Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Hili halikuwepo miaka ya 90s kurudi nyuma, sisemi kwamba haikuwa ikitokea, la hasha! bali hata kama ilikuwa inatokea basi ni kwa asilimia ndogo sana tofauti na ilivyo sasa. Katika maeneo...
1 Reactions
149 Replies
14K Views
Nimesikitika sana leo asubuhi rafiki yangu ananitaarifu kua ni wiki sasa mke wake hana amani na furaha kisa amempa taarifa kua ana mchumba na anataka kumuoa. Cha kusikitisha zaidi jamaa...
3 Reactions
60 Replies
6K Views
Wakuu leo naingia kwenye jukwaa hili kuwashauri wana MMU wenzangu, tuache uzinzi. Uzinzi haulipi, ebu jiulize kwa nini uishi kwa wasiwasi kila siku, wasiwasi wa kuwa na UKIMWI. Wasiwasi wa...
13 Reactions
36 Replies
4K Views
Habari. Wakuu sina lengo la kukashifu watu ila naomba niweke wazi mtazamo wangu kuhusu wanaume wenzangu tuliopo MMU. Kwa muda ambao nimekuwa mwanachama humu,nimegundua kua wanaume wengi wa humu...
10 Reactions
167 Replies
11K Views
What a Beautiful Day. Let us express our love,Mutual feelings for the one who u love Jf Members toka other areas mnakaribishwa Kupendana sio dhambi jamani.
16 Reactions
1K Replies
53K Views
Wataalamu wa maswala ya mahusiano wanaamini kwamba, mwanamke anapotoka nje ya ndoa yake, inakuwa rahisi sana kubainika au kufumaniwa kuliko ilivyo kwa mwanaume. Hii inatokana na ukweli kwamba...
8 Reactions
83 Replies
19K Views
Nimeishashuhudia hii hali ya kinadada wanapodrive unakuta wanajiachia paja zao wazi mara kibao tu,hapa nimepata lifti kwenye Gari ya jirani yangu tunaelekea Posta.Kajiachia dah, hivi nikawaida...
2 Reactions
132 Replies
15K Views
Ukitaka weupe wapo, wenye Chura wapo, ukitaka wembamba warefu wapo, yaani wapo mademu wa kila, Aina, Tanzania Mungu aliibariki kwa kweli. CC Zero IQ
8 Reactions
72 Replies
14K Views
Juzi niliweka uzi flani hivi wenye heading " NAOMBENI MBINU ZENU" watu walini ponda wengine wakanipa maujanja ahsanteni woote , ila usiku wa jana shoo ilikua kali yani shoo shoo kwelii. (Nitawatag...
8 Reactions
38 Replies
6K Views
Embu leo wanawake semeni sisi wanaume tushaongea sana now tunaona mmejirekebisha. Haya leo zamu yenu ni hali ipi ukiona kwa mtu wako au mchepuko wako au mwanaume ambaye umepanga kuzagamua naye...
15 Reactions
237 Replies
16K Views
Dharau dhidi yetu zimezidi this is too much hata kama pesa ina umuhimu kwenye maisha ifike time tuheshimiane kama unapenda mwanaume mwenye pesa it's okay basi usianze dhihaka kwa wasionacho. leo...
19 Reactions
246 Replies
6K Views
Wakuu Bango linajieleza. Kama unapata shaka kuwa unamaliza mapema mno kwenye show, relax. Ni vigumu kujua hawa watu wanataka nini. Kumbuka, there's always a second chance. So usiteseke bure...
5 Reactions
2 Replies
790 Views
Hi guys hope mko poa woteeeee rejea kichwa cha habari hapo juuu tunaomba mwenye kujua hili atupe direction pls ' kuna kazi dar tunawaleta mabinti kadhaa na makakaa wengi kidogo nahitaji...
7 Reactions
27 Replies
3K Views
Kupumzika (Kulala) kwa muda sahihi (Saa 6), kunywa Tangawizi tupu iliyowekwa katika Maji ya Moto, kutafuna Nazi, kutafuna Vitunguu Swaumu punje 3 hadi 5 kila Siku, kunywa Maji ya Wastani, kula...
6 Reactions
4 Replies
547 Views
Wadau salaam, Nina mpenzi nimekaa nae kwa miaka mitatu hivi. Nimetaka nimuoe lakini amemwambia dada yake anamwambia kuwa mimi ni mkubwa sana kwake kwa hiyo kwa umri huo nina familia nyingine...
3 Reactions
33 Replies
541 Views
Naombeni Majibu Umri sahihi wa kuoa ni miaka mingapi pamoja na -kupata mtoto Nimeshajipata ,now Nina miaka 23 ,Nina kazi Serikalini, Nyumba, Elimu Japo kwa Msaada wa Wazazi
8 Reactions
36 Replies
550 Views
Nina changamoto mke wangu kaenda mkoa mwingine kaajiriwa nimebaki na beki tatu kuna muda upwiru unakaba sana halafu nikimwangalia huyu beki tatu ana jicho moja hivi dah Mungu anisaidie kwa kweli...
5 Reactions
44 Replies
700 Views
Uchunguzi wangu wa muda mfupi unaonyesha kuwa huku mitaani kuna upungufu mkubwa wa wanawake wenye mimba. Hii maanake ni kwamba wanawake hawa hawaingiliwi na wanaume zao. Nikajaribu kufanya...
16 Reactions
42 Replies
727 Views
Binti ni kama bidhaa sokoni inatakiwa umkague mwili wake wote kabla hujamuoa, Kuna mtu humu jamii forums alikuja kulalamika , kuwa amemuoa mwanamke afu ndani anakutana na tattoo kubwa isiyofutuka...
9 Reactions
66 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…