Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kila dini ina maelekezo yake juu ya tendo la ndoa,miongoni mwa wanandoa, kila kabila lina utamaduni wake kuhusu tendo la ndoa. Jambo la muhimu sana kwa wanandoa, ni kwamba wanafunga ndoa ili...
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Najionea huruma sana nikifikiria kuwa miaka mitano ijayo nitakuwa na mvi na makunyanzi. Ngozi yangu haitakuwa kama leo, ntakuwa na miaka 35. Miaka 35 inabakiza miaka 15 tu niwe na miaka 50...
3 Reactions
50 Replies
6K Views
Habari za muda huu wapendwa? Jamani niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kuna binti mmoja wife alimleta hapa home kwa madhumuni ya kufanya kazi yaani house girl. Basi siku ya kwanza alipofika...
10 Reactions
105 Replies
13K Views
Story inaanza ilikua jana jmos, nilipanga kutoka na mpenzi wangu ambae toka tujuane ni wiki sasa. Alinambia ana mpenzi ila ana kama miezi kadhaa hawajaonana na akanihakikishia ataachana nae ndan...
22 Reactions
36 Replies
4K Views
Mnasikia yanayoendelea, yaliyoendelea na yatakayoendelea. Kila wakati mitandaoni tunaona wanaoliwa mitungo, wanaopakuliwa mambo haramu ni wasomi. Hii ndio sababu bora nikae na form Four Failure...
7 Reactions
36 Replies
1K Views
Watu wengi wanapenda kuoa wanawake bikira, wakati unapomuoa bikira yake inakuwepo ukishambikiri anakuwa sio bikira tena. Je kuna haja ya kuhangaika na mabikira wakati bikira zao hazidumu hata week...
3 Reactions
75 Replies
77K Views
Mwanaume anadai natafuta mwanamke , mchakarikaji. Na mwanamke anatafuta mwanaume mtafutaji Kwa ushauri tu je usipo mpata mke mchakarikaji,au mwanaume mtafutaji? Wewe mtafute mtu tu unayempenda...
6 Reactions
13 Replies
238 Views
Zingatia kwamba, unayemfanyia haya si mume wa mtu, kwani anaweza akatelekeza familia yake na kukufuata wewe. Hii ni kwa mwanamke ambaye yupo kwenye mahusiano na mwanaume. Katika mahusiano yenu...
32 Reactions
128 Replies
12K Views
Niliishauri timu nzima ya Cheka Plus dhidi ya maboresho yenye tija ambayo yalikuwa muhimu kuyatia maanani. Nimefurahi kwa kuwa 70% ya mawazo yangu kuhusu kituo hicho yameanza kufanyiwa kazi...
1 Reactions
2 Replies
421 Views
Jana nimeduwazwa sana baada ya mke wa rafiki yangu kunitamkia wazi kuwa ananipenda na anataka kutoka na mimi. Tangu nifahamiane naye miaka takribani mitano sasa tumekuwa tukiheshimiana naye sana...
6 Reactions
105 Replies
10K Views
Aisee, kama ndoa ndo ngumu kiasi hiki, hiki kikombe kiniepuke kwa kweli. Ni mara mia nitafute mdada, nimpachike mimba kwa makubariano. Siwezi, nasema tena Siwezi, Mola anisaidie. Ni kugumu japo...
2 Reactions
15 Replies
643 Views
Natoka kwa hasira baada ya kunikwaza na kwenda zangu nje au mtaani kidogo kutuliza munkari. Ile narudi tu nakutana na tego la haja la msambwanda basi makosa yanasahaulika au kusamehewa hapo hapo...
10 Reactions
26 Replies
1K Views
Kila mtu ana matamanio yake juu ya mtu au katika maisha, je! Ni aina gani ya mwanamke ambae unatamani kuwa nae lakini hujampata?
6 Reactions
235 Replies
13K Views
Habari mwanaJF, Naomba ushauri rafiki yangu huwa na tabia ya kutongoza kila binti niliye naye kwenye mahusiano. Ni rafiki ninayefanya naye kazi kituo kimoja pia tulikutana kazi japo pia...
7 Reactions
44 Replies
3K Views
Shalom wana jf Iko hivi, kuna huyu dada ni mzuri sana, nko naye kwenye mahusiano Kwa muda sasa!!! Ni boss flani hivi ana kampuni zake kama mbili kubwa In short ana mawe!!! Tatizo n...
6 Reactions
43 Replies
1K Views
Anamaanisha " wee umeisha..hapa umeisha😂😂😂"
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Mkaka upo madhabahuni anamvalisha pete mdada huku umepiga goti, huna uhakika kama mtaishi pamoja hadi kifo kiwatenganishe. Hivi huo ujasiri huwa mnautoa wapi?
8 Reactions
237 Replies
3K Views
Sio kila mwanamke anayekuomba pesa pindi mko kwenye mahusiano kwamba hafai kuwa mke, Baadhi yao wanapitia magumu mengi mno yanayohitaji msaada wa fedha zaidi kuliko faraja, na kwakuwa anakuamini...
9 Reactions
58 Replies
2K Views
Mambo vipi apo nyuma ya keyboard, ugonile.!! Kiukweli zama zimebadilika sana ni ajabu sana wanawake sikuiz ndo wanaitisha mechi kwa kisingizio kuwa mnatest kama yaliyomo yamo kwa wachumba zenu...
20 Reactions
103 Replies
3K Views
Swali: Kwanini Sikuizi Vijana wengi. Tunashindwa Kufikia Malengo ya Msingi juu Yetu..!!? Je.? Tatizo ni Nini …!!??🤔
2 Reactions
4 Replies
173 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…