Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Tuwiane radhi mno na isije kuchukuliwa kuwa naandika mambo yasiyofaa kwa kisingizio kuwa kuna watoto, lakini tukumbuke kuwa hii ni JF where we dare to talk openly! Kila mtu ana changamoto nyingi...
50 Reactions
986 Replies
164K Views
Unakuta mdada anapendwa sana na kijana ana mshawishi Kila siku ampeleke kwao kumtambulisha Ili taratibu zingine za ndoa zifuate lkn unakuta mdada hampendi kabisa huyo kijana lkn huyo mdada Mahali...
2 Reactions
13 Replies
432 Views
Zingatia sana unapoanzisha mahusiano mapya Kila mwanaume anatarajia kupata sex kutoka kwa mwanamke wake. Ladies, Mwanaume anapokutongoza, moja ya kitu anatarajia kutoka kwako ni SEX. Hivyo...
15 Reactions
52 Replies
3K Views
Wakuu hawa madada Poa sio Poa kabisa yaani Mimi mkulima wa ufuta ambaye almost miezi mitatu napambana na ufuta wanitapeli na kuniibia madada Poa wa morogoro wale washamba? Kweli simba ni simba...
17 Reactions
133 Replies
7K Views
Nenda vyuoni IFM, CBE, TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni. UDSM ukikuta futi sita ujue ni foreign student toka Rwanda, Uganda au Sudan. Uko uswazi, Buguruni, Temeke, Tandale ndio...
47 Reactions
189 Replies
5K Views
Makabila haya mwanamke anaweza kukuacha hata kwa kumsonya tu. 1.warangi 2.wapare 3.wahaya 4.wameru 5.wachagga
46 Reactions
205 Replies
10K Views
Mwenzenu nimejifunza sasa na nimekoma kwa yaliyonitokea, nimekuwa na mahusiano na wadada tofauti katka nyakati tofauti, lakini kitu kimoja tu kinafanana katika hao wote ninao kuwa nao nacho ni...
10 Reactions
29 Replies
2K Views
WAZUSHI WAKIKOSA UBAYA WAKO BASI WATAZUSHA, NI FURAHA YAO KUONGELEA MABAYA TU YA WATU 😔 Kama wewe ni yule ambaye unataka kujibu kila mtu basi jua utajichelewesha . Kama wewe ni yule ambaye...
4 Reactions
3 Replies
323 Views
Maisha haya tabu tupu. Kuna binti mmoja anafanya kazi hoteli fln hapo mlimani. Huyu nilimuona mara moja tu nikamtamani, baada ya kunihudumia nikamuachia tip nzuri tu na wala sikuchukua namba...
11 Reactions
49 Replies
3K Views
***Kwa ufupi shughuli hajui na anaweza kuwa mtu mbaya sana kuishi naye ¶Ana Low self esteem. Hajiamini. Aidha kwasababu, 1)Ana maumbile madogo. Anaogopa kulinganishwa. Anafikiri ukiwa bikra...
12 Reactions
216 Replies
36K Views
Kuna watu wanahitajika haraka kama Kuna anaewafahamu awajulishe Jonas msimba Jovin festo Aziz mwaliko Samuel Bernard kamonga Denis tinanzila Natanguliza shukrani
2 Reactions
7 Replies
263 Views
Mara pap umepata demu anayekula sana sana. Umemualika demu home halafu ukajipinda kupika . Kufika ukamkaribisha kidogo , kafuta chote , unaremba remba anapiga na ya sahani yako. Je utaaendelea...
9 Reactions
68 Replies
1K Views
Baada ya kukuchunia kwa muda mrefu unafanikiwa kumshawishi akusamehe, anaridhia, anakutamkia kwa sauti iliyojaa upole na mahaba "Ila baby usirudie tena" kinachofuata hapo mnaangaliana machoni...
3 Reactions
25 Replies
967 Views
Kama kawaida ndugu yenu hapa ninaewapenda na kuwajari. Ni hivi leo ni siku nyingine ya maumivu kwa wanaume wagai gai kwenye sector ya mapenzi. Ni hivi leo tena naenda kulamba kibuyu cha mchumba...
12 Reactions
68 Replies
2K Views
Nimeoa na nina mtoto na dini yangu inaniruhusu kuoa mke mwingine kuna mwanamke nampenda sana niliwah kuwa nae kwenye mahusiano zamani ila nae alisha olewaga akapata na mtoto ila wakashindwana na...
6 Reactions
20 Replies
731 Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!! (Ukistaajabu ya Musa utayaona ya silent killer leo.) Sasa baada ya ile post nikapata PM, sio PM ya kawaida naweza iita THE PM...
36 Reactions
1K Replies
112K Views
Ilikuwa juzi majira ya saa 4 asubuhi nipo home, ikaingia message ya mshkaji mmoja hivi inasema "nina shida nisaidie 300k mpaka kufikia saa 1 night ntakuwa nishakutumia pesa yako" Kuna pesa...
0 Reactions
14 Replies
540 Views
Moja ni kuwaalika ndugu zangu nyumbani kwangu ambapo watoto wangu wanaishi na sio ndugu zangu tu hata ndugu wa mume. Kingine marafiki , wachungaji ,mazoea sitaki. Majirani wote siwataki kabisaa ...
17 Reactions
136 Replies
3K Views
Katika kijiji kidogo cha Mlimani, alikuwapo kijana aitwaye Juma. Alikuwa na ndoto kubwa za kuja kuwa msanii maarufu wa muziki. Alipokuwa shuleni, alikuwa akiimba nyimbo za mapenzi na za kijamii...
3 Reactions
0 Replies
893 Views
Ndg wana MM, Kwa uzoefu nilioupata baada ya kuishi hapa duniani miongo kadhaa nimegundua kuwa watu wenye majina kama Shida, Tabu, mawazo, siamini, Mwaka mbaya, Sura mbaya, Sikitu, Tatizo na...
4 Reactions
166 Replies
20K Views
Back
Top Bottom