Kwanza
Maungo yetu ya kike na kiume
Pili
Mfumo wa uzazi unaotengenezwa na mfuko wa uzazi,mzunguko wa hezi, matiti kwa ajiri ya chakula baada ya dogo kuzaliwa.
Tatu na mwisho
Uwezo wa...
Jua linapozama,nakumbuka siku ya mwisho mi na wewe
Miale ya mwanga machoni pako ilikua sawa na jua linalofifia
uliniponivuta nikatulia kifuani pako nilizitambua siri zote
Kwamba mimi na wewe...
Upo naye katika uhusiano, siku moja mnagombana , anakuandikia msg au anakupigia simu , "usinipigie simu wala kunitumia meseji zako tena and all that, futa namba yangu ya simu...
Habari wana great thinkers,kuna katabia au tabia ambayo wanayo wakina dada wa humu jf ambayo sio nzuri na inaweza ikawafikisha pabaya.Siku kama tano zilizopita nilipost thread ya kutafuta mchumba...
kindly speaking out im looking for woman to start relationship,should be less than 26 years old,sexy,creative,intelligent,easy learner,if u think u have these qualifications,you can contact...
I'm just curious.. I have been going through different threads in JF.. When people are seriously looking for love mates in here, it just turns out to be a disgrace, not worth it at all. I had a...
Ma GT habari zenu.Ninaomba ushauri kwa niaba ya rafiki yangu.Ameolewa kwa maana ya ndoa.Maisha ni mazuri kiasi.Tatizo Mume wake hataki kumtambulisha kwa ndugu zake wa tumbo moja,wala kwa mama yake...
Hii ndio tofauti kubwa kati ya mpenzi wa kidhungu na mbongo.
Kama mdhungu akikupigia cm alafu haikupokelewa atkutumia ujumbe honey what is wrong with u.i hope ur fine.call me back.i love u...
Utafiti unaonyesha kuwa wanandoa wanaogombana mara kwa mara hasa mume kumpiga mke ndoa zao zinadumu sana kuliko wale wasiopigana au kukosoana kwa maana ya ustaarabu, source ntawaletea nikikaa...
Asalaam aleykum...........! Bwana Yesu asifiwe........! Tumsifu Yesu Kristo............! ndugu wana jf, nipende kuwapongeza wote waliofanikiwa kupata wapenzi WA KWELI humu jf, hata hivyo ninatoa...
naomba ajitokeze mwanamke mwenye kishungi( kiuno chembamba amebinuka) popote alipo apa dar tuelewane mimi nipo ofisini ila ntaacha kazi zangu tutafutane sasahivi maana nipo heat mbaya tafadhali...
Unapokuwa kwenye mikutaniko kama hii ya Professionals halafu ukawa umejipulizia pafyumu kali utadharaulika...
Lengo la pafyumu ni kumfanya yule anayejipulizia kujisikia vizuri kwa kuwa na uhakika...
kindly speaking out im looking for woman to start relationship,should be less than 26 years old,sexy,creative,intelligent,easy learner,if u think u have these qualifications,you can contact...
Weee ulie tu ucheke una mbavuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!
Leo nataka nije na mchambo kwako wewe bi dada, shosti la mujini uliyekuja upofu wa kijijini tukakufunza viunga vya mjini.
Tunajua...
Habari za mchana wandugu, kama mnakumbuka post yangu kuhusu kuanza mahusiano kwa mara ya kwanza, tunapendana sana ila tatizo anataka tufanye mapenz kabla ya ndoa, kila nkimshauri tusubirie mwakani...
''Baby I swear sikudanganyi,wewe ni Mwanaume wangu wa Pili,nimekaa muda mrefu sana baada ya kuachana na EX wangu wa kwanza,yaani nilimpenda(anazuga kulia na kamasi kidogo), maana aliniumiza sana...
NDIO, Nini hasa kinakupa furaha Maishani Mwako? Pesa na Mali ulizonazo? Marafiki? Madaraka? Kazi yako? Familia yako? Afya nzuri na uzima? Starehe?Umaarufu? Sifa?nini? au Furaha ni nini? wooote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.