Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Leo nimefanikiwa kushika simu yake na nilimuona akitoa lock so nikakariri lock passcode yake, kifupi chat za wanaume:- 1. Huyu nimekuta tu amemtumia text moja ambayo haina muendelezo, text...
79 Reactions
230 Replies
12K Views
Wasalaam, Ebana sina mengi sana, ila ni kwamba nimeingizwa mjini kiasi cha kuharibu msimamo wangu niliojiwekea maishani mwangu. Iko hivi nimekua na mahusiano tofauti tofauti kwa wakati mmoja huku...
9 Reactions
98 Replies
3K Views
NIFANYE NINI MKE WANGU AMETOA MIMBA ZANGU TANO? Mimi ni kijana wa miaka 33, nimeoa na ndoa yangu ina miaka mitatu sasa. Ndoa yangu ilikua nzuri sana na tangu kuingia kwenye ndoa mimi na mke wangu...
14 Reactions
95 Replies
5K Views
Matumaini yangu mlio wengi humu ndani mlikua na weekend njema. Ni miaka sita sasa tangu nimeoa na nimebarikiwa kua na watoto wawili. Kabla sijaoa nilikua nna marafiki wengi na bahati nzuri rafiki...
20 Reactions
124 Replies
5K Views
Sabbath shalom! Sifa/tabia za matajiri wengi toka nakua nimegundua ni hizi; 1. Wengi huwa hawakai kwenye events mpaka mwisho, wanaweza wakakaa nusu ya muda then wakaondoka kabla tukio...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Msaada wa mawazo Husika na kichwa hapo juu, napenda sana kutulia na demu mmoja lakini nashindwa. Nimetumia mbinu nyingi lakini wapi, najikuta natafuta madem wengine. Bado nikienda batani lazima...
3 Reactions
82 Replies
6K Views
kwny mada ya leo nitaongelea akili kumi za kumteka mwanaume,wanaume tunatekwa kwa mambo madogomadogo sana,sasa ili ndoa yako inoge,ni muhimu kumwelewa mwanaume wa karne ya 21 ni kiumbe wa namna...
7 Reactions
55 Replies
3K Views
Yalinikuta !, Niliahirisha kwenda interview niliyoisaka kea muda ili nile tunda Nakumbuka kuna kipindi wakati natafuta kazi kuna sehemu nilii apply na kweli nikapigiwa simu kwamba siku ya...
16 Reactions
25 Replies
3K Views
Katika maisha tangu tunakua mpka tunafikia hatua ya utu uzima tunakutana na watu wa aina mbalimbali,miongoni mwao wanakuwa ni marafiki wetu wakubwa sana lakini kutokana na changamoto za hapa na...
3 Reactions
6 Replies
418 Views
Habari za wakati huu. Ndugu kuna bidha haramu zisizo lipa kodi na hata nyingine kupigwa marufuku na mamlaka za nchi husika kama tunavyojua na ikitokea ume kamatwa na bidhaa haramu basi adhabu...
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2012, Nilikuwa nikifanya field katika Kampuni flani ya Ujenzi,, Nikajenga urafiki na mtoto wa moja ya Wakurugenzi wa Kampuni (G), alikuwa akisoma Marekani.alikuja Dar kama...
17 Reactions
47 Replies
2K Views
Nilikua naongea na jamaa yangu ni Daktari, alioa Mke wake pia ni Daktari, wamebahatika kupata watoto wawili. Mke wake anafanya kazi NGOs, na wememwambia inabidi aende training Marekani mwaka...
23 Reactions
138 Replies
10K Views
Mume wako anakuambia mke wangu leo tutoke tukapate hata dinner nje, wewe unajidai wife material unamwambia mtapoteza hela bora mpike nyumbani. Siku nyingine anakuambia mtoke hata mkamwagilie moyo...
9 Reactions
20 Replies
919 Views
wachumba na wapenzi, wake kwa waume hawafuatiliani kabisa wala hakuna mwenye time au tension na faragha za nje na mwenzie kama anafanya, tofauti kabisa na kipindi kifupi kulichopita. ni majukumu...
0 Reactions
7 Replies
374 Views
Mngoni atutafsirie r hizi verse of za wajeda
2 Reactions
2 Replies
235 Views
Daah ama kweli ule usemi wa fear woman una ukweli. Nilikua na mpenzi wangu mashallaah navimba naye kitaa. Mtoto kachanganyia mama mmoroni baba mbongo mweupeee. Full kuvimba naye mtaani kama hamo...
13 Reactions
48 Replies
3K Views
Habari zenu!!!! Na habari ya siku nyingi!!! Nianze kwa kuwapa salamu kutoka kwa Mercy na Mage wote ni wazima. Twende...... Jana tarehe 08/07/2024 nilienda kumtembelea mshikaji wangu, idol wangu...
9 Reactions
68 Replies
10K Views
Wakuu habari. Harakati za pimbi(kutafuta ridhiki) nimejikuta nafanya kibarua(casual) kwenye processing plant ya dhahabu. Ambako mda wote tunashinda tumevaa gambuti na baada ya kazi tunaenda kuoga...
8 Reactions
18 Replies
1K Views
Makucha ya bandia, mawig na makorokoro mengine mnajipamba na kujiremba ni takataka tu.
20 Reactions
46 Replies
2K Views
Back
Top Bottom