Far from being in agony during childbirth, it has been claimed labour can actually give women an orgasm.
New evidence backs up theories that women can enjoy birth to the point of ecstasy...
watoto wanachukuliwa kuwa viumbe ambao akili yao haijakomaa,kwa hiyo wanadanyika kirahisi na pipi,chocolate,biscuits nk.
HATA wanawake wanadanyika pia kama wadanganyikavyo watoto kwa pipi,tofauti...
Kama kawaida lazima nikifika nyumbani tu naenda contena kwa mangi kurefresh na kupata nondo mbili za kulalia, yes nondo........ nimeama kesto....... Mangi kama kawa lazima akupe story za...
ndugu wana jf nina mpenzi wangu nampenda sana, nimejitahidi kadri ya uwezo wangu kuwa mwaminifu kwake lakini tangu amegundua kuwa nampenda ananitesa sana, muda mwingi hapokei sim zangu, text...
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Leo nimeongea na my sis kuhusu yeye kumpeleka mwanae nursey school! Sasa yeye what she had in mind ni IST, Upanga nursey ama Aghakan schools...
Hay mabestito wangu wa ukweliiiiiiiiiiii
Ugweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kajisemea lara 1
Uhiari ni jambo la msingi tena ni kitu adimu ambacho
huwezi kupata sehemu yoyote ile hata kama...
Habar zenu wana jamiiForum nilikuwa naomba mnipe ushaur kuhusu hili-:Kuna siku wakat napiga simu nikakosea namba moja tu akapokea msichana kama mnavyojua vijana kupokea nikamwambia kuwa nakupenda...
Kuna aina nyingi sana za tabia mbaya, lakini bila shaka zile kubwa kabisa ziko sita. Hii ina maana kwamba mtu anapoishi popote ajue kwamba, kwa njia moja au nyingine atakuwa anapambana na watu...
Wanawake wa Botswana kurithi mali.... Mahakama nchini Botswana imeweka historia kwa kuwaruhusu
wanawake kurithi chini ya sheria za kitamaduni na kukataa
utamaduni wa wanaume kuwa warithi wa...
The Chinese give a beautiful explanation to this. The thumb represents your parents. The index finger represents your siblings. The middle finger represents yourself. The ring finger represents...
Habari za ujenzi wa taifa wanajamii??
Nadhani ijumaa ilikuwa ni njema sana kwenu. kwanza nitangulize shukurani kwenu wote maana tangu nijiunge na jukwaa limekuwa na msaada mkubwa saana kwangu...
Ndizi:
Kwa kweli haipendezi kabisa mwanamke kula ndizi hadharani, inaweza kuwa barabarani au katika mghahawa wa wazi. Kitendo cha mwanamke kula ndizi hadharani kinampotezea mvuto kabisa na hata...
Naileta kama nilivyosimuliwa....
Kuna mdada au mmama alifumaniwa na mumewe kwenye getto la kijana wa kitaa.
Alivyoona mumewe anahangaika na mgoni (kumdunda na kumkamata) mdada karuka dirishani...
Wakuu habari
Nisaidieni kwa hili mana mimi na wife naona tunaenda toilet(kubwa) kwa timing sana na hakuna aliewai kumuuliza mwezie! (siwezi kwenda ananiona like sijawai kumuona akienda!) ni...
kunako mechi pevu ya kitandani utalaamu ni mhimu.
leo nataka tujadili matokeo na umuhimu wa kuzungusha viuno kwa wanawake.
lakini zaidi ni kwamba ni ajabu leo nimekutana na jamaa analalamika...
Kutokana na amri ya rais we2,ya kuwarundisha wahamiaj haramu.
Moyo umekutwa na simanz kwan nimeathirka kwa namna 1, kwan nilikuwa mwanamke wa kitusi na tuna watoto wa 3 na anamimba,
so nilikuwa...
Tokea nkiwa primary,secondary,chuo,kazin na mtaani kwa ujumla nimekua nikisikia si mara moja kua kuna makabila hasa kaskazin na kanda ya ziwa nchini kwetu wana mila na desturi ambayo naona ni...
Nimeona leo si vibaya tukashare hili jambo ambalo ni kati ya mambo muhimu katika maisha ya wanadamu.
Nimesikia na kuona watu wanapanga idadi ya watoto na wengine wanawekeana ahadi kwamba...
mwaume mwenye familia na watoto Anapoamua kuwekeza mgegedo kwa kukabidhi kipato chote kwa gubegube.
1.Watoto hawalipii tena ada
2.haachi hela ya chakula nyumbani
3.hata hela ya kalamu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.