Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kwanza omba namba zake halafu chat naye kikawaida. Kwa siku kaza usiongee naye kuhusu mapenzi wala nini, wewe chat naye au ongea naye kikawaida. Baada ya hapo tafuta pesa halafu chukua, mfano...
16 Reactions
53 Replies
5K Views
Ni mwaka jana huyu binamu yangu alianza degree alikuwa anaishi kwangu kwasababu ni karibu na chuo pia alikuwa mgeni kwenye mkoa. Niliona namnyima uhuru wa maisha yake ya kimapenzi maana chuoni...
4 Reactions
47 Replies
2K Views
Kuna wanawake walikuwa na nguvu bwana. Achana na akina Wema Sepetu. Achana na akina Mobeto. Yaani hawa walikuwa wanamuamrisha rais nini cha kufanya. Unajua CIA walikuwa makini sana kwenye...
11 Reactions
50 Replies
2K Views
Wanajukwaa, Jana kumetundikwa thread moja, HII-HAPA, ambayo muwasilishaji anayeenda kwa jina la Pearl alieleza anavyoota sifa za wadau mbalimbali wa hapa ndani jinsi walivyo kwa hisia zake na kwa...
7 Reactions
1K Replies
59K Views
Wakati huo mwanamme akipata pesa kitu cha kwanza anachowaza ni namna gani ya kuzitumia pesa hizo na wanawake. Hii ni tofauti inayowatafuna wengi kwa kujua ama bila kujua. Utakuta wengine wikendi...
3 Reactions
10 Replies
808 Views
Nimepata full mkanda wa jinsi ambavyo Bi Suguna huko kijijini kwetu Nanjilinji alivyogoma kuzikwa. Maiti iligoma kuingia kaburini, wakaamua wairudishe kwake ili wafanye mpango wa kuchimba shimo...
11 Reactions
60 Replies
2K Views
Kuna mwanaume anaweza akongea na demu mpya leo akatumia gharaman ndogo na wakapatana leo leo, au akichelewa sana basi ndani ya wiki moja; Wakati huo huo kuna wanaume wengine wanahangaika miezi au...
2 Reactions
7 Replies
549 Views
Wadau nipo monduli huku mwaka mmoja Sasa kuna mademu wa mburu au waitaq wengi Sana na makabila mengne ya kaskazin Ila nakua mzito Sana kuwatongoza
7 Reactions
71 Replies
5K Views
Hi friends! I hope nyote mu wazima!! mwenzenu ninashangazwa sana na hii hali ambayo imekuwa ikinitokea kama wiki 1 sasa! Nimekuwa nikisikia sana hamu ya kufanya mapenzi ikinipata kwa speed...
3 Reactions
192 Replies
16K Views
Habari zenu wakubwa! Ningependa tujadili swala la wafanyakazi wa ndani al maaruf house girls. Wengi wetu, hasa wenye ndoa zao na walio wafanyakazi binafsi au serikalini tumekuwa na hitaji kubwa...
2 Reactions
35 Replies
5K Views
Nimeleta uzi huu MMU kwa sababu unaihusu jamii, hasa wanawake ambao kwa hili ni wahanga wakubwa. Wiki iliyopita wote tulimsikia mheshimiwa kabisa akitoa tamko kuwa mtoto wa kike aliyeko shule...
3 Reactions
63 Replies
7K Views
Habari, mimi nimeoa nina mke na nimezaa nae watoto wa nne, mke wangu ni mzaliwa wa Tanga, kuna mistake ambayo nilifanya nilijikuta natoka nje ya ndoa yangu na kuanzisha mahusiano na binti mwingine...
2 Reactions
52 Replies
2K Views
Hello members! Kuna kitu kilitokea na binafsi kilinishangaza sana kwakweli ila usiniulize nikitu gani. Ni kuhusu wingi au uchache wa shahawa za mwanaume. Ni nini husababisha mwanaume kutoa...
4 Reactions
96 Replies
16K Views
Naombeni ushauri juu ya kumsahau mpenzi wa zamani ambaye tulipendana sana. Huwa tunapigiana simu, kuchat kwa sms na mengine kibao tukikumbushia zamani kitu ambacho naona si kizuri kabisa ilhali...
4 Reactions
102 Replies
19K Views
Kuna wanawake wachache ambao wana weza kudate na maskini ila ni wachache sana ambao wanaweza kuolewa na kijana masikini. Mara nyingi msichana ambaye ana date na masikini kuna kitu anakuwa...
6 Reactions
48 Replies
9K Views
Kuna wimbi la baadhi ya vijana siku hizi kupenda kutoka na wake za watu. Imekuwa kama "fashion" hivi, hata baadhi hudiriki kujisifia kuwa wana mahusiano na wake za vibosile. Naelewa wapo vijana...
5 Reactions
128 Replies
12K Views
Sipende kupoteza muda, hope mkovizuri. Nimekua na hamu ya kufanya mapenzi, lakini mazingira + muda = 0. Nijaribu kupiga nyeto mara 2, na mara zote ninapo fikia kutema nyongo lazima nianguke. 1-...
1 Reactions
59 Replies
5K Views
Habarini wana Jamvi. Mwaka 2022 nikiwa site za barabara huko Malinyi ndani ndani mkoani morogoro ilitokea Nikazaa na Binti mmoja wa kisukuma (Alikuwa na Mzigo balaa) ili hali nina mke na mtoto...
5 Reactions
29 Replies
980 Views
Kwanza nawasalimu, Ndugu zangu mke wangu anachofanya ni hatari sana na inaumiza , wakati namchumbia hadi ndoa hakuwahi kujamba hata siku moja, sasa baada ya mwaka mmoja kwenye ndoa hii tabia...
4 Reactions
97 Replies
17K Views
Habarini wanajukwa, jukwaa pendwa zaidi jf, MMU..... MMU for real. Yamkini zimebaki siku chache kabla ya kuanza mwaka mwingine mpya, tumshukuru M/Mungu kwa kutufikisha paka hapa tulipo na panapo...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom