Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

KIJASUSI WAPE USHINDI WALEWE ILI WAACHE KUKUFUATILIA BALI WASHANGAZWE KWA MATOKEO. Jasusi yoyote Duniani huwa habishani na mtu zaidi atakubaliana na wewe ili uvimbe kichwa lakini moyoni mwake...
11 Reactions
27 Replies
2K Views
Ndugu wana jf na wasalimu kwa masikitiko makubwa sana Enzi na enzi za mababu zetu, mitume na manabii kwa imani zetu tofauti tofauti , tamaduni, mila na desturi zetu kama wanadamu natokea iwekwe...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Jana nilikuwa sehemu ya kinywaji nkaumia sana kuona mabinti 3 niliosoma nao wakinywa kama wanataka kwenda mwezini walipoanza kulewa tukaanza mazungumzo longtym nk.. nkauliza amjaolewa mpaka sasa...
0 Reactions
15 Replies
931 Views
Kuna tabia ya baadhi ya wanaume kupenda akiongea jambo basi akushike begani or what, huwa inanikera sana sipendi mwanaume mwenzako anaongea na wewe halafu anataka kutouch any part of my body...
4 Reactions
44 Replies
6K Views
Aisee hawa watu sio kabisa, nilikuwa najifariji kwa single mother mmoja,as time goes nikawa naanza kumuelewa, naona kama mbona ana vision, basi nikajikuta Nina hisia naye full. Kwanza...
31 Reactions
137 Replies
5K Views
Shalom, Napitia wakati ngumu sana nyakati hizi, wanawake, wadada, mabinti wengi ninaokutana nao zama hizi kwa ajili ya kulijenga jumba la maraha jumba la zeze, kwa bahati mbaya wengi wao tayari...
6 Reactions
28 Replies
1K Views
1. Mrembo sana 2. Msanii (wa filamu, muziki) 3. Askari 4. Baa medi/hotelia 5. Mlokole 6. Nesi / Daktari 7. Msomi (Hasa ngazi ya chuo kikuu) 8. Mwanamke kutokea familia ya kishua NB. Picha...
19 Reactions
89 Replies
12K Views
Habari wadau, Mchungaji wa kanisa la kilokole akitoa ushuhuda wa kilichotokea kwenye ndoa ya waumini wake. Bwana harusi na yeye anaeleza kwa urefu alichokutana nacho kwenye usiku wa kwanza wa...
16 Reactions
118 Replies
6K Views
Ni rahisi sana kumjua mwanamke ambaye ni bikra kwa kumuangalia tu usoni. Hii ni elimu tosha sana kwako wewe mdau. Hivi ndivyo viashiria vya mwanamke bikra: 1. Mwanamke bikra huwa anakimbonyeo...
12 Reactions
154 Replies
119K Views
Hello Jf. Nimeachwa na katoto flani kazuri kisa siko romantic. Hivi kuwa romantic ndio kuwa namna gani?
9 Reactions
104 Replies
10K Views
Wakuu habari. Kuna ka binti ka kigogo ninekatoke juzi kati. Kakaniambia nikape wiki katanijibu. Nilivyokua nakachulia ni kama ka wife material hivi. In short niko kwenye kutafuta chaka langu la...
8 Reactions
43 Replies
2K Views
Sijakosea ndio nilichomaanishaa Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio...
18 Reactions
101 Replies
6K Views
Aah
6 Reactions
124 Replies
8K Views
Wasalaam wana JF Katika pita pita zangu huko kwenye mabaraza ya watu waovu ninaleta ushuhuda kwenu kwamba kuna PISI KALI na vipisi vikali. Kuna wale wadada ambao wamekamilika kila idara yaani...
19 Reactions
50 Replies
6K Views
Nawasalim wapendwa Uzi huu unawahusu wanandoa au vijana walioshika dini sna, kiasi kwamba wao hawana habar na mambo yanayoendelea dunian. Kama, unywaji pombe, kuchepuka, kupenda starehe na...
28 Reactions
227 Replies
20K Views
Jamani kama nilivyotangulia kusema hapo juu kwenye heading, naombeni Ushauri wenu kwenye Hili. Iko...
4 Reactions
77 Replies
7K Views
Kipindi cha nyuma mawasiliano haipiti siku bila kukutafuta zaidi ya mara tano au sita yaani asubuhi, mchana, jioni na usiku mtaongea mpka unachoka lakini saivi ni morning greetings atakucheki na...
6 Reactions
60 Replies
8K Views
Back
Top Bottom