Huyu rafiki yangu nilimtembelea nyumbani kwake Dar es salaam. Mimi nilikuwa nafanya kazi Mtwara na nilikuja Dar ili niunganishe usafiri wa kwenda kwetu Musoma.
Nyumbani kwa rafiki yangu...
Nataka kujua hawa dada zetu waliokeketwa wakiwa wadogo hawajitambui kipindi hicho je wanakabilianaje na suala la kuridhishwa kimapenzi.
Maana huwa nasikia ni wagumu sana kukojozwa kabisa sasa je...
Nimetoa mahali mie sio muhusika huyu mtu anaomba ushauri wenu.
Anaishi na mkewe na wameoana ila mke wake anamkasirikia maana huyu kaka analala kitanda kimoja na namama yake. Yeye amesema wala...
Siku hiyo nilikuwa kazini. Mke wangu alibaki nyumbani na mwanangu wa kike wa miaka 11 . Sasa ilipofika muda wa saa 11 mke wangu alitoka na kumwaga mwanangu kuwa anakwenda dukani bila mwanangu...
Wana MMU kuna historia nyingine za Mapenzi zinatesa sana.
Kuna mdada mmoja tulikuwa wapenzi na uhusiano wetu huo wa kimapenzi ulianza 2009, kwa bahati mbaya au nzuri mi ndiyo niliyekuwa...
Dear Miss Leejay49 , Good evening my Favorite Member here at JF
As you said yesterday, after writing here that one of the JF Members I like is You. And Ivan Stepanov said he loves you, He also...
Wakubwa njoeni tumalize huu utata maana ipo siku nitamchapa makofi huyu mwanamke ambaye ni mke wa mtu hadharani na adhalilike kabisa.
Kama tujuavyo kuna baadhi ya majina ya kiume ukinyumbua...
Mmmmh.... Nimewaza. Unamwambia mpenzi wako akunyonye mashine sababu unapenda. Kumbe siku hiyo kaamka vibaya network inakuja inakata, inakuja inakata inasoma EDGE kidogo inapotea.
We unachukulia...
Dah nimejaribu fikiria sana kuhusu hii kitu. Kuhonga mwanamke au kumpa hela ili ulale naye wewe mwanaume si halali bali kutoa posa au mahari ili kujiakikishia unakuwa na mbususu maisha yako yote...
Hii ndio kauli niliyoambiwa na wife wangu kipindi hiko nipo moto balaa michepuko kama yote sieliwi nawaza misabwanda tu.
Hii kauli ilibadili maisha yangu sana.
Nikawa mpolee na familia..
Wewe...
Copied somewhere
1. Have a joint vision for your love. Don't just be together without direction. Agree on areas you will grow in, things that will define your year and projects you will pursue...
Ndugu zangu..
Hawa wanawake wa sasa sijui shida ni nini , hawapo romantic kabisa , ni wakavu mno na hawaonyeshi ushirikiano chanya wa kihisia kwa mwanaume.
Ni wagumu sana kihisia mpaka mtu...
Katika mahusiano kila mtu huwa anahisia zake huyu anapenda hivi huyu anapenda vile sindiyo.
Sasa hebu funguka hapa, wadada hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi.
Hisia hazitabiriki. Hisia zinabadilika haraka sana. Hisia zinaweka kufanya uharibu mambo. Hisia zitakufanya uhisi huna maamuzi kwa muda huo lakini akili ni maamuzi ya muda mrefu. Maamuzi ambayo...
WANAUME
•Wanaume hujisikia salama
•Husaidia kushuka chini wakiwa na hasira
•Hujisikia ana rafiki wa kweli
•Hujisikia kupendwa
•Hujisikia ni mali yake
•Ni nafasi na kutoa na kupokea upendo
•Kusikia...
Tutasalimiana baadae ngoja ni jump mpaka kwenye mada yenyewe.
Mimi nimeoa mke ambae mtumishi(anatumikia vyeti vyake) ambapo inapelekea mke wangu kupata ma safari ya kikazi ambayo muda mwingine...
Watu wamekuwa wakilalamika sana kwamba ndoa ni ndoano hawaoni raha ya ndoa but ukweli shida ni wao wenyewe kutojua maana ya ndoa na ni kwa namna gani wanandoa wa behave.
Ndoa ni heshima ila lipo...
Wanawake wengi katika ndoa hulalamika sana hasa kutokana na kukosa msisimko wa mapenzi wakati wa faragha.
Wanalalamika kwa kuwa wanaume kila siku hutoa kitu kilekile, anakubusu, anakugusa kidogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.