Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Mahusiano yalinitesa sanaa Nikawa wakulialia Nikashindwa ku move on kutokana nilikuwa kipofu sikuona Mlango wa kutokea Nililuzi concentration baazi ya Mipango yangu na Mambo yangu kiujumla...
10 Reactions
93 Replies
12K Views
Gym trainers siyo poa yaani. Soma hapa tena Thread 'JAMANI WAKE ZENU WASIENDE KAJA TANZANIA. 😂😂' JAMANI WAKE ZENU WASIENDE KAJA TANZANIA. 😂😂
13 Reactions
88 Replies
7K Views
KUPENDA KUTEMBEA NA MIPIRA YA KINGA Ukiona mpenzi wako ana tabia ya kubeba kondomu kwenye pochi yake au mfukoni kwa kisingizio kuwa anajali, elewa kwamba yuko katika mahusiano na mtu mwingine...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, Bila kupoteza muda, hivi karibuni nimejikuta kwenye mateso ya kimapenzi baada ya kuhitilafiana na mpenzi wangu. Jinsi ilivyokuwa Nina mpenzi wangu ambaye tumekuwa kwenye...
23 Reactions
59 Replies
7K Views
Habari zenu wakuu, JF ni sehemu ninayoiheshimu na imejaa watu wazima wenye hekima na wanaojitambua natumaini mtanipa ushauri mzuri na wenye hekima. Nipo kwenye mahusiano na binti 24 years old...
37 Reactions
211 Replies
25K Views
Huyu binti inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi. Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue...
85 Reactions
596 Replies
24K Views
Mimi
34 Reactions
338 Replies
19K Views
Hebu kuwa mkweli hapa katika hili jambo, ukiulizwa Leo kwamba mahusiano yamekupa faida gani au maendeleo yapi unawezaje kujibu Vijana wengi tunejikita sana na kutumbukia katika hili janga la...
7 Reactions
25 Replies
789 Views
Mbona kama wangu kazidi haipiti wiki hatujagombana japo najijua mi ndo mkorofi,lakini ananikwaza jamani hanipi mda!!!! Mda wore busy tu inawezekana jamani kuongea ni usiku tu, sasa hapa nimempigia...
6 Reactions
36 Replies
1K Views
Mitazamo ya uzuri wa mwanamke siyo ya kudumu, inabadilika kulingana na nyakati. Enzi za mabibi zetu wanawake wenye mwanya walionekana kuwa ndiyo warembo zaidi. Ikawalazimu bibi zetu kubomoa meno...
6 Reactions
23 Replies
1K Views
Huyo siyo mtu ni kupe, na kama siyo kupe basi hafai kuwa mke, maana hatokuwa msaada kwako. Ndiyo! Kama ameshindwa kutafuta hela kwa ajili ya vitu vidogo kama hivyo unaoa kwa ajili ya nn sasa...
6 Reactions
8 Replies
431 Views
Mambo vip, Nataka niende straight kwa point, Iko hivi nimekua na changamoto ya kutokuachwa kirahisi na mademu zangu kiasi ambacho washkaji wananiulizaga ni mbinu gani natumia mpaka huaga...
25 Reactions
204 Replies
6K Views
Kwa jinsi tunavyochelewa kuzaa. Ni ngumu sana kuipata familia kama hii ya Mama chinedu. Kama hela ipo kuzaa mapema raha sana.. wote wamezaa wakiwa early 20s.
4 Reactions
6 Replies
353 Views
Chukuaa nyanya 3 zilizoiiva kabisa. Menya maganda. Ponda ponda zote. Chukua limao changanya kamulia mawili humo ndani. Chukua dawa ya mswaki vijiko vitatu mimina huko ndani mix kwa pamoja. Tumia...
24 Reactions
89 Replies
3K Views
kwa namna na jinsi unavyo vaa mavazi yako, kwa kauli na jinsi unavyoongea na watu, kuchangamana na rika mbalimbali, kuelewana na watu, na kushirikiana na wengine kwenye mambo mablimbali mathalani...
4 Reactions
18 Replies
814 Views
Hakika hawa wanawake wawili ni watu muhimu sana katika maisha ya mume, lakini kila mmoja mara nyingi huwa anahitaji kuwa chaguo la kwanza, na hapo ndipo shida inapoanzia. Nadhani mara nyingi...
2 Reactions
7 Replies
802 Views
WanaJF kwema? Miaka tisa iliyopita nikiwa job kwangu alipita mdada mmoja wa makamo ila kanizidi miaka kadhaa, mi nikamuomba namba baada ya kusalimiana na akanipatia tukaanza kuchat na kuwasiliana...
7 Reactions
68 Replies
2K Views
Nikiwa ndo kwanza nimemaliza darasa la saba miaka ya mwanzoni mwa 90, kuna binti nilimvusha binti ambaye siku hiyo nilikusudia kutumia condom kwa mara ya kwanza. Kwanza sikuwa nafahamu kwa nini...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari za usiku wana JamiiForums, Kwa muda sasa nimekuwa nikiyatafakari mapenzi. Nilichokuja kugundua ni kwamba mapenzi ni kwa watu dhaifu. Ukitumia akili nyingi kwenye mapenzi nakuhakikishia...
6 Reactions
14 Replies
2K Views
MBINU 6 ZA KUMSAHIHISHA MKEO PALE ANAPOKOSEA PASIPO KUUMIZA HISIA ZAKE. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Ukiishi na Mwanamke utagundua Wanawake NI viumbe weñye makosa mengi madogo madogo àmbayo...
15 Reactions
119 Replies
3K Views
Back
Top Bottom