Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Naumia sana.wiki mbili zijazo ntafunga ndoa na mchumba wangu lakini leo ameniambia kua baada ya mwaka kuisha ataongeza mke wa pili yaani tuwe wawili mm na mke mwenzangu mbaya zaidi et tutaishi...
0 Reactions
91 Replies
6K Views
Mim ni mwanaume mwenye miaka 23, Nahtaj mchumba wa kike ambaye age yake ni 18 to 25 ani pm tufahamiane vzr.
0 Reactions
3 Replies
952 Views
Habari zenu wana MMU!!!!!!! i think its my first time kuomba ushauri humu hasa kuhusiana na my personal life, am a girl in my earlier 20"s elim yangu na nna kazi yangu kiasi kwamba I can take...
11 Reactions
198 Replies
15K Views
Jamani wana jf naomba ushauri, sijui kama ninamapungufu au vipi... maana katika siku za hivi karibuni nimeingiwa na hali ya kutamani kufuga nyoka hapa nyumbani kwangu, sasa sijui kama ni tatizo...
0 Reactions
31 Replies
7K Views
A suicidal husband was saved after trying to leap from his bedroom window - when his wife grabbed him by his boxer shorts. Witnesses say Ling Su clung on single handed for 20 minutes before...
1 Reactions
0 Replies
621 Views
Yes i'm Christian,a damn good one........!!!!!!!!!!! And i'm born again.......!!!!!!!!!!!! Najua kwa wale ambao ni wana dini sana hili linaweza kuwa gumu kwao,lakini kutokana na dunia tunayoishi...
10 Reactions
134 Replies
10K Views
Ni mdudu gani huyu? Je kuna kitu kama 'unconditional love'? Inakuwaje? Haina tofauti na being a Zombie? Kinyume chake ndio conditional love??????
9 Reactions
123 Replies
9K Views
Here goes my pal;Unamshaurije? I quote him in verbatim..excerpts "In the past 5 years I have seen him twice. Tunaishi wote hapa Dar. Hapokei simu zangu, wala sijui anaishi wapi,wala hajawahi...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu, Nimekuwa nasaka rafiki wa kike lakini dah, kila msichana ninayekutana naye nikimweleza yangu ya moyoni kiukweli anakuwa mbishi, haambiliki, hasikii! Mara nina mchumba, mara oh, sitaki...
4 Reactions
72 Replies
6K Views
Ni rafiki yangu ambaye tulisoma wote shule ya msingi, tumekutana huku Dar akaniomba nimsindikize sehemu kupeleka barua ya posa kule Manzese kwa familia moja hivi ya kizaramo. Kabla barua...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Habari zenu wana-JF, bila shaka mu wazima wa afya. Nimekuja mbele yenu wanajamii wenzangu nipate ushauri kwani naamini mbele yenu great thinkers haritaharibika jambo, Nisiwachoshe sana ni hivi...
0 Reactions
36 Replies
9K Views
Fwd: The 90-10 Principle Its long, but worth reading when you have time. The 90-10 Principle Discover the 90/10 Principle. It will change your...
0 Reactions
1 Replies
571 Views
Jirani yangu kaenda kunywa pombe, kumbe ana majini. Majini yamepanda yanajitambulisha kuwa ni bibi zake (kwao huko Msumbiji) . Mabibi hao wanataka binti huyo arudi kwao Msumbiji, wanataka...
2 Reactions
45 Replies
9K Views
Ndoa ya watu wa aina hii hudumu kwa miaka dahari... Ndoa nzuri kabisa ambayo mimi naamini kwamba inaweza kudumu, ni ile ya kati ya mwanaume kiziwi na mwanamke kipofu. Mwanaume hatasikia ghubu...
23 Reactions
83 Replies
7K Views
Wanawake mabosi walio wengi wamekimbiwa na waume zao na kuwaachia kila kitu, na wengine hawajaolewa kabisa na kama wakiolewa basi wao wanakuwa wameoa, Ndoa zao nyingi zinakuwa na migogoro sana...
0 Reactions
54 Replies
5K Views
Ndugu zangu wana jf.. Najua wengi wetu tumekuwa hudhuriaji ndoa nyingi katika misikiti na makanisani, may be kwa uelewa wangu mdogo ndogo unaposema unafunga ndoa asili ya neno hili ni ipi...
2 Reactions
33 Replies
3K Views
Students involved in vice at city nightclubs a worrying trendBy ELAN PERUMAL and STUART MICHAEL metro@thestar.com.It Is an open secret that certain nightspots in Kuala Lumpur where foreigners...
0 Reactions
52 Replies
14K Views
Mwanamke kaenda chuo akakata mawasiliano na mshkaji wakati walikuwa ni wapenzi, akaja akarudi baadaye huku akiomba msamaha kwa tukio la kunyamaza jamaa akamsamehe dada akadai anashida amebiwa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nikutana na huyu mschana kwa mara kwanza duka moja la mavazi ya wanaume Posta, Katika maongezi akinisaidia kuchagua nguo, anyways .. ni mtu ambaye kamaliza chuo mwaka uliopita na anafanya kazi saa...
0 Reactions
73 Replies
13K Views
  • Closed
Kwenye Uislamu kuna Nguzo na imani, ambazo hazihitaji hijabu Hijab ni vazi ambalo linahusishwa na uislamu. Ni kweli, waislamu ndio ambao huvaa sana hijab kuliko wale wasio waislamu. Hata...
7 Reactions
35 Replies
14K Views
Back
Top Bottom