Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Ni kweli sisi ni majirani lakini kwanini tokea asubuhi upo hapa kwangu na wakati sijakualika? Jirani kwanini unakuwa hivi lakini? Yani tokea asubuhi unabadilisha story tu mara Treni ya Umeme...
6 Reactions
20 Replies
804 Views
Mara nyingi humu jamvini mtu akija na changamoto ya kuachwa au kukataliwa watu huwa wanashauri tafuta pesa, nunua gari na blah blah nyingine. Sasa swali langu ukiwa na pesa, unamwita mdada...
13 Reactions
99 Replies
16K Views
Good morning. Aisee dume zinateseka humu duniani.Dume inanunulia mrembo nguo ya bei kubwa mpaka laki mbili na zaidi, chipsi, pochi, smartphone n.k. Angalia hiyo dume inatupia suruali moja na...
14 Reactions
66 Replies
1K Views
Hizi simu za Market Place ni basi tu. Baada ya makubaliano akaniambia nikachukue huo mzigo kwa bei che ya 60k. Nimefika, ile kutest kila kitu kiko poa Niko home nikasema wacha niibusti, nashangaa...
14 Reactions
22 Replies
891 Views
Yaani tangu alipoondoka saa 12 asubuhi kufuata zawadi yake ndio anaingia ndani muda huu, kalewa pomoni, anasema huko waliitiwa kula na kunywa. Lakini jirani yetu hapa naye alishinda hizo tuzo...
26 Reactions
101 Replies
5K Views
Wadau wa MMU tuongee Mahusiano Ijumaa ya leo Kuna baadhi ya Wapenzi wakikosana hupigana kama njia ya kuonesha hasira zao Lakini leo tuko na Wanaume. Kwa Mwanaume kumpiga mpenzi wake inaonesha...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Kuna binti hapa mtaani, ni mstaarabu sana. Nimeforce kadri niwezavyo mpaka nimepata mbususu yake iliyododa. Kabla ya kupata penzi lake tulikuwa ni marafiki tulioshibana sana, alikuwa...
4 Reactions
11 Replies
354 Views
Mimi ni kijana umri 36, nina elimu ya college, sijawahi kuoa na sina mtoto, napatikana Dar. Natafuta rafiki wa kike umri 30-34, awe na elimu angalau form 4, asiwe amewahi kuolewa, kama ana mtoto...
7 Reactions
93 Replies
5K Views
Habari zenu ndugu? Poleni na mihangako ya kila siku ya Maisha, natumai mu wazima wa afya. Kama heading inavyosema, nataka kufaham kama ulishawahi kutana na situation kama hio na ulifanyaje...
9 Reactions
209 Replies
29K Views
1. Usioe au kuolewa na mtu kisa anahofu ya Mungu!, kwasababu swala la imani ni swala la uelewa na muda wowote mtu anaweza kubadili mawazo,ama kuamini tofauti na alivyokuwa akiamini awali!. kwa...
6 Reactions
36 Replies
1K Views
  • Closed
Huwezi kukuta mmasai ana ukimwi wala anajiuza kulingana na mila zao. Wamasai ni wastarabu sana na ukipata mke wa kimasai umepata kweli. Lazima utamkuta ni bikra na kama ni mwanaume lazima hana...
9 Reactions
22 Replies
1K Views
Picha ni Mwanandoa aliyezaa nje mtoto kisha hakumuoa huyo dada. Mwanamke aliyekua anamuoa alikuwa hajui kama ana mtoto nje. Siku ya harusi wakati wa kutoa zawadi, mwanamama aliweka mtoto kwenye...
28 Reactions
74 Replies
2K Views
Habari wadau. Vijana wengi wanachelewa sana kufunga ndoa kwa kisingizio cha kusubiri mwenza bora. Ukweli ni kwamba marrying late doesn't guarantee you will marry right. Vijana fungeni ndoa...
12 Reactions
37 Replies
877 Views
Habari zenu? Kuna single mama mmoja binti wa miaka 25, nimekuwa naye kwenye mahusiano Kwa karibu mwaka mmoja na sasa hivi ana ujauzito wangu wa miezi 5. Ila ana mtoto wa miaka mitano aliyezaa na...
10 Reactions
121 Replies
5K Views
Aisee hii mindset ya kusema kabila fulani ni mzuri halafu kabila lingine ni mbaya ni kitu kubaya sana aisee asikuambie mtu wakuu na unatakiwa kuindoa hiyo mindaet kabisa Miezi kadhaa nilimchumbia...
27 Reactions
123 Replies
8K Views
Embu tujaribu mbinu hii, kuwapea game sehemu yoyote, I mean sebuleni, chumbani , jikoni, kwenye gari, bafuni... yaan popote. Hata mkitoka mkienda porini kutembelea mashamba yenu ... shikilia mti...
164 Reactions
596 Replies
30K Views
Habari Wana jf, natafuta marafiki wa kuongea nao na kuchat nao kingereza Kama uko interested ni fuate pm Unitumie namba yako .
4 Reactions
22 Replies
543 Views
Kwema wandugu Kuishi na watu kazi sana, kuishi na ndugu kazi sana Huyu kijana wa shangazi yangu ni mhuni, mlevi, mvivu, si muwajibikaji na hana, nidhamu. Namgharamia kwa vingi, kuanzia kumlisha...
7 Reactions
48 Replies
2K Views
Salamu wakuu. Tuchangamshe kidogo kijiwe kwa hi true story. Ni mwaka 2016 nilimuona huyu mrembo, Ni mtumishi wa Umma na ana watoto wawili, kabeba zigo la haja na guu la dompo Kama sio la bia...
16 Reactions
151 Replies
29K Views
Back
Top Bottom