Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kuna yale majina ya kike yametokana na majina ya baba zao ila tu yamegeuzwa herufi ya mwisho. Mara nyingi huwekwa "A". Muda mwingine mzazi hulazimika kupindua jina ili tu kuleta sare ya majina...
5 Reactions
9 Replies
405 Views
My Heart Beats for You, My Charming Tumbili 🌟 Dearest Tumbili wa Mjini, From the moment your mischievous smile lit up the chaos of this city, my world has never been the same. You swing into...
14 Reactions
210 Replies
3K Views
Ndugu Wanajamvi kama kichwa cha habari kinavyojieleza Leo hii kumekithiri Malalamiko ya Vijana Mabarobaro (bachelors) kwamba wanachunwa na Vidada vya Mjini sasa Kero hii imepata ufupumbuzi. Nini...
12 Reactions
122 Replies
10K Views
Habari za maisha ndugu zangu wa jf.. Matumaini yangu ni wazima wa afya njema huku mkiendelea na majukumu yenu ya kila siku.. Back to the main point.. Ni mwaka mmoja sasa umepita tangu niachane...
5 Reactions
119 Replies
28K Views
Mi nataka kuulza eti kuna baadhi ya wanawake kufanya nao mapenzi mpaka uoe? na je inaleta sense kwel!
1 Reactions
79 Replies
10K Views
Yaani kadada kamemset mzee (uncle wake wife) mpaka amekuwa kama zezeta. Picha kamili ipo hivi. Huyu ni mzee wa heshima kabisa, ni bosi wa taasisi moja nyeti hapa Dar. Siku moja hivi kama mwaka...
2 Reactions
85 Replies
6K Views
Uzi TAYARI. #YANGA_BINGWA #YNWA
16 Reactions
38 Replies
1K Views
Wakuu Mimi ni kijana wa umri wa kuoa (miaka kati ya 23-30),mwezi wa nane mwaka jana nilienda kuchumbua katika kijiji jirani, Nilienda na mwenyeji wangu,NA zoezi la kuchumbia lilikamilika na...
9 Reactions
53 Replies
1K Views
SOMO: ADUI MKUBWA WA NDOA Kila ndoa ina taaabu zake.Hakuna ndoa yoyote duniani aambayo haina changamoto. LAKINI kuna Mambo yakipewa nafasi yanaweza kuleta balaa kwenye ndoa yoyote Ile . Hapa...
6 Reactions
16 Replies
468 Views
Kuna kipindi mke wangu alikuwa anabana Sana kunipa utamu yani hadi umbake la si hivyo utalala mzungu wa nne mwezi mzima kwa visababu visivyoeleweka Sasa kama rijali nikaona usinitanie kwanini...
12 Reactions
96 Replies
2K Views
Wanajukwaa nina changamoto inayonisumhua ubongo wangu. Inshort mimi ni kijana nayetaka kuoa sasa japo changamoto inakuja kwa mama yangu kwasababu nimeshapeleka wanawake watatu kuwatambulisha ila...
12 Reactions
46 Replies
1K Views
Kuna mzee wa kanisa mmoja alifiwa na mke hakymaliza miezi miwili akatangaza ndoa mpya kanisani na kuoa fasta. Kuna mwamba mmoja hata mwezi haukukatika akavuta kitu,ila watoto wa marehemu...
7 Reactions
47 Replies
843 Views
Katika Ukurasa wa Mtandao wa NIVURUGENIKUVURUGE kuna Taarifa pamoja na Video ya Mzungumzaji akisema kuwa karibia Wanawake wote ambao Diamond anakuwa nao Kimahusiano huwa wanashindwana na hata Yeye...
3 Reactions
7 Replies
382 Views
Umeshawahi angalia tv za makanisan Ama ushawahi KWENDA makanisa ya kilokole NKAONA mapepo yanavyowatesa wanawake Binafsi niliiwahi KWENDA kawe na bado naenda kawe na makanisa mengine ya kilokole...
4 Reactions
13 Replies
312 Views
Wana Jf Nilijiunga chuo kikuu cha serikali nikitokea kazini. Hii inamaanisha nilikwenda nikiwa mtu mzima umri wa miaka 35. Kwa kuwa nilikuwa mtu mzima nilikutana na watoto wadogo sana na wengine...
16 Reactions
92 Replies
3K Views
Hapa Naona kama nimepigwa hivi, siku tano baada ya mizagamuo anahisi mimba!? Ila siku niliokutana nae alikuwa danger day Oya nishaharibu
1 Reactions
13 Replies
316 Views
Kuna siku mke wangu alinuna kwenye ndoa kila nikiomba tendo ananiwekea ty nafanya bila ushirikiano wowote. Nikaamua kumchana na kumwekea ngumu na kusema siridhishwi na mwenendo wako kwa tendo...
7 Reactions
39 Replies
1K Views
JE KUNA UKWELI WOWOTE KWAMBA KIPATO CHA MWANAMKE KIKIONGEZEKA HUWA CHANZO CHA KUONYESHA DHARAU NA KIBURI? Swali hilo linaweza kuwa na majibu aina mbili ndiyo na hapana kwa wakati mmoja. kwa uzoefu...
6 Reactions
26 Replies
659 Views
Wakuu, Kuwa na maumbile makubwa hasa mwanaume kunaweza kusababisha kuachana mapema baada ya kumpata umpendae, fikria umemtongoza dada wa watu kwa muda mrefu au unataka ule tunda kimasihara,lakini...
12 Reactions
79 Replies
2K Views
Nini hasa ilikua sababu ya msingi hata ukaachwa na mpenzi wako na mlikua mnapendana sana? Umejifunza nini kwenye mahusiano yako mapya dhidi ya ulikopigwa chini na kinaimarisha uaminifu na upendo...
1 Reactions
22 Replies
341 Views
Back
Top Bottom