Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Leo Mjanja M1 nimetafakari sana kuhusu mfanano wa hivi vipakiti vya dawa ya Mbu na Ndom. Je ushawahi kupata msala wowote kwasababu ya hivi vipaketi?
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Ni ukweli mchungu kuwa ipo siku tutakufa na kila kitu kilichopo katika ulimwengu hakitodumu bali kinapita. Ni muhimu sana katika shida zote ukatambua na wewe unahitaji kupata muda wa kuyafurahia...
3 Reactions
5 Replies
422 Views
Niliwahi kuwa na binti mmoja mrembo kwelikweli toka visiwani kizimkazi. Siku ya kwanza nikakuta kikombe kaingia nacho chooni anapiga mswaki. Sijakaa sawa kachukua ndoo ya chooni kakingia maji...
29 Reactions
82 Replies
2K Views
Wadada wa Mama Maria umejaa neema mmeukosha mtima wangu, katika maisha yangu nimebahatika ku-date na wadada kadhaa wa kikatoliki, aisee wanajua kupenda, wanajua kupenda mno, haswa awe Church girl...
8 Reactions
69 Replies
2K Views
HOFU YA UMRI INAVYOFANYA WATU WAPOTEZE UHURU WA KUCHAGUA. Tafiti kadhaa zinaonyesha umri inawezekana ikawa kitu cha kwanza kuwapa msongo wanawake wakihsi kupoteza mvuto na soko lakini pia hata...
9 Reactions
34 Replies
1K Views
Hivi ushawahi kutana na tukio la kibabe mda wa kufanya mapenz I ,,,,hebu tiririka hapa tupeane story
0 Reactions
9 Replies
785 Views
Mzuka? Ndiyo haiwahusu ila ndo hivyo nataka mbeleni niweke ndani mtoto wa kichaga mmachame, maana maneno yamekuwa mengi kuhusu hawa ndugu zangu. Usajili unaanza sasa.
7 Reactions
32 Replies
841 Views
1) Hana pesa 2) Ni Mwenye hofu ya Mungu. 3) Ni mgonjwa. Nje ya hapo, bakora ni lazima😜😜
16 Reactions
83 Replies
3K Views
Kuna mmoja hapa na macho ya kawaida tu, bas nikamwambia unamacho mazuri sana natamani niwe nakuangalia mara zote, eeh basi anajua ni kweli amekaa anayazunguusha zunguusha kumbe hakuna maajabu...
25 Reactions
63 Replies
2K Views
Mwaka jana kuna binti aliniacha ghafla kupitia sms nanukuu "D nimefikiria nimeona hatuwezi fika mbali naomba tuachane" hapo ni baada ya dk kadhaa za kuambiana tunapendana akanipiga block kuanzia...
13 Reactions
27 Replies
2K Views
Hii ni kwa Waramba lips, majobless, watoto wa Mama na wazembe wote😕
6 Reactions
27 Replies
1K Views
2 Reactions
5 Replies
338 Views
Guys good evening Tunaishi Kwenye dunia ambayo huruma ilishapungua kwa binadamu. Watu hawahurumii hisia za wenzao kabisa. Mtu anaweza akaamka na akaona hawezi kuendelea kuwa na wewe, au unakuta...
15 Reactions
45 Replies
2K Views
Wanawake punguzeni roho mbaya na kijicho husda, unakuta mkaka kamuelewa rafiki yako anaomba contanct zake unaanza uchawi wako. Mwenzio pisi kali mkaka anataka kujiweka. Wewe sasa na bichwa lako...
11 Reactions
36 Replies
1K Views
LIFE LESSON 1. Don’t lend money to your family. Give it. 2. Never shake a hand while sitting down. 3. Stop telling people more than they need to know. 4. Never eat the last piece of something you...
7 Reactions
21 Replies
890 Views
Mko salama wapendwa? imekuwa kitambo sana jamani leo nikasema nimepata kaupenyo kidogo wacha niwajulie hali😉😉 Nimewakumbuka sana marafiki wangu wa JF😍 Nikipata tena upenyo nitakuja kuleta uzi wa...
28 Reactions
96 Replies
2K Views
Jamani kwa walioolewa ndoa zao zipoje? Mnashea mabwana kama mie? Unajisikiaje unamjua mchepuko wa mumeo na huna cha kumfanya?
14 Reactions
88 Replies
3K Views
Back
Top Bottom