Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Anonymous member Mpendwa wangu naomba nipelekee nipate ushauri, mimi ni mwanamke wa miaka 27 nipo kwenye mahusiano na mkaka, mahusiano yetu yana mwezi na wiki mbili, nilikuwa nampenda huyu kaka...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Amini nawaambia, ukiwa na hamu akili kichwani pia zinapungua. Yaani kama ni mwanaume kichwa cha juu hakifanyi kazi vizuri, mpaka cha chini kipate haki yake ndio akili zinarudi. Angalia hata...
6 Reactions
17 Replies
819 Views
Nishauri nimpende nani??? Maana sina mtu wa kumpenda. Kiukweli, sijui nimpenda nani, maana nikimpata mtu na kuwa serious naye, huyo anakuwa haeleweki. Situngi wala siungiwi, nasiact kweli. Miaka...
12 Reactions
190 Replies
2K Views
Wakuu sijui ni matatizo ya kisaikolijia au nini wakuu labda nyie wakuu mtanisaidia kwakweli yaani tarehe kama hizi za mwisho wa mwezi wa mshahara upwiru inaongezeka na drive ya Kula mbususu...
6 Reactions
20 Replies
694 Views
Kheri ya pasaka waungwana! Ningeanza na kusema kwenye kila jambo kuna pande mbili za shillingi. Katika pitapita zangu nyingi nimegundua kuna uzi nyingi katika jukwaa hili la MMU...
19 Reactions
327 Replies
22K Views
Nimepotezana nae mwaka 2015, Na 2017 mumewe akafariki dunia kwa ajari ya pikipiki akiwa anaenda kazini. Mumewe alikuwa anaitwa ADAM alikuwa mrefu mweupe alikuwa ni fundi wa vyombo vya moto...
2 Reactions
14 Replies
534 Views
Mara nyingi mwanamke uolewa akiwa na 23 mpaka 27 ni mara chache sana kukuta mwanamke mwenye nia ya kuolewa akiwa na 30+ Kinachopelekea wanawake kuchelewa kuolewa ni nini? Tabia? Mwonekano? Au nini??
6 Reactions
251 Replies
25K Views
Natumain mna afya njema Kuna namna malezi yanakuwa magumu Kwa walezi wa kiume hasa kubadilisha fikra za watoto wao na kuthaminika Kwa watoto wao japo walijitahid kufanya hivo ila hawakuzngatia...
22 Reactions
117 Replies
3K Views
Habari wakuu, Husika na kichwa cha habari, Kama kuna mambo ambayo yamekuwa ya yakiwatesa na kuwasumbua wanawake ni kuchelewa kuolewa na kuchelewa kuzaa. Tukianza na hili jinamizi la kuchelewa...
38 Reactions
280 Replies
9K Views
Ee bwana eeh, ilikuwa ni mwaka jana ambapo niliamua kuhama kutoka mtaa X, kwenda mtaa X,. Nilifanikiwa kupata gheto kali, ile nimefika tu nilipokelewa na binti mrembo na yeye ni mpangaji wa hapo...
20 Reactions
59 Replies
6K Views
Katika moja mbili tatu ya aina za wanawake niliokutana nao kimwili, kiukweli huwa navutiwa mno na wanawake wenye michirizi ya kutanuka, kizungu wanaiita “stretch marks”. Sio mabonge, wengine ni...
5 Reactions
180 Replies
23K Views
Hakuna mwanamke yoyote nyuma ya mwanaume mwenye mafanikio zaidi ya mama yake na uyo mwanaume. Mwanaume usidanganyike na huo msemo wa kijinga. Hata uyo mwanamke ambae upo nae nyakati za kujitafuta...
55 Reactions
216 Replies
5K Views
Huu msemo wenu wa "tafuteni hela wanaume ili mmiliki pisi kali" hua nauona ni msemo wa kijinga tu, binafsi naipambania pesa kwaajili ya maisha yangu mimi na si ya malaya, mnasujudu ngono sana...
6 Reactions
14 Replies
526 Views
Inachukua muda gani mwanamke kuenjoy tendo la ndoa baada ya kubikiriwa? Nilimsikia mwanamke mmoja akisema inachukua miaka 3- 5 Niliistaajabu!! Huyu mwanamke ni wakawaida au?
9 Reactions
43 Replies
2K Views
Mimi ni muajiriwa katika sekta ya umma mke wangu sio mwajiriwa yaani ni mama wa nyumbani. Tuko kwenye ndoa ya kikristo kwa miaka 14 na tumejaaliwa watoto. Ili kupunguza ukali wa maisha na kuondoa...
31 Reactions
214 Replies
6K Views
Katika kujaribu huko na mle duniani sikutaka kabisa kuhadithiwa tu. Basi siku moja nikiwa kijiweni tunapiga story za mademu mara paap jamaa kaingiza kuhusu mkongo. Jamaa aliunadi sana akisema...
15 Reactions
88 Replies
4K Views
Napita kwenye mtando fulani kupitia kipindi cha chanel 5 kikimuonesha Joyce Kiria yaani aliyokuwa anayaongea kama kuna wanawake wanao sikilizaga kile kipindi cha ze dada huko mtapoteza mahusiano...
8 Reactions
15 Replies
576 Views
Watu wanasema wachaga wanapenda pesa, ila ukweli na utu wanao sana, sitaki ku generalize kwenye ubaya wala uzuri. Katika harakati za ujana, nilikua na mahusiano na mrembo mmoja, ni mzuri kweli...
5 Reactions
18 Replies
665 Views
1. Usioe kamwe mwanamke aliyeachika. 2. Usioe ndugu wa karibu. 3. Usioe mwanamke anayeomba omba Hela Kila mara, mwanamke mwenye upendo na wewe atakuhurumia. 4. Usimtegemee mwanamke kamwe.. 5...
26 Reactions
149 Replies
3K Views
Niliwahi kuleta uzi humu kuwa ukitaka kujua wazee wa ovyo wanaongezeka kwa kasi nenda harusini.. Leo nimeona clip mtandaoni baba anamwambia binti yake kuwa ole wake siku alete kesi kwake kuwa...
3 Reactions
6 Replies
425 Views
Back
Top Bottom