, sasaivi amerudia uhalisia wake wa kupost picha za hovyo. Mjanja...
3 Reactions
5 Replies
408 Views
Salaam kwenu nyote. Ninaomba ushauri wenu kwenu Kaka zangu na Dada zangu. Mimi ni binti. Nimekutana na changamoto katika mahusiano yangu. Kisa ni hiki. Nilikuwa katika mahusiano na kijana mmoja...
18 Reactions
149 Replies
8K Views
Miaka mitatu iliyopita nilioa mwanamke kutoka familia ambayo alikuwa na wazazi wote, kwa kweli ndoa ilikuwa pasua kichwa, mwanamke akajaza vitimbi Siku moja nikamwambia mjomba wangu kuhusu hali...
76 Reactions
188 Replies
11K Views
Niliamini huyu ndio wife material wangu bana Basi yule mtoto akanionesha ishara zote za kunihitaji si nikajifanya nice guy eti sitaki nimuumize mtoto wa watu nimuache tu aende...
7 Reactions
22 Replies
1K Views
Unakua mchoyo wa penzi, halafu matokeo yake ukifika nyumbani unaishia kupiga punyeto,huku ukijutia kupoteza fursa uloikataa bila sababu ya msingi, baada ya kuombwa penzi na mtu wa maana sana. Na...
2 Reactions
27 Replies
1K Views
Habari za kazi wanajamvi! Ninawasalimu kwa jina la JF....! Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30, namshukuru Mola nimejaliwa mke mzuri na mtoto mmoja. Pia Mola amenijalia kazi nzuri ambayo...
15 Reactions
168 Replies
16K Views
Wana jamvi salaam, Naona huyu shemeji yenu majukumu ya chumbani yamemshinda, kwa wiki tendo mara 1 au 2 au 3 hapo kajitahidi (tena kila wakati mimi ndio nakumbushia, yeye wala), siku nyingine...
72 Reactions
336 Replies
34K Views
Kuna mwana, alizifuma text za mke wake zilizoonesha dhahiri shahiri ametoka kuliwa dodo siku za karibuni nyumba ya wageni, mwana kaomba kila mtu ushauri wengi walimpa ushauri kuwa asamehe walee...
22 Reactions
36 Replies
2K Views
Aiseee nilikua namsumbua na kumchukulia poa, lakini siku yakesho anaondoka kwenda Urusi kusoma, nimeanza hisi simanzi na upweke moyoni mwangu. Nimegundua kumbe huyu binti nampenda, inaniuma...
17 Reactions
99 Replies
2K Views
Katika hali isiyo ya kawaida katika Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, Edward Futakamba Mkazi wa Kata ya Nsemulwa amewashangaza wengi baada ya kufanya sherehe ya harusi licha ya Bibi harusi kugoma...
14 Reactions
31 Replies
2K Views
Back
Top Bottom