Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Inasemekana zawadi kubwa ambayo mwanamke anampatia mwanaume ni her virginity...Sawa, je nizawadi ipi kubwa ambayo mwanaume atampatia mwanamke (Wife)?
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Hbr wanajamvi, Kabla ya kukamatwa katika tukio ambalo mwenyewe nilikuwa najipa kichwa kua hawezi kunikamata mke wangu kwa sababu ananiamini na tumetoka mbali enzi...
0 Reactions
87 Replies
8K Views
Wakuu naomba msaada. Imetokea nimempenda rafiki wa dada angu, lakini kila nikijaribu kulianziasha naona ngoma haiendi. Naomba nipeni mistari ya kuanzia.:
0 Reactions
51 Replies
16K Views
Amani iwe juu yenu wana jamii!nimekua nikiishuhudia staili hii iloingia na kutamalaki kwenye jamii yetu ya mwanamume au mwanamke kuamua kutafuta mtoto(kuzaa)eti kwakua tu mmojawapo anapokua...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Nawasalimia wana JF Niko na rafiki yangu wa karibu sana amenisimulia historia yake ya uhusiano na wanawake (sasa hivi ameoa na anawatoto wawili mapacha). Alinieleza wanawake wote walio muacha...
1 Reactions
40 Replies
4K Views
wadau mimi pia ni mwalimu,nimefuatilia sana nimegundua kua wanawake wengi walio olewa na waalimu walikua ni wanafunzi wao,unapata picha gani? au ndio mvuvi hali samaki alie oza?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
ZUNGUKA kumbi zote za disko. Hautamuona mwanasoka yoyote wa Tanzania amemshika kiuno mwanamke maarufu (celebrity) katika fani yoyote maarufu kuanzia, filamu, muziki hadi siasa. Na sio hao tu...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Hivi ni kweli kwamba Msichana hawezi kumsahau mwanaume wake aliesex nae kwa mara ya kwanza hata akiwa kwenye marriage! na ni kweli kwamba kuna Wanaume hawawezi kumtoa mwanamke Bikira?
0 Reactions
27 Replies
24K Views
kuna mkoa fulani mwl kampa mimba mwanafunzi wake .mwanafunzi yupo darasa la saba ,mimba miezi nane hii imekaaje wadau .au sheria inasemaje mwanafunzi anaweza kufanya mtihani au ndo imetoka
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Describe your lover in one word ???? 1.funny 2.ugly 3.devil 4.heartless 5.stupid 6.Wicked 7.player 8.sexy 9.lovely. 10.Caring 11.cute 12.others specify
2 Reactions
6 Replies
995 Views
Umeoa miaka miwili iliyopita (no kids yet) na maisha ni magumu, kisha mke wako anaondoka nyumbani bila wewe kutegemea Wewe na mke wako amna ugomvi wala mabishano, asubuhi ya siku mke wako...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Habari wana JF, ninaomba ufafanuzi au ushauri wa hali ninayokuwa nayo katika maisha yangu ya kimahusiano,kifupi mimi ni Mwanaume mwenye umri wa miaka 30 na nina Mwenza. Kabla ya Mwenza niliyenaye...
1 Reactions
57 Replies
7K Views
LEO nataka kuzungumzia shida wanazopata watu wenye wake halafu wanakataliwa eti wake hawajisikii kufanya mapenzi kwa kuwa wana mimba. Hivi mashosti niwaulizeni nani aliwaambia kwamba...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
1. Awe mwenye kumcha Mungu Mume mwema ni yule anayeheshimu nafasi ya Mungu katika maisha yake, anayemcha Mungu na kuepukana na uovu wa kila aina. Anatambua kwamba Mungu ndiye anayepaswa kuongoza...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wasalamu wadau najitokeza mbele kuwatangazia kuwa tunakusudia kuanzisha umoja wa watu wanaoishi na VIRUSI VYA UKIMWI ambao pia ni mwanachama wa JAMII FORUMS ili kutukutanisha pamoja kujadili mada...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Ukweli kuhusu picha za Ponografia na video zake 1: kila sekunde Karibia watu 30,000 hutazama ponografia kwenye intaneti. 2: kila dakika Watumiaji wa intaneti hutuma zaidi ya barua pepe MILIONI...
14 Reactions
68 Replies
14K Views
Vijana wa siku hizi ndo maana tunakufa mapema..Hatuwajali wazazi tunaendekeza sana starehe... Mungu amekubariki umepata kazi nzuri angalau,mkumbuke mama yako japo umbadilishie Kitenge chake...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Hii ni kali aisee kwa sababu ya kukosa mda pamoja hawa wameamua kufungana pingu kwa masaa48 kila wiki ili wawe pamoja si wehu huu...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Salam wana jamvi! Mimi na Mke wangu tunapedana sana lakini tatizo liko kwa Baba yangu mzazi ambaye ananipinga sana na hataki niishi na mke niliyempenda mwenyewe. kwa upande wangu sioni tatizzo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakati kuna nchi zinaonywa kuhusu kuzaana hovyo, ikiwemo Tanzania, lakini katika baadhi ya nchi za wenzetu, wao wanaona kuzaa siyo jambo la maana kwanza, bali kutafuta maisha ndilo jambo la...
14 Reactions
51 Replies
5K Views
Back
Top Bottom