Hello wana JF wenzangu! Ndugu zangu kuna Binti mmoja nimekutana naye katika mtandao wa kijamii wa Facebook. Ki ukweli sijaelewa hata ilikuwaje hadi akawa friend wangu, ila nakumbuka niliona tu...
Joni alimtembelea galfrend wake aliyemwalika msosi wa jioni. Ghafla jioni ile bado akiwa kwa girlfriend wake mvua ilinyesha kubwa sana na haikupungua kwa muda mrefu. Wazazi wa binti walipoona hali...
basi bwana kuna jamaa mmoja bwana nimejuana nae miezi ya karibuni..ofisi zetu zipo jirani so tunakutana saaana lunch time..basi kila siku ananiomba tukutane jioni tupate hata lunch na story...
Beautiful story.....A very poor man lived with his wife.
One day, his wife, who had very long hair asked him to buy her a comb for her hair to grow well and to be well-groomed.
The man felt...
Nimekaa na kufikiria ya kwamba:
Mara nyingi tunawaambia wenzi wetu tunawapenda, na pia wakati wa kufunga ndoa tunatoa viapo na mwisho wa siku tunakabidhiwa 'a piece of paper' kuashiria muunganiko...
Huku mitaani nimefanya uchunguzi wa wanawake wanaoishi na virus vya ukimwi nikagundua kuwa wengi wao ni tamaa ya pesa, hapa maeneo ya kwetu kuna wanaume wawili ninaowafahamu ambao wanatumia pesa...
Nimeona bora niwashirikishe wana JF wenzangu kwenye hisia zangu kwani ninahisi nina mkosi wa mapenzi jamani..........,nilibahatika kumpata jamaa mmoja alinipenda sana tulidumu kwenye penzi letu...
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!
"Marriage ruins some of the the best relationships" -Djimon Gaston Hounso (Bwana yake Kimora Lee !!!!!!!) Si maneno yangu mimi Lara 1 maana hamkawii...
Raha ya mapenzi wawili kupendana na si
kumtegemea mmoja ndiye aonyeshe mapenzi
zaidi ya mwingine,ushirikiano unaleta furaha na
siku zote unajenga,mwenzio akionyesha
anakupenda sana na wewe...
Wananchi wakitembeza kichapo kwa mbakaji huyo mjini Iringa leo
Mbakaji akivuja damu baada ya kupasuliwa na mawe kichwani
Mtuhumiwa wa ubakaji akipelekwa polisi leo...
Wengi hudhani wanawake wengi wanaovaa nguo zinazoonesha sehemu kubwa ya mwili(nusu uchi) huwa wanajiuza. Ukweli ni kuwa hiyo ni sababu mojawapo.
Wanawake wa kundi hili huvaa nguo zinazoonesha...
Wanajamvi,hivi mkeo Ana kazi mzuri mshahara zaidi ya milioni,marupurupu kibao.wewe mume unabahatisha kipato,Nyumba yenu kicheko ni Mara chache sana zaidi ya kununa kwa mama muda mwingi,kila...
Ndugu Wapendwa,
Nilikuwa nawaza ni namna gani naweza kujing'atua kutoka kwenye lindi la umaskini, ndio wazo lifuatalo liliponijia.
Kwamba naweza kutoa single (wimbo) wenye maudhui yanayohusu Jf...
Postinor-2 tablets
Postinor-2 is an oral emergency contraceptive. It may help to prevent a pregnancy if taken within 72 hours of unprotected sexual intercourse or failure of a contraceptive...
Habari zenu wana JF,Naomba ushauri wenu kwa hili tatizo linalonisibu kuhusu mpenzi wangu.Nina mpenzi ambaye tunatokea wote mkoa mmoja huko kanda ya ziwa,pia tulisoma wote shule ya msingi lakini...
Nina Mchumba Wangu, nina uhusiano naye takribani mwaka sasa.
Nampenda, na naamini ananipenda(si usemei moyo), kwa kuwa tunaishi kwa maelewano na upendo wa hali y juu.
Mwezi Jana tu, alileta...
Kwa kiasi kikubwa Wakurya kama Mwita Maranya ni wapigaji na watesaji wakubwa wa wanawake (hasa wanawake wakiwa sio Wakurya) lakini cha ajabu wasichana na wanawake bado wanawakubali kwanini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.