Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Umepata rafiki mtandaoni, kama hapa JF, wote mkashare mambo yenu mengi tena ya ndani kabisa ambayo inawezekena huyo rafiki ndio pekee amepata bahati ya kuyafamu. Umemueleza kila kitu, na kweli...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Uwepo wa mahusiano ya kimapenzi kati ya mwanamke na mwanaume ni kitu cha heri,lakini kwa vile huwa inatokea kutoelewana katika mahusiano hupelekea KUACHANA na kila mmoja anaanza maisha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Yafuatayo ni mambo wanaume anapenda kutendewa na m2 wake. 1.mwanamke asiombe pesa. 2.mwanamke alale nae kila anapomhitaji 3.mwanamke asianga sms za mwanaume wake 4.mwanamke asifatilie nyendo...
1 Reactions
36 Replies
5K Views
Habari zenu wanajamii? Kwa wale wenye kujua juu ya hiyo supu ya pweza ambayo ni maarufu sana mikoa ya pwani hasa Dsm.Inasemekana inaongeza ari na nguvu wakati wa tendo la ngono, je kuna ukweli...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Zingatia haya Usiolewe sababu rafiki zako wote wameolewa. Usiolewe sababu class mates zako wote wameolewa na wanawatoto. Usiolewe sababu umemaliza chuo, unaishi mwenyewe na unakazi nzuri. Usiolewe...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
habari wanajf natumai ni wazima jamani na tatizo linalonisumbua mara kwa mara hili tatizo linahusu kupenda nilimpenda dada fulani humu jf yeye ndo alinitafuta mimi aliniomba tuwe marafiki...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Najua wanaMMU mko powa hamjadhulika na NYINYIEM Ni wiki mbili sasa tangu nimempokea binti nyumbani kwangu ambaye alijieleza kwamba mama aliyekuja naye toka Kigoma kamtelekeza kwenye nyumba ya...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
1- Mwanamke ambaye atanifanya nimu impress her 2- Mwanamke ambaye anaweza kutatua matatizo mwenyewe ( Matofautiano ndani ya nyumba) 3- Mwanamke ambaye anatoa msukumu (Msukumo katika maswala ya...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Fuatilia mabishano: MAMA: Mwanangu lazima aniheshimu mimi. Alinyonya maziwa yangu kwa miaka miwili. MKEWE: Mimi ananyonya maziwa yangu zaidi ya miaka 10 sasa. MAMA: Nilimbeba tumboni kwa miezi...
8 Reactions
62 Replies
6K Views
Unapo piga simu kwenye namba ya AIRTEL halafu mpokeaji akawa hapatikani basi itasikika sauti ya DJ FETTY wa Clouds FM ikisema " AIRTEL YATOSHA blah blah blah , then baadaye...
0 Reactions
87 Replies
35K Views
Nimesoma habari moja kwamba kuna jamaa huko bondeni alifungwa kifungo cha maisha baada ya kutiwa hatiani kwamba alimbaka binti yake mwenye umri wa miaka 8. Baada ya miaka kumi ya baba yake...
1 Reactions
41 Replies
6K Views
Kuna jamaa mtaani kwetu (27 years of age ) anapenda sana kuongea kuhusu mambo ya watu yaani kwa kifupi ni mbeya, mimi mwenyewe tangu nihamie mtaa huu nina miezi mitatu but...
0 Reactions
47 Replies
7K Views
  • Closed
hey mijanaume munikome muniwache kunipm. I am very expensive clijui jua la bongo. Huwaga nawapaga my life stories to release the burden and am not looking for mens or sexmate. And those pm's...
1 Reactions
79 Replies
5K Views
WATOTO WA KISHUA SECONDARY SCHOOL S.L.P 7677, MASAKI. MTIHANI WA KUMALIZA MUHULA. MAELEKEZO. i. Jibu maswali yote. ii. Kila swali linabeba maksi kumi iii. Zingatia mpangilio wa kazi. iv...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu! Nimetupia thread hii kwenu as a 'GREAT THINKERS' mnisaidie kimawazo juu ya huyu Mpenzi wangu". Mimi ni kijana wa miaka 19 nilikuwa na mpenzi...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
.........
5 Reactions
22 Replies
9K Views
Umemdanganya mtoto wa watu unampenda, akakuamini, akasahau hadi tarehe akaona zote ni February 32. Umempa mimba mtoto wa watu mzuri tu, amehenyeka na mimba miezi 9 amekuzalia mtoto.. Ghafla...
15 Reactions
60 Replies
5K Views
Siku ya kwanza atakuja na chupi 2,moja anaifua anaacha bafuni,nyingine anavaa asubuhi anaondoka... Siku ya 2 anakuja na khanga,anaivaa usiku,asubuhi anaianika nyuma ya mlango anaondoka... Siku ya...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
01 - Being a Good Communicator1 Communicate your feelings. Some men underestimate the importance of telling a woman how they feel. In many cases, men prefer to use actions rather than words to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
​Nina rafiki/mpenzi wangu wa kiume ambaye kwa kweli nimeshindwa kumuelewa tabia yake hii. Kila tunapokutana (siyo kwa ajili ya kudo) yeye hupenda sana kuingiza mkono wake kwenye makwapa...
2 Reactions
43 Replies
6K Views
Back
Top Bottom