Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Jamani eeeh kweli dunia sio mbaya walimwengu ndio wenye vihoja. Mwishon mwa mwaka jana nilijikuta nafanya mapenz na mke wa superstar mmoja hapa bongo bila kujua. Ilikua hivi, nakumbuka ilikua...
13 Reactions
124 Replies
17K Views
Kama heading inavyojieleza hapo juu.... Habarini wadau jamani mke wangu anaujauzito na tarehe ya matarajio ilikua ni tarehe 1 lakini naona siku zinaenda tu mtoto wangu hazaliwi kazi yake...
4 Reactions
13 Replies
5K Views
jamani naomba mwenye sample ya talaka humu ndani anipostie nataka kufanya maamuzi magumu kidogo
3 Reactions
79 Replies
23K Views
Hello guys, Kuna msemo mmoja unasema kuwa "behind every succesful man there is a woman", means kuwa mwanamke huchangia mafanikio ya mwanaume kwa kiasi kikubwa, i believe most of u JF men...
21 Reactions
29 Replies
2K Views
*Kweli wasichana mna akili za usiku tu. Unakuta msichana analalamika, "Ooh nyie wavulana ata mfanyiwe nn hamridhiki, ata mpendwe mara ngap, mi mpenzi wangu nilikuwa nampenda tena saaana ila...
5 Reactions
47 Replies
8K Views
Huyu dada nimekutana nae juzi kwenye gari kuja Iringa, nikamtongoza akajishaua shaua mwisho akaniambia nimpe namba ya simu atanijibu tukishaachana stand, nikampa. Jana akanipigia na kudai...
20 Reactions
613 Replies
33K Views
Kuzingatia ya kwamba wale waliozaliwa mwaka 2000 wametimiza/wanatimiza miaka 18. Kuzingatia ya kwamba watoto wa sasa hivi wanawahi kukua. Kuzingatia ya kwamba kulala na minor ni sawa na kubaka...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wana swaga za kishamba na njaa kali ukimsalimia tu anageuka yatima anakufanya foundition au NGOs wanajiabisha kwakweli. Swagga hizo wakawale wengine lakini sio hapa mjini Dar es Salaam, wamefeli...
32 Reactions
305 Replies
27K Views
Mimi sijipakulii minyama ila huyo mwanamke atakuwa kapata bahati sana Mimi sio mlevi sana, naheshimu mawazo ya watu, sikasiriki ovyo najitambua mno, simyenyekei mtu kisa ana pesa Wala mamlaka...
25 Reactions
115 Replies
2K Views
  • Redirect
""Nilikutana na wewe mke wangu ukiwa ni mwanachuo katika chuo cha Mwalimu Nyerere kigamboni. Tukaanzisha mahusiano ya kimapenzi. Mimi ni muislamu. Lakini mwaka 2008 nikaamua kukuoa kwa ndoa ya...
1 Reactions
Replies
Views
"Aziz K kama atataka Kuona Mke wa pili Mimi Hamisa Mobetto nipo tayari kabisa kwani hata Dini yetu inaruhusu'' amesema Mke Mbichi wa Aziz K Poti wangu Hamisa Mobeto. Chanzo: minotv_tz Na ndiyo...
12 Reactions
75 Replies
2K Views
Habarini za jioni wakuu? katika pitapita zangu na uchunguzi wangu wa hapa na pale kutaka kuielewa biashara wanayofanya wadada wanaohudumia watu wenye mahitaji ya kufanya mapenzi. kwanini hao...
6 Reactions
207 Replies
38K Views
Aisee mara utasikia kosea nini sijui ila usikosee kuoa. Wakuu, mimi nasema kosea yote lakini usikosee ukazaa na mwanamke kichaa au wa uswahilini. Kuna rafiki yangu ana kila kitu ila alifanya...
8 Reactions
29 Replies
436 Views
Bbbbb
11 Reactions
420 Replies
28K Views
Duh kazi kweli kweli dunia imeisha ,watu wanafanya matusi hadharani hiki ni kinyume na maadili, hivi Dar kuna shida gani? Tatizo ni nini? Hebu tujuzane wana jf
0 Reactions
39 Replies
5K Views
Wanajamvi. Kwa Masikitiko makubwa napenda kuwaataarifu Member mwenzetu Heaven Sent kafiwa na Baba ake Mzazi leo hii. Kwa Mujibu wa Heaven anasema mzazi wake ameamka salama akiwa anajiandaa...
33 Reactions
415 Replies
24K Views
Dada wa watu anaomba ushauri Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale...
17 Reactions
207 Replies
4K Views
Hebu tupeni ushuhuda wale ambao mlioa mwanamke ambae alikuwa na ndoa yake akaachana na mumewe kwa ajili yako, je, unaishije nae? Mko happy au jinamizi la ndoa ya Kwanza linawatesa? Pia wanawake...
4 Reactions
7 Replies
462 Views
Habari Wakuu Binafsi nimejikuta nikiingia na mahusiano na mke wa mtu lakini ilikuaje? Nilijikuta ninampenda binti mmoja kwa mara ya kwanza nilivyomuona nikamwiita na nikaongea nae na akanipa...
39 Reactions
158 Replies
21K Views
Ilikuwaje, je alibadilika tabia, alipunguza mawasiliano, uligundua uaminifu hakuna au jambo gani lilitokea ukajua wewe na yeye hamna future na mtaachana. "Nalivua pendo by Mwasiti"...
6 Reactions
120 Replies
3K Views
Back
Top Bottom