Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Ukitakaka kuondoa stress basi wewe peruzi jf. Ona mmoja wa wadau asemavyo,nanukuu: "mbunge wetu......haonekani bungeni,ukimuhitaji mkute guest house "AKICHONGA PENSELI YAKE KWENYE KICHONGEO"...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
si kwa ubaya kama umewahi kutembelea benki ya equity tawi la golden jubilee basi bila shaka utakuwa umewahi kukutana na angel like face ya binti mmoja hivi kwa muonekano kama half cast ivi...
0 Reactions
86 Replies
10K Views
wadau leo nimepata jipya eti boy friend wa binti amedai hawezi kufunga ndoa kwasababu binti hana ndugu wenye uwezo wa kumfanyia send off. Hivi huyu mtu ni muoaji kweli? Mimi sidhani.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
awe 1.mzuri 2.mpole 3.mkarimu 4.mpenda watu wote 5.asiwe na makuu 6.atakeheshimu ndoa 7.elimu(reserved) 8.apendaye wageni na ndugu wa pande zote HAPO NAMBA 8. wanawake wengi ni...
1 Reactions
46 Replies
4K Views
wadau nisaidieni modem ya airtel haisomi kabisa mpk nitumie 3 bandmodem ndoo inasoma hii modem ni TZE MF 190
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mke wa rafiki yangu amejifungua wiki kadhaa zimepita, rafiki yangu siku zote alipenda kuwa part of everything going on with his son ikiwa ni pamoja na kumuogesha kichanga. Alimuomba mama mkwe wake...
3 Reactions
59 Replies
4K Views
Ile staili ya mwanzoni mwa miaka ya 2000 ya kuwang'oa warembo kwa kuwahadaa safari za South, Dubai, Mauritius na hata Zanzibar, sasa imerudi tena. Huwa inakuwaga hivi, jamaa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mwaka 1995 tulikuwa na mkata majani wetu aliyeitwa Manase. By that time, Manase alikuwa na miaka 25. Huyu jamaa alikuwa smart sana, kwa namna alivyo kuwa anajiweka smart...
2 Reactions
11 Replies
5K Views
Jamaa yangu mmoja kapigwa changa la macho. Mpenzi wake aliyedumu naye kwa taktiban miaka miwili, ambaye alikuwa mara nyingi anamsisitiza aende kwao akajitambulishe ili wafunge ndoa huku jamaa...
0 Reactions
52 Replies
6K Views
Najua vijana tunapenda sana kugegedana. Ushauri wangu punguzeni au acheni kabisa au baki na mmoja umpendae.Sio kila umwonae mate yanakutoka. UsiniPM kuniomba namba ya simu.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Pia inawahusu wale ambao hivi karibuni watafunga ndoa. Nawafahamu baadhi ya watu wameacha kufuatilia michezo, kuhang out na mambo mengine kwa sababu wapo kwenye ndoa. Mwana MMU vitu gani ambavyo...
3 Reactions
43 Replies
4K Views
Namba 16 imeitwa jina la kuwa ni NAMBA YA WASICHANA kutokana na wengi wao kudanganya umri kwa wapenzi na marafiki zao. msichana mwenye miaka 14 ama 15 anasema ana miaka 16,msichana ana miaka 17...
0 Reactions
53 Replies
17K Views
Hi guys? Last week I asked a girl that I have liked for a couple months now out on a date since she has showed me some signs that she liked me or was just for a friend. We have had many...
0 Reactions
35 Replies
13K Views
^^ Ni binti mrembo kiasi unachoweza kueleza.. Uzuri wake hauelezeki kwa maneno yaliyopo duniani.. Ukichanganya na maringo/kujisikia kwa namna yake basi usiombe kumpenda.. But she is all busy...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Wana MMU Eeeeeeeeeeeeeeehhhhhh. Ebu tujuzane jamaa yangu kalala na binti, binti alikua bikra siku ya tukio kinga ilitumia,,kinga yote ilitapakaa damu..Leo binti kapima kwa vipimo vile vya kawaida...
0 Reactions
66 Replies
6K Views
......
5 Reactions
69 Replies
10K Views
nina mda naye mwaka 1 sasa ananishangaza jambo 1 kwamba kila nikimpigia cm majibu yake ni ya mkato mwisho anamalizia ninakazi tutaonge baadae na baadae yenyewe apigi nikimpigia ma jibu yaleyale...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
ndugu wana jf.ushauri wenu tafadhali, nilikuwa na mpenzi ambaye alinitambulisha kwao, lakini tulikuja kuachana yeye akaoa na mimi natarajia kuolewa next week. tatizo ni mama mzazi wa huyo ex...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wana psychology, wazazi,na wanajamii ebu tusaidiana kujua watoto wa kijijini na mijini wamejulia wapi mapenzi(matinga)? Unawakuta watoto wanajifanya baba na mama then kinachofuatia ni Anyong'...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Mtu umepewa offer na Jamaa unakomoa kama huyu nooma Kweli!!! http://www.youtube.com/watch?v=84cEoQxUHmU
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom