Habari wadau mimi nikijana wa chuo cha udom niliwahi kupost kufanya mapenzi na malaya bila kinga ilikuwa siku ya pasaka Dodoma mjini maeneo ya uhindini ndipo niliingia pabaya kwa kuendeshwa na...
Asee nafanya kazi bank, kwenye pilika pilika za kila siku, nikakutana na dada mmoja ambaye mara nying huwa anakuja kudeposit hela za bosi wake na kila akija anakuja kwenye dirisha lang.Tukazoeana...
Najua una uchungu mwingi kwa kukataliwa Posa yako.
Ila fahamu tu ya kuwa si mimi niliyekataa kuolewa na wewe, bali ni wazee wangu nyumbani,ati kwa kuwa wewe ni Dini tofauti na mimi...
Takribani wiki kila nikikutana nae ananipa tabasam na kusapoti stori zangu.Nimemtongoza,KAKUBALI.Kabla hatujavunja Amri ya SITA nikamweleza Mtu juu ya mpenzi wangu mpya........AKANIELEZA KWAMBA NI...
Habarini WanaJF.
Kuna tukio nimeona mchana huu, yaani imenichefua. Baba mzima anamtukana kabisa mtoto, na kucheck mtoto anayetukanwa ni kama miaka minne, mtoto anabaki analia. Sijui ni kosa...
Haya ni malalamiko ya wanaume kila wakati. Je kuna ukweli wowote kwenye malalamiko hayo?
Huende upo, kutokana na tafiti za hivi karibuni na zile zinazoendelea kufanywa, kuhusu jambo hilo.
Tafiti...
Jamani poleni na kazi
sasa kila siku kila sehemu husikia ladies first, na mimi huamini kuwa ndio hivo na wao wanajidai kuwa wao ndio wapewe nafasi ya kwanza katika kila sehemu na kila...
Mungu akikuacha katika Hali fulani, Basi mshukuru Wala Usilalamike!Kwani Yeye ndie Akujuae zaidi.
Pia Usidhani kama Maisha Yamekamilika kwa mtu Yeyote; kuna Mwenye Nyumba hana Gari, kuna
Mwenye...
Wanaume wanaumwa ugonjwa maarufu unaitwa 'I want that taste Disease' hatutosheki...Utakuta mtu ana mke mzuri,unywele hadi mgongoni,shape kama kachorwa na bikari,kamuoa yuko home lakini akiwa nje...
kuna thread nimesoma humu bwana ikanikumbusha maisha ya nyuma
kidogo
nilikuwa na mahusiano na jamaa mmoja dah huyu jamaa alikuwa ananipenda kweli kusema kweli ,ila tatizo lake ni kipigo...
Habari kwenu nyote!
Hata wanawake nao wana nyumba ndogo yaani namaanisha kule wanakotumika kimapenzi kinyume na wenzi wao wa ndoa.Wanaume kwao ni kitu cha kawaida siku hizi.Jambo hili linatia...
Let me share my story with you guys.
Ilikuwa 2007 tulikutana katika social net iliyokuwa inabamba kipindi kile kwenye chatroom ya bongo5.
Alikuwa anaishi Turkey ni kijana wa kitanzania miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.