Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Huyu rafiki yangu nilimtembelea nyumbani kwake Dar es salaam. Mimi nilikuwa nafanya kazi Mtwara na nilikuja Dar ili niunganishe usafiri wa kwenda kwetu Musoma. Nyumbani kwa rafiki yangu...
44 Reactions
121 Replies
17K Views
Nataka kujua hawa dada zetu waliokeketwa wakiwa wadogo hawajitambui kipindi hicho je wanakabilianaje na suala la kuridhishwa kimapenzi. Maana huwa nasikia ni wagumu sana kukojozwa kabisa sasa je...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Nimetoa mahali mie sio muhusika huyu mtu anaomba ushauri wenu. Anaishi na mkewe na wameoana ila mke wake anamkasirikia maana huyu kaka analala kitanda kimoja na namama yake. Yeye amesema wala...
0 Reactions
9 Replies
435 Views
Siku hiyo nilikuwa kazini. Mke wangu alibaki nyumbani na mwanangu wa kike wa miaka 11 . Sasa ilipofika muda wa saa 11 mke wangu alitoka na kumwaga mwanangu kuwa anakwenda dukani bila mwanangu...
58 Reactions
197 Replies
18K Views
Wana MMU kuna historia nyingine za Mapenzi zinatesa sana. Kuna mdada mmoja tulikuwa wapenzi na uhusiano wetu huo wa kimapenzi ulianza 2009, kwa bahati mbaya au nzuri mi ndiyo niliyekuwa...
1 Reactions
129 Replies
17K Views
Dear Miss Leejay49 , Good evening my Favorite Member here at JF As you said yesterday, after writing here that one of the JF Members I like is You. And Ivan Stepanov said he loves you, He also...
32 Reactions
423 Replies
13K Views
Wakubwa njoeni tumalize huu utata maana ipo siku nitamchapa makofi huyu mwanamke ambaye ni mke wa mtu hadharani na adhalilike kabisa. Kama tujuavyo kuna baadhi ya majina ya kiume ukinyumbua...
6 Reactions
74 Replies
4K Views
Habari ningependa kujua hivi watu wanaopenda kutoa lugha chafu huwa wana matendo Gani machafu yaliyojificha nyuma yake?
1 Reactions
11 Replies
550 Views
Mmmmh.... Nimewaza. Unamwambia mpenzi wako akunyonye mashine sababu unapenda. Kumbe siku hiyo kaamka vibaya network inakuja inakata, inakuja inakata inasoma EDGE kidogo inapotea. We unachukulia...
13 Reactions
32 Replies
1K Views
Dah nimejaribu fikiria sana kuhusu hii kitu. Kuhonga mwanamke au kumpa hela ili ulale naye wewe mwanaume si halali bali kutoa posa au mahari ili kujiakikishia unakuwa na mbususu maisha yako yote...
3 Reactions
6 Replies
432 Views
Hii ndio kauli niliyoambiwa na wife wangu kipindi hiko nipo moto balaa michepuko kama yote sieliwi nawaza misabwanda tu. Hii kauli ilibadili maisha yangu sana. Nikawa mpolee na familia.. Wewe...
7 Reactions
12 Replies
680 Views
Copied somewhere 1. Have a joint vision for your love. Don't just be together without direction. Agree on areas you will grow in, things that will define your year and projects you will pursue...
2 Reactions
4 Replies
608 Views
Ndugu zangu.. Hawa wanawake wa sasa sijui shida ni nini , hawapo romantic kabisa , ni wakavu mno na hawaonyeshi ushirikiano chanya wa kihisia kwa mwanaume. Ni wagumu sana kihisia mpaka mtu...
2 Reactions
10 Replies
525 Views
Katika mahusiano kila mtu huwa anahisia zake huyu anapenda hivi huyu anapenda vile sindiyo. Sasa hebu funguka hapa, wadada hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi.
18 Reactions
379 Replies
16K Views
Hisia hazitabiriki. Hisia zinabadilika haraka sana. Hisia zinaweka kufanya uharibu mambo. Hisia zitakufanya uhisi huna maamuzi kwa muda huo lakini akili ni maamuzi ya muda mrefu. Maamuzi ambayo...
4 Reactions
13 Replies
3K Views
WANAUME •Wanaume hujisikia salama •Husaidia kushuka chini wakiwa na hasira •Hujisikia ana rafiki wa kweli •Hujisikia kupendwa •Hujisikia ni mali yake •Ni nafasi na kutoa na kupokea upendo •Kusikia...
1 Reactions
4 Replies
694 Views
Tutasalimiana baadae ngoja ni jump mpaka kwenye mada yenyewe. Mimi nimeoa mke ambae mtumishi(anatumikia vyeti vyake) ambapo inapelekea mke wangu kupata ma safari ya kikazi ambayo muda mwingine...
24 Reactions
132 Replies
14K Views
Watu wamekuwa wakilalamika sana kwamba ndoa ni ndoano hawaoni raha ya ndoa but ukweli shida ni wao wenyewe kutojua maana ya ndoa na ni kwa namna gani wanandoa wa behave. Ndoa ni heshima ila lipo...
10 Reactions
18 Replies
2K Views
Wanawake wengi katika ndoa hulalamika sana hasa kutokana na kukosa msisimko wa mapenzi wakati wa faragha. Wanalalamika kwa kuwa wanaume kila siku hutoa kitu kilekile, anakubusu, anakugusa kidogo...
4 Reactions
16 Replies
743 Views
Huyu bwana ni Mtumishi wa umma huko mwanza, ameng'atwa mdomo na Mkewe!
16 Reactions
146 Replies
3K Views
Back
Top Bottom