Pamoja na kutupa ndoano kwa wasichana wengi zaidi toka naanza kupata hisia mpaka kuwa mkongwe katika maisha yangu ni mara moja tu ilitokea mrembo nikampa somo akakiri na kusema "NIMEKUBALI,hata...
Habar zenu wana jamiiForum nilikuwa naomba mnipe ushaur kuhusu hili-:Kuna siku wakat napiga simu nikakosea namba moja tu akapokea msichana kama mnavyojua vijana kupokea nikamwambia kuwa nakupenda...
Wadau kuna wanawake wengine wanajiona wao wazuri wao kila kitu na ukimuangalia huyo mdada hana hata shape wala sura yupo yupo tu lakini anavyojiona analeta pozi mpaka kwamadem wezake hii tabia...
EX no1 alikuwa bahiri,sijawahi ukiona hata sh kumi yake
EX no2 alinidanganya kumbe Ana mchumba,niligundua baada ya mwaka
EX no3 nae aliniacha baada ya tendo akakata mawasiliano,after 1yr akaoa...
Heshima kwenu Wakuu!
Ni takribani wiki mbili hivi zimepita, mimi & wenzangu tulipokwenda mkoani Mwanza kwa ajili ya semina ya kikazi.
Ilikuwa semina ya muda wa mwezi mmoja ikihusisha wafanyakazi...
Nampenda bata,huwa anachelewa sana.
Simpendi kuku anawahi mno.
Nampenda bata huwa ana Gobole haswaa.
Simpendi kuku,sijui kale ni ka bamia.
Unapenda nini ndugu yangu?
nimekuwa katika utafiti kidogo kuhusu why wanawake wanapenda kuonekana weupe ndio uzuri. unakuta demu kwa color yake halisi ni mzuri but anajiribu kuitengeneza kwa design nyingine. Kuna siku...
Mimi ni mwanaume, ila siyo vibaya nikatoa elimu hii kwa wana MMU wote, walegwa zaidi ni madada zetu.
Amna kitu kizuri kama kama nyumba yenye furaha, amani na upendo, kuna vitu vichache ambavyo...
Jamani hiki ni kisa nilichoshuhudia mwenyewe.
Dada mmoja alifumaniwa live na mume wake akingonoka na mwanaume mwingine ndani ya nyumba yao.kwa bahati mbaya yule mwanaume alifanikiwa kutoroka...
Habari zenu wana mmu. baada ya wife kujifungua kabla ya kuruhusiwa dokta akatwambia tukae bila ku du mpaka baada ya wik 6 hat miez 3.dah muda wote huo nimegoogle nikakuta dk yupo sahihi.najiuliza...
Habari zenu wakubwa!! Wakubwa zangu heshima yenu nawapatia. Nimeanza uhusiano na dada mmoja kama miezi mitatu imepita sasa. Nampenda na yeye anasema ananipenda. Nimeanza naye uhusiano baada ya...
^^
Kumtafuta mtu unaetaka siku moja uungane nae katika maisha yako yote yaliyobakia ni jambo moja na kumudu kuishi nae ni jambo lingine linalojitegemea,
Inatokea mara nyingi sana wawili hawa...
Msaada samahani,Mume anakuambia laivu kuwa ana mwanamke nje na hujamkosea lolote na muda huo anakuambia anakupenda sana, Kiukweli inauma na sijui nifanye nini.
Wanajamvi asalaam aleikum....habari zenyu banaaaaaaa
kimya kingi kinamshindo,nilikuwa holiday it was fun nime-enjoy kiukweli
but jambo la msingi ni kuwa am getting married...soon
nimekuta PM za...
kumekucha wana MMU! Naamini hamjambo na mnaendelea vyema na majukumu ya hapa duniani hasa kujishughulisha na familia zetu, maana ni jukumu letu la kwanza baada ya kumaliza yanayomhusu Mungu! Kama...
Habari wana MMU! Mimi ni kijana wa kiume nina umri miaka 29. Nina mchumba wangu kwa sasa tuna muda wa miezi10 ktk mahusiano yetu kuna jambo kubwa ambalo linanisibu na mara nyingi tunatokea...
Ukiondoa Uzinzi, Tabia gani au kitu gani kingine ambacho hupendi mke/mumeo akifanye?maana kila binadamu anakuwa na tabia yake ambayo si rahisi ikamfurahisha mwenzake kwenye mahusiano au ndoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.