Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Mama mkwe wangu mwenye miaka inayokaribia 65 anatafuta boyfriend wa kuwa anaenjoy naye maisha. Baada ya kifo cha mumewe mwaka 2007 alipata kijana mmoja wa IFM, kijaana baada ya kupata kazi...
4 Reactions
46 Replies
13K Views
(Verse 1) You were all that I wanted I fell in love with all of your heart and your soul From that moment, couldn't imagine You ever hurting me or mistreating my love I should have known Rivers...
5 Reactions
52 Replies
3K Views
Natumaini weekend yenu iko njema. Kwangu mimi; Weekend hii hata siielewi elewi, mchana nilijua ni njaa so nilienda kutafuta ndizi ili nipike machalari yangu nile hali itulie. Tofauti na matarajio...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
A Husband and Wife agreed that anytime they want to have sex, they will call it a "PHONE CALL" so that the kids will not decode... One day they had a fight and wife stopped talking to the...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani naumia sina amani mapenzi yananisa nifanye nini nachanganyikiwa,kwani haya mapenzi ni kitu gani jamani nipeni njia nikae nayo mbali mimi naumia bure hata uwezo wangu wa kiutendaji unapungua...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
ikizingatiwa kuwa wanaume ndio initiators wa ndoa /wenye maamuzi ya kuamua.toa sababu yako hapa why mpaka leo bado hujaamua kuoa while everything including ur age vinaruhusu....... Nothing but...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
1-mvuvi 2-msanii 3-mwindaji 4-daktari wote hao walikuwa marafiki wa mdada mmoja Siku moja wakaenda kutembea kwa bahati mbaya yule binti atumbukia mtoni na kule kuna mamba kwa hiyo mamba...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mwaka 2005, nliingia rasmi ktk mapenz. Nkawa na binti mmoja akaolewa nikiwa masomoni. Wa pili nikiwa naye nlimtambulisha hadi nyumban nikiwa ninania ya kumuona nikamfumania. Watatu nikiwa chuo...
1 Reactions
64 Replies
6K Views
Nina rafiki yangu wa kike jana, aliniuliza anaweza akapata wapi uume wa bandia. i was shocked coz sikutegemea coz ana boyfriend. never mind nikasema ngoja niwaulize wanajamvi wa jukwaa hili, je...
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Sitaki kupenda tenaaa... Nampenz wangu ambaye nilitokea kumpenda sana tena zaid ya sana na mapenz yetu yalianza kama hivi,Nilipo kuwa secondary niliamua kuomba niende mkoa kilmnjr..kwa mara...
3 Reactions
101 Replies
15K Views
Kweli ahadi ni deni. Inaelezwa kijana wa kiume alipotaka kuoa msicha anayempenda,baba wa kijana akakataa. Na walipojaribu kumbembeleza baba ikashindikana. Hiki ndicho kilichofuatia.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wana MMU, Jamani mimi nina Kaka yangu Mmoja ambaye ni mtu wa makamo hivi. Huyu kaka aligundulika kuwa ana maambukizi ya virusi vya ukimwi mwaka 2005 na tangu wakati huo amekua akitumia dawa za...
1 Reactions
61 Replies
6K Views
;);););););););););):Djaman kama yupo asema kigezo ni kimoja tu usalama wa taifa....:rolleyes:
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Asikudanganye ukakiona umepata,kila kitu kanunuliwa na mwanamke hata hicho kitanda uchokilalia,siku ukiachana nae hata wewe atakudharau hana fadhila huyo,hivi inakuaje mpaka analika marafiki...
0 Reactions
3 Replies
864 Views
Amini usiamini mama mzazi wa dada fulani amesababisha kuvunjika kwa ndoa ya binti yake pale alipoamua kuvaa uhusika kuwa yeye ni kama mkwe wa kuumeni akishirikiana na ndugu wa dada huyo ambae...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Awali ya yote nianze na wale watakao kuja na majibu, kama "Hii ilishakujaga ikajadiliwa" Ntawaomba waendelee na mathread mengine , kwani i'm not a computer machine, au Siwa la bungeni kwamba kila...
0 Reactions
99 Replies
7K Views
Namchukia baba wa mtoto wangu nifanyeje
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari wanajf mimi n mvulana mwenye umri wa miaka 26, mrefu wa maji ya kunde na ninaelimu ya chuo,natafuta mschana wakuanza nae relatioship awe mweupe,mrefu kiasi,elimu ya form four mpaka chuo,awe...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Poleni na shughuli na habari za leo. Wiki iliyopita nilileta mada ya mchumba wangu Mnigeria kuletewa zengwe nyumbani. Hatimae wazazi wameridhia kupokea posa. Ninaanza kupanga harusi yangu...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Wadau wote wa hii site Napenda kuwajulisha kuwa mie ni mgeni ktk hii site, hvy naombeni Ushirikianoni wenu wa dhati km MAGREAT THINKERS ktk kupashana, kujadili nakudadavua mada mpya zinazogusa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom