Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Naleta kisa kimoja au viwili kutetea uzi wangu. Baba mmoja mtumishi wa mamlaka moja ya serikali ana kawaida ya kumpa mke Tsh. 300k ya matumizi yake binafsi kama mke kila anapopata mshahara. Hiyo...
27 Reactions
102 Replies
6K Views
Natoa CODE kwa wanaume wenzangu mnaotaka mpate heshima kwa wake zetu, ni rahis tu.....hakikisha mkeo unamzidi kila kitu, umzidi Elimu, kipato, uelewa, maarifa, kimo, umaarufu, umaridadi, ujasiri...
12 Reactions
67 Replies
6K Views
Mwanamke matunzo, Mwanamke kupewa apemdacho, Mwamke shopping, Mwanamke urembo, Mwanamke kupetimwa, Mwanamke Fashion, Mwanamke madikodiko, Mwanamke mtoko, Mwanamke ......... Ukiyamudu...
11 Reactions
201 Replies
15K Views
Habari wa JF. Mwezi wa tatu unakimbia kwa kasi sana. Hivi ulishawahi kuwa kwenye mahusiano na mtu usiyempenda kabisa tena kwa muda mrefu. Au hata kuingia naye kwenye ndoa. Binafsi ishanitokea...
8 Reactions
54 Replies
4K Views
Aliolewa miaka miwili iliyopita(2017),miezi miwili baada ya kuolewa mumewe akahukumiwa miaka 40 kwa makosa la unyang'anyi wa kutumia nguvu na makosa mengine(alimuoa akiwa nje kwa dhamana) Bibie...
2 Reactions
101 Replies
8K Views
Naweza nisiwe katika jukwaa maalum ila nina maswali ninataka nipate majibu yake. Kwa mgonjwa wa moyo, anaweza kufanya mapenzi na mkewe? Kama ndiyo, ni kwa utaratibu upi? Kama sio, jawabu ni nini...
6 Reactions
14 Replies
859 Views
Ukifuatilia sana utakuta wengi wamepiga punyeto bila kujua mbeleni watapata madhara, hasa wale wanaotumia sabuni zile zenye kemikali zikiingia kwenye mrija wa uume baadae utasikia maumivu makali...
10 Reactions
461 Replies
127K Views
[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]leo nmelia sana mpaka sasa sina usingizi siku yangu naiona ndefu ni kama miaka mpaka siku hii kuisha[emoji24] [emoji24] [emoji24]...
10 Reactions
134 Replies
12K Views
Naandika wosia huu kwa vijana wenzangu baada ya kupona maumivu ya kuachana na mwanamke niliempenda sana miezi kadhaa iliyopitaa ila kitu nilichojifunza mwanamke akionekana ameonesha dalili...
83 Reactions
263 Replies
29K Views
Haloo waungwana,mimi nilikuwa na mpenzi wangu ambaye kwa kifupi nlilimpenda muno.nilikutana naye chuo miaka madhaa iliyopita.mara baada ya kuhitimu kila mmoja alienda kwao nahapo ndo shida ikaanza...
4 Reactions
85 Replies
13K Views
Alijifanya kidume, anajua kupigana. Kanipiga kofi na teke la mbavu bila sababu za msingi, nikasema hunijui wewe kama na mapenzi yaishe tu. Nikaenda kumchukulia RB, polisi wamemkamata wamemlaza...
18 Reactions
112 Replies
8K Views
Tuache upumbavu wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" .... Wanawake wengi wamepoteza kazi, ndoto zao na hata wengine wamelemazwa kabisa kwasababu ya huu upuuzi wa kusema "NDOA NI UVUMILIVU" ..... na kuna...
11 Reactions
45 Replies
5K Views
Kuna binadamu ni wanafiki sana na wanapenda kufanya maigizo Kila kunapokua na issues za Wapenzi na mapenzi ambazo zimepelekea vifo. Ninaamini waumini wa statement hii "mkichokana achaneni kwa...
7 Reactions
28 Replies
2K Views
Mwanaume sikia hii uwe mume bora Mwanaume nguvu zako ni kwa ajili ya mke mmoja siyo wanawake wotee Mithali 31 :3 Usiwape wanawake nguvu zako : Mungu alimpa mwanaume mke huyu mmoja kwenye...
19 Reactions
166 Replies
10K Views
Mkoa nilipo hapa kuna msichana ambaye tumetoka mkoa mmoja, kijiji kimoja yeye ameolewa huku, mimi bado sijaoa. Tumekaa muda mrefu bila mimi kujua kama na yeye yupo mkoani hapa ila yeye anajua...
3 Reactions
62 Replies
5K Views
Habari wana jukwaa Naomba msaada tafadhali wale waliomaliza Chuo bila kua na mahusiano ya kimapenzi waliweza vipi? Na wale ambao walikua na mahusiano lakini baadae wakaacha na wakamaliza single...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Kuna watu wakituona sisi tunaandika kuhusiana na life wanadhani sababu hatuji proud sana basi hatuna kitu. Mi nipo vizuri pesa tu ndo basi zijazipata kwa kipindi hiki. Ila nipo handsome sana tu...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Eeeh bwana ehh ni Mimi Mr. Liverpool Tena. Weekend hii tumempiga Manure na nyundo Kali sanaa mpaka kapoteana.!! Sasa jiulize ile ilikua Old Traford, je wakija Anfield..!!! Turudi kwenye mada...
80 Reactions
278 Replies
23K Views
INTRODUCTION... Za muda Wana JF ....... Unaukumbuka mkasa huu wa John, Michael na Mkewe...
13 Reactions
35 Replies
3K Views
Hiki kisa nimekichukua FB asee Mimi ni mama wa watoto 2 mimi na mume wangu tulikua vizuri shida ni huyu mwanaume ambaye niko naye. Nimfanyakazi mwenzangu na ni mume wa mtu. Mwanzo mahusiano...
11 Reactions
79 Replies
6K Views
Back
Top Bottom