Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Ndoa si lele mama, ili iweze kustawi na kudumu lazima kila mwanandoa anapaswa ajifunge kwa dhati kuitumikia ndoa hiyo. Kila anaeingia katika mkataba wa ndoa anaingia na matatizo yake binafsi. Na...
19 Reactions
153 Replies
12K Views
Hi wana JF natumaini mko wazima wa afya kabsa. Mimi ni member wa siku nyingi sana huku JF na nimekuwa wa kujifunza mambo mengi tu kupitia humu ila leo nimeamua kuja na hili swala la kutokuaminiana...
1 Reactions
136 Replies
8K Views
Kiukweli nilimpenda, ila yake matendo yalinirudisha nyuma. Ila ndo hivo nyani haoni kundule, hata Kasie yake matendo yalimvuruga..... Basi wacha dhamira kuu iendeshe dunia. Ooh yeah, feel...
2 Reactions
37 Replies
4K Views
Leo wakati nimefungulia redio kuna mchungaji alikuwa anafundisha maswala ya mke mwema na mume mwema anaitwa Mchungaji Peter. Moja kati ya vitu alivyovizungumza upande wa wadada ya kwamba...
5 Reactions
17 Replies
5K Views
habari zenu wadau mm na baba watoto tulikua tunaishi ktk nyumba ya kupanga kwa muda wa miaka minne sasa ila anataka tukaishi kwao kwa kua kidogo kodi imepanda ili tusave tuweze kuanza kujenga...
2 Reactions
151 Replies
17K Views
Nauliza kama hili linawezekana nijilipue naona usingle utanifanya maisha niyaone magumu zaidi with ziro sms, call zaidi ya huduma kwa wateja Ni hivi wakati nasoma miaka hiyo nipo kidato cha pili...
3 Reactions
14 Replies
743 Views
SWALI.... Zamani wadada walikuwa wakikojoa, mkojo unachimba kishimo, lakini siku hizi wakikojoa mkojo unasambaa, sijui tatizo ni nini? JIBU Tuanze kwa kusema Fizikia ama Hisabati hazidanganyi...
14 Reactions
57 Replies
6K Views
Kipindi hicho ilikuwa napenda sana kushinda Facebook ikatokea nimekutana kufahamiana na msichana mmoja hv katika comments za page maarufu. Mara nyingi alikuwa akipenda kuweka likes na kureply pale...
5 Reactions
23 Replies
3K Views
Baada Ya kuachana na mpenzi wangu, raia wa nchi moja ya nje ya Africa. Nikatulia mwezi mmoja then nkaamua kutafuta kipozeo. Basi nkampata dada kutoka mwanza me naishi Dar, demu ni mzuri,chura ipo...
13 Reactions
168 Replies
16K Views
Wakuu kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu,Mimi ni kijana wa miaka 26 kwa sasahivi(2019). Ninatatizo moja mpaka sashivi kwani kila nikilala na mwanamke(yaani kusex) huwa wanataka niwe nao...
2 Reactions
97 Replies
13K Views
Kumekucha Kuna msichana mmoja hivi alikuwa rafik yangu kitaaaaambo. Ila nilikuja kumtupiaga swaga Lakini akasema HAPANA best Mimi nimeolewa. Nkamwambia WOKEEEEY hakuna neno. Nikaona nifanye...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu mimi toka nianze kuona nyuzi za Zero IQ nimeona ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa fikra... Ila swali langu ni kwamba mbali na ngono yeye hupenda kitu gani kingine? Mbali na kazi za kumuingizia...
1 Reactions
86 Replies
8K Views
Wakuu pole na shughuli za kila siku, Mimi ni kijana nafanya kazi kwenye kampuni moja ya kimataifa apa Tanzania. Kutokana kuwa kampuni kuwa ya kimataifa uwa wanaletwa wafanyakazi kutoka maeneo...
18 Reactions
279 Replies
28K Views
Binadamu siku zote tuna tabia ya kujifariji baada ya kukosa. Wachache sana hukabiliana na Ukweli. Watu wameumbwa tofaut tofaut kuchagua mwanamke au mwanaume (kwa wadada) mzuri si dhambi. Siyo...
3 Reactions
41 Replies
10K Views
Jana katika leo tena nimesikia kisa cha kusikitisha kiko hivi, Kuna jamaa marafiki sana toka chuo wanasoma wote marafiki kiasi kwamba hadi wamekuwa kama ndugu na familia zao zimekuwa kitu kimoja...
27 Reactions
71 Replies
9K Views
Dah...haya mambo ya kuhamishiwa mkoani Dom huku familia zetu tumeziacha Dar , yana changamoto sana...yaani hii kauli ya 'ofcourse I am married but some how available' nimeshakutana nayo zaidi ya...
3 Reactions
47 Replies
4K Views
Inadaiwa chupa hizi moja ikiwa na picha zimekutwa kwenye moja ya fukwe huko Tanga Inaashiria zimerejeshwa nchi kavu na mawimbi ya bahati
1 Reactions
87 Replies
10K Views
Kuna huyu Dada Fatma Chikawa( kama nimekosea jina basi tusamehane) reporter wa Azam Sports kule mapinduzi cup ,yani huyu Dada ananiacha hoji mimi mtoto wa wawanamke wanzake ,popote ulipo naomba...
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari wanajukwaa. Mimi ni kijana wa kiume nina mchumba ambaye tulikubaliana tuanze kuishi kama mme na mke mwezi wa 12 mwaka jana.Lakini kulitokea tatizo kidogo amabapo dada ake alikuwa anaumwa...
0 Reactions
54 Replies
7K Views
Salamu kwenu, nilianza kutembea na dada wa kazi nilipokuwa darasa la sita, 2002 niliona raha sana tangu hapo nikawa naenda chumbani kwake kila siku usiku, alikuwa amenizidi sana umri ila...
4 Reactions
127 Replies
13K Views
Back
Top Bottom