salam kwenu watu wa jamvi,
nienda kwenye mada moja kwa moja, najiuliza ni kwanini kunakuwaga na wivu mkali, visasi, uadui na chuki inapotokea kwamba kwamba kuna mtu ameingilia mahusiano yako...
nilikuwa na mpenzi tuliedum nae takriban mwaka mmoja na nusu tukashindana tabia. kikubwa ni kwamba nimekuwa nikimfuma live kitandani na wanawake tofaut,kila nikimfuma anaomba msamaha tena huku...
Siku ambayo wakristo wengi wanaithamini kwa kwenda makanisani kuabudu.
Cha ajabu siku hii imekuwa ya kutenda maovu kwa sisi akina dada wengi sababu ya uhuru tunaopewa majumbani mwetu.
Wengi...
Jose anaambiwe arith mke wa kaka yake baada ya kaka yake kutangulia mbele za haki na ugonjwa hatari wa UKIMWI baada ya kukataa jose anapewa radh na wazaz wake na anakuwa mwehu.je ww ungemshaur nn...
wadau siku hizi imekua kawaida sana kusikia binti kaozwa kwa m1,2,3,4 mpaka5 hata kama hana viwango vya hizo amounts.
ninacho jiuliza ni kua ughari huu wa mahari ni kutokana na umaskini wa...
leo nataka kujua kama baridi ni moja ya kichocheo cha kufanya mapenzi na kuzaliana kama inavyoelezwa mara kwa mara.
napata tabu sana kuamini kwa sababu hii,mikoa yenye watu wengi kwa sensa ya...
habari za humu
naamini wote wazima kabisa
nimeamua nije humu mnishauri kwani nipo njia panda
nina mume ambaye nimeishi nae miaka 7tuna mtoto mmoja wa kiume nina
mume wangu amekuwa akinicheat...
kwanza kabisa heshima kwenu,kuna kazi nimepewa ya kuweka hili ombi la rafiki yangu wa kike mmoja anaetaka mchumba..yeye kigezo chake ni uaminifu tu..tiririka pm ulipo na kama una cha kuniambia ili...
salam zenu wana mmu!
naomba kwanza nimuinulie kidole gumba mkuu Zinduna kwa kauli yake...'kuwa mwanamke ni gharama'!
nili-appreciate hii kauli baada ya kukumbana na haya mambo mtandaoni, kwa...
Wana JF,
Habari za asubuhi.
Mimi nimeoana na mke wangu na sasa tuna zaidi ya miaka 22 ktk ndoa. Wakati namuoa kipato changu kilikuwa kizuri sana, wakati yeye alikuwa mfanyakazi wa kada ya...
Mimi ni binti,nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tulipendana sana na mimi kufahamika kwao,,tatizo lilikuwa pindi nipo nae huwa hapendi niguse sim yake lakini sim yangu kugusa ni lazima,,siku nyingine...
Natumaini bado mko salama asubuh hii..
Nianze na hiki kisa,
Mpenzi wangu kabadilika kabisa ktk suala zima la mahaba,vionjo na hamhamsha lake. Hapo awali alikua na hisia nzito na kali juu...
Inakera pale mtu anapokuja na shida anakuomba hela with a promice ntakupa after three days afu anauchuna hasemi kitu after those days anakua anakupiga fix tu. Mbaya zaidi anakuzungusha mpaka...
ENZI ZA MZANAKI
1.enzi za analog wazazi walikuwa wasemaji wa mwisho kuhusu nani uoe ama nani akuoe.
-walichunguza tabia wao
-walipendekeza mke wa kuoa
-dini ilizingatiwa,kama unataka kubadili...
kansa ya mdomo huletwa kutokana na sababu hizi, kutafuna tumbuku, kuvuta sigara, kuimba(mwimbaji), ulevi wa pombe kali, hakuna sehemu yoyote palipoandikwa kuwa kansa ya mdomo inatokana na "ULAMBO"...
Ni wapenzi wachache wanao weza kuachana kwa amani. Wengi huachana kwa shari na mara nyingi huachana kwa kubadilishana maneno machafu. Ifuatayo ni TOP 7 ya maneno machafu...
Mavazi yasioendana na tukio:
Unakuta mwanaume memualika mrembo kwenda ku dine mahali fulani anakuja na mavazi kama vile anakwenda kununua koni kwa Bakhresa Kariakoo. Ni vyema mwanamke kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.