Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Hawa wanawake sijui wana matatizo gani huku duniani, ukiwaza sana unaweza ukasema labda hawa wanawake ndio wapinga kristo wenyewe kabisa (wadada mnisamehe bure ila huu ndiyo ukweli). Vijana...
21 Reactions
68 Replies
4K Views
Wanawake wa tanzania sijui ni asilimia kubwa yani ukiwa na pesa ni kama wanaona ndio mtu sahii ijalishi umezalisha, baba wa familia, unamagonjwa na mengine. Na kibaya zaidi kila mwanamke anataka...
1 Reactions
7 Replies
408 Views
Watu wengi wamekuwa wakifikiria kuwa labda nitaoa Waziri mmoja kati ya Mawaziri wanawake. Na hii imekuwa ikizushwa kwa kuwa nimekuwa peke yangu kwa muda mrefu. Kimsingi Mimi siwezi kuoa Waziri...
16 Reactions
135 Replies
13K Views
Huwa namuonea huruma tu nikiwaza kama atakutana na nani, nani atakua mume wake, je? Atakutana na fedhuli au atapata noble and wise man. Tatizo ni hivi, siku za karibuni kwenye mtandao fulani wa...
16 Reactions
51 Replies
2K Views
Huu ni Utaalamu mwepesi wa jinsi ya Kumvuta Mpenzi wako ambaye aidha hakupendi au amekutoroka. Utaalamu huu utakupa uwezo wa kuvuta Mapenzi ya aina yoyote kwa Mpenzi wako, Marafiki zako...
0 Reactions
22 Replies
14K Views
Kama heading ilivo natufata mchumba umri wowote nahitaji mwanamke wa kwenda nae motoni
5 Reactions
33 Replies
643 Views
Kuna mrembo mmoja nilitokea kumpenda, na katika harakati ikapelekea tukapata mtoto naye. Nilimpenda kutokana na muonekano wake, achilia mbali ni mtu anayependa sana mambo ya urembo urembo. Pia...
8 Reactions
54 Replies
1K Views
Chukulia huu mfano:- Dada yako ameolewa na John, na wakabahatika kupata watoto wawili; na watoto hao wanasoma shule ya msingi bweni. Baada ya siku kadhaa, dada yako akaugua na umauti ukamkuta...
11 Reactions
44 Replies
963 Views
Hili ni swali kwa Malegendary na kwa wanawake smart kichwani, hivi imefika hatua mwanaume unaona dhahiri kwa sababu zako binafsi na za msingi mke wako apate msaidizi, ni mistari gani ambayo...
13 Reactions
90 Replies
2K Views
Hivi kwanini wanaume hupenda kuangalia maziwa ya mwanamke. Hii tabia inakera sana unakuta mtu unamheshimu kama kaka au ndugu, wakati wa kuongea nae badala ya kuweka concetration katika kile...
39 Reactions
375 Replies
9K Views
Kuna vitu vinatafakarisha sana hasa ukiwafikiria vijana wanavyodai na kumchukia mwanamke msaliti, sasa tuweke sawa, ni hivi kuna baadhi ya wanaume tunasemaga, ukimkuta mkeo...
19 Reactions
91 Replies
3K Views
Mwaka 1994, Mwamba wa kuitwa Gabriel alikutana na mrembo Christina katika party moja huko jijini New York, Marekani. Walipendana na wakaamua kuoana, ingawa Gabriel alimzidi umri christina kwa...
7 Reactions
11 Replies
851 Views
Wakuu kuna jambo linanitatiza. Nimekuwa na mahusiano kwa miaka miwili sasa huyu mwenzangu anataka tuchukuane kimya kimya (sogea tuishi) pasipo ndoa rasmi. Anaeleza kuwa baada ya mimi kwenda kwake...
10 Reactions
288 Replies
58K Views
Baada ya kukaa kwenye ndoa kwa miaka miwili Ally alitaka kuoa mke wa pili, Mama yeke alimuuliza sababu akasema kuwa mke wake kabadilika sana, tangu amekuoa amekua mtu wa kisirani, mtu wa...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Baada ya kuniacha kwa mbwembwe akijua nitamtafuta, na sikumtafuta; augua presha na kulazwa. Ndugu na jamaa wakawa wanamuhoji, ''equation x ni nani, na hatutaki tena kumuona akiwa na wewe, ona...
6 Reactions
50 Replies
2K Views
Habarini jamani, Kuna binti niliwahi kuwa katika mahusiano nae miaka ya nyuma kipindi tupo secondary lakini mahusiano yetu yalivunjika mara baada ya sote kujiunga na chuo Kwa sasa ni mke wa mtu...
5 Reactions
65 Replies
3K Views
Hello how are you! Kama nilivowagusia kwenye uzi wangu ulopota. Baada ya kupata mishe mkoa wa Tanga nilifanikiwa kukutana na kufahamiana na watu wengi wafanya biashara hasa hasa. Miongoni mwa...
8 Reactions
39 Replies
2K Views
Inaweza kushangaza lakini ndo ukweli wenyewe Unadhani ni kwanini? Ukweli ukuweka huru
9 Reactions
40 Replies
2K Views
Back
Top Bottom