Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Moja kwa moja niende katika mada. Leo asubuhi kama kawaida yangu kuna mahali huwa naenda kunywa chai, ni mgahawa wa jamaa yangu mmoja wa karibu, nimekunywa chai, nilipomaliza nikaona kuna funguo...
51 Reactions
527 Replies
96K Views
Wadau habarini, Kuna mwanamke mmoja nilikuwa na mahusiano nae, baada ya miezi mitatu ananiambia ana ujauzito nilipomwuliza kwa kina akasema ni wangu. Baada ya wiki mbili akanionesha mstar...
8 Reactions
22 Replies
2K Views
Hakika mapenzi matamu. Shemeji katoka - South Africa kapata chombo Tanzania
10 Reactions
21 Replies
2K Views
Mahusiano yana mengi sana. Kuna nyakati unakuwa na mtu anayekuonesha mapenzi ya dhati, anakufanyia kila kitu lakini haum'feel kabisa. Unajaribu kumkasirisha ili labda akasirike akuache lakini...
10 Reactions
41 Replies
2K Views
Yaani nikipewa jumatatu, jumanne, jumatano na alhamisi anakuwa amechoka, na tena inakuwa ni kimoja. Sasa unajua mimi bado ni kijana lakini kuna wakati hili suala linanifanya nakuwa na hasira...
6 Reactions
77 Replies
1K Views
Habari ya asubuhi. Nimekutana na hiki kibonzo mtandaoni nikasema acha ni share Wanaume wengi sasa wanalalamika wanawake wamekua na elements za u-masculine au wanaonesha ungangari lakini mnajua...
20 Reactions
135 Replies
3K Views
Mwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia πŸ˜‚ utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake. Alafu vitu...
23 Reactions
167 Replies
4K Views
Sasa Iko ivi Mimi na mapenzi basi maana huyu mtoto wa kike nilimpenda japo nilimkuta na mimba ambayo mpaka leo mshikaji aliyempa iyo mimba sijawahi kuonana nae. Mbaya zaidi ni kwamba licha ya...
14 Reactions
141 Replies
3K Views
Habar wakuu, Ni takriban miez 2 tangu nifahamiane na huyu bi dada, Kuna stori behind iliyofanya tufahamiane nae japo kuielezea hapa nitawachosha wasomaji, Kwa mwanzoni sikuwa namzingatia maana...
5 Reactions
53 Replies
2K Views
Uongo dhambi. Nasikiaga tu stori juu ya uvunjaji wa yai kwa kwenzangu tuuu. Lakini mimi bunafsi sijawahi kukutana na mwanamke mpya. Sijui kama ni ushamba, ulimbukeni ama nini. Hata mke wangu...
11 Reactions
132 Replies
18K Views
MWANAMKE MWENYE TABIA HIZI NI NGUMU KUDUMU NAYE KWENYE MAHUSIANO. 1. Mwanamke mwenye mdomo, anaongea kuliko kawaida (umbea umbea)πŸ˜‡πŸ« πŸ˜… 2. Anayeamini uchawi (ushirikina)πŸ˜Άβ€πŸŒ«οΈβ˜ οΈ 3. Mwanamke...
9 Reactions
51 Replies
1K Views
KAMA LENGO LAKO KUU NI KUZAA ILI WATOTO WAJE KUKULIPA FADHILA KWA MALEZI YAKO BASI NAKUSHAURI HAIRISHA KUWA MZAZI KWA SABABU WEWE NI MJASIRIAMALI NA SIO MZAZI. Ni ushauri tu sio lazima ufuatwe...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Mwanamke anaweza kumpima mwanaume kwamba anampenda kwakutumia vigezo gani? Naombeni wataalam mnieleze hii imekaaje.
5 Reactions
22 Replies
714 Views
Naombeni msaada, Kwanza ni kweli bikra inaweza kutolewa bila mwanaume kumwingilia msichana na kwanini wadada wengi wanapoulizwa swali hili wanakuwa wakali sana mfano mke wangu kila nikimuuliza...
1 Reactions
156 Replies
31K Views
Kiukweli leo nimemkumbuka sana mama yangu,nampigia simu lakini bado nahisi sijafanya kitu. I LOVE YOU MAMA,I wish ningekuwa na mahela nikupe kila utakacho. Mungu akubariki hapo ulipo.
17 Reactions
32 Replies
667 Views
Wanasema Adui mpende.Na pia tulipe mabaya Kwa Wema hata vitabu vitakatifu vinasema.Lakini pia wanasema chuki humtesa anayehifadhi. Naishia na ndugu X ambaye ni nguzo Sana kwenye maisha...
5 Reactions
26 Replies
918 Views
Habari wana JF, Nilikuwa na changamoto naitaji kushare na nyinyi ili muweze kunisaidia kimawazo, Maana kuna kitu kinaniumiza sana katika Maisha yangu. Mnamo Mwaka 2015 Nilikutana na binti wa...
11 Reactions
122 Replies
12K Views
1) Tangu uanze kujua wanaume mimi ni wangapi? 2) Aliyekutoa bikira kweli unaweza kumsahau? 3),Ulitolewa bikira ukiwa na umri gani? 4,)Mwanaume aliyekuwa nae alikukosea nini ili na Mimi nisije...
1 Reactions
45 Replies
12K Views
Mwaka 2012-2015 nilikuwa nchi jirani kwa mjomba wang (yaani kwao mamaangu) nikiendelea na masomo yangu.. Kulikuwepo dada mmoja.. kwa jina ngoja nimpe jina la fatuma .. for privacy. huy mdada...
7 Reactions
81 Replies
8K Views
Aisee kwa kweli hawa watoto ni warembo mnooo karibia kila mchezo hakuna ngongozo hata mmoja zote ni maliasili, wote wabichi kabisaa halafu tunajua kujieleza very smart yaani. Hapa ni lazima niende...
8 Reactions
49 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…