Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

INTRODUCTION: Nawasalimu kwa jina la muungano wa Tanzania...!! BODY Tarehe 18/04 Mtukufu Rais wetu alitengua uteuzi wa DED wa Mafia Bwana Kassim Seif Ndumbo, ila wajuzi wa mambo wanasema, kosa...
22 Reactions
207 Replies
11K Views
Mwanamke akifanya kazi bar anaweza kuwa mwaminifu? Unaweza kumuoa akawa mke mwema? Vipi kuhusu yafuatayo 1.Kuendelea na tabia ya kuona kwamba ni jambo la kawaida kutoa penzi akapewa hela...
2 Reactions
65 Replies
11K Views
Habari, Napenda kuuliza hivi kwa wadada na wanawake wote kwani huyu mwanamke wangu huwa anapenda kunituma mm ndio nimfatie hiki kifaa maana anadai akifika dukani huwa anaishiwa pozi kusema mangi...
5 Reactions
46 Replies
1K Views
Tangu week hii imeanza nalewa ila nikiamkaa asubuhi nakuwa kama mwili wote unauma, walevi wenzangu nisaidieni!
11 Reactions
172 Replies
6K Views
Moja kwa moja kwenye mada. Sijui wamekuaje hawa wadada wa siku hizi, neno hapana halimo kabisa kwenye kamusi zao! Mtu unakutana nae tu ukimsemesha vizuri anakupa utamu. Zamani unafukuzia demu...
23 Reactions
144 Replies
5K Views
KAKA usiigize mahaba kwa kutaka ngono kila wakati, kuwa halisi; mapenzi ya dhati ni zaidi ya ngono. Mtu wako anataka kuwa karibu naye. Ngono ni rahisi kupata, lakini kufanya mapenzi kunahusisha...
2 Reactions
9 Replies
489 Views
Ni ajabu sana ya miaka hii vijana wanahisi wapo tayari kwa commitment kubwa ya ndoa kirahisi rahisi wakijua ndoa ni plug and play game kumbe bila kujua ni plug and not play until you do overhaul...
9 Reactions
28 Replies
950 Views
Tulioana miaka kadhaa iliyopita na tumejaaliwa watoto wawili. Tulioana mke wangu akiwa na mtoto mmoja aliyezaa akiwa kwao. Miaka ya mwanzoni uchumi uliruhusu kutoa huduma hata kwa mtoto wake...
15 Reactions
279 Replies
12K Views
Kama tayari ameshampa hamis, sheby bodaboda, frank, Qboy, dj dully, pius, zero iq, devi, jembe, chid, rasta, baba kevi, george, cadabra n.k iweje akuambie wewe sex mpaka ndoa.! No room to that...
14 Reactions
41 Replies
2K Views
HOW TO DESTROY A GOOD MARRIAGE IN JUST ONE MONTH To destroy a good marriage is very easy than you think, it does not cost anything. I listed here things you can do to destroy a great marriage by...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Unajua hata kama huoni kuwa masingle mothers wanafaida basi. Ila wao kwako wanafaida nyingi. Kuzaa nakupata mtoto ni hazina ya mbeleni na sasa . Kuitwa mama fulani ni raha sana . Mwanamke...
17 Reactions
137 Replies
3K Views
Mama/Baba yako anakupenda tu kwa sababu wewe ni mwanae. Alikuzaa, umekuwa anakuona, mmekuwa na bond ya muda mrefu. Kaka na dada zako wanakupenda tu kwasababu wewe ni ndugu yao. Mmezaliwa pamoja...
21 Reactions
57 Replies
2K Views
Ukweli ni kwamba, Hakuna njia kuu ya kukuwezesha kuthibitisha moja kwa moja kama mtu anakupenda kwa dhati, lakini zipo ishara chache za kitabia zitakazoweza kukusaidia kutambua kilichopo katika...
4 Reactions
32 Replies
72K Views
Habari za muda huu, Kama ilivyo ada na kawaida kwa sisi wanaume, tunapaswa kuendelea kukumbushana mambo ya msingi kwa ajili ya kutunza afya zetu za akili na uchumi, ili walau tuishi maisha marefu...
13 Reactions
62 Replies
1K Views
Kuna mwanamke mmoja alitishia sana mtaa kutokana na uzuri wa sura na rangi ya mwili aliyonayo. Kati ya Predators waliovizia vizia nami nilikuwa mmoja wao Nilipoona binti mwenyewe ni aina ya staki...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Jambo? Ewe kijana nakuhisi sana isije kutokea ukawekeza hisia kwa mwanamke maskini ambae hana hofu ya Mungu. Wanawake maskini wasiokuwa na hofu ya MUNGU wengi ni washirikina, Malaya na wanatabia...
2 Reactions
7 Replies
605 Views
Hii picha imenifikirisha sana jinsi bidada anavyowakumbuka wanaume zake wa zamani. NI NGUMU SANA KUMRIDHISHA MWANAMKE WA AINA HII.
2 Reactions
5 Replies
497 Views
Mimi ni kijana mwenye miaka 20 toka nizaliwe sijawahi kuyafurahia mapenz ngoja niwape historia yangu kidogo kwenye mapenz mwaka 2019 nilienda kufanya kazi kwa kaka yangu Morogoro wilaya ya Malinyi...
14 Reactions
97 Replies
4K Views
Hili tukio limetokea mtaani kwetu bhana, Kuna jamaa this week alienda kuipa taarifa familia yake kuwa anataka kuoa na kumtambulisha mwenza wake kwa familia yao, sasa wakati anaulizwa maswali na...
4 Reactions
11 Replies
677 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…