Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari wana jamvi wenzangu, Leo nimeona nijiingize tena humu room kwa style ya kutambaa kwa kunyata nyata. Nimekuwa nikijiuliza sana swali hili wala sipati jibu ila nina mtazamo kidogo...
4 Reactions
45 Replies
8K Views
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Kuna bi dada tu nilikutana nae coz namfahamu BF wake. Huyo BF ni senior bachelor miaka kibao! Sasa ndo akatutambulisha kwa huyo dada kuwa...
18 Reactions
49 Replies
4K Views
katika maisha mwanaume hutokea ukawa na mtihani wa kufanya maamuzi.... baadhi ya maamuzi yanaweza kukupa heshima au kukuondolea heshima mbela ya jamii... na tukija kwenye maamuzi kuhusu mapenzi...
15 Reactions
215 Replies
16K Views
KUNA KITU KIMENIKERA SANA, NILIKUWA NJE YA NCHI. UGANDA KWA SIKU TATU,,, NIKAWA NIMEMWAMBIA RAFIKI WA FACE BOOK, INBOX KWAMBA KWA SASA HIVI NIKO NJE YA NCHI NDIO MAANA NILISHINDWA KUKUJIBU MSG...
0 Reactions
59 Replies
4K Views
habari wadau: leo nilikuwa napita maeneo karibu na stand flani,nikasikia jamaa wamekaa wanajadili kuwa mwanamke mzuri anapatikana kwenye msiba.... nikajaribu kuingilia maongezi yao kwa kuwauliza...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
WANA JF, Story iko hivi Mtanzania, Mkenya na Mganda walikamatwa kwa kosa la kuwa na bangi huko china, wakapewa adhabu ya kwenda msituni na kurudi na matunda kumi. Mganda akarudi na ma-apple...
0 Reactions
0 Replies
824 Views
Girl: Honey, there's something i want us to talk about. It's so serious! Boy: please don't tell me you are pregnant! Girl: Am coming to stay with you coz u know my mum will be mad at me and...
6 Reactions
11 Replies
1K Views
nianze na masikitiko mengi maana imekuwa tofauti na nilivyodhani....! Mara ya baada ya kuwa mwana jamvi hapa jamii nilijua humu wapo watu makini ambao kiukweli uelewa wao ni mkubwa hasa katika...
2 Reactions
113 Replies
9K Views
Kama una fedha ya kufa mtu na unataka uheshimike katika jamii ya kimataifa fikiria kuoa mwanamke mzungu. Mweusi nuksi atakushushia hadhi katika matawi ya kule juu. Mifano ya wanaume weusi...
0 Reactions
88 Replies
8K Views
Habari wana jamvini Mimi ni dada niliyeolewa na nimebahatika kupata mtoto mmoja katika ndoa yangu na ana miaka 3, ila toka nimjue mume wangu, uwa anawashwa sehemu zake za siri, na tukiwa...
2 Reactions
59 Replies
9K Views
Blaming the entire male population for one bad experience( just one bad experience)
0 Reactions
9 Replies
2K Views
WANAUME:Ulimwengu huu ukifanikiwa kupata Msichana anayesema 'I love you too' huku ameimaanisha halafu hakuombi hela hata kidogo shukuru Mungu halafu anza kutafuta hela ya Mahari! Wanawake asilimia...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Wanajamvi hebu tiririkeni maana sijui nichukue uamuzi gan. Kwa kifupi kuna wadada nina uhusiano nao wa karibu. Sasa mmoja kati ya ananipenda zaidi ya kupenda. Hata hivyo huyu sina mpango naye...
0 Reactions
41 Replies
3K Views
Mademu wa sasa ukimtongoza kuna mambo atakuuliza na kuangalia.yafuatayo ni mambo ni baadhi ya mambo ambayo lazma demu aangalie 1.kiwango cha elimu 2.kiato chako 3.umbile lako 4.utambulisho wako...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Post za mambo ya mapenzi humu JF ninyingi kuliko post zingine
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nimshukuru 'Mwenyezi', ndipo yangu nikaanza Hilo kuacha siwezi, hayupo kunikataza Muwepo enzi na enzi, wajibu 'kumtukuza' Fani nyingi aziweza, 'laghai' hatumuwezi! Hatumuwezi 'laghai', fani...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
WABONGO NA KUOA WAZUNGU VIBIBI NA KUMEGWA NA VIBABU Huu mimi huuita Ushamba na Ulimbukeni uliotukuka...Hivi kuolewa na Mzungu ni dili eeh?Kwani wazungu wana jinsia 2,moja nyama na nyingine ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
1)Ni usumbufu wa kutongoza au uoga 2)Hujui kutongoza 3)Hobby na uko addicted 4) Hutaki majukumu 5)Unataka huduma za ziada kama tigo na style za ajabu Naomba majibu
7 Reactions
98 Replies
16K Views
Kwenu wana JF pamoja nawe Mh. waziri wa afya mtarajiwa MziziMkavu, kuna mdada hapa JF anaitwa P....., ananisumbua sana na mapigo ya moyo kila nikimuwaza na niko mbali na yeye. Kwa kweli sina nia...
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Habari wana JF. Wakati tunaingia weekend nimeona niwasimlie kisa kimoja very funny Kisa Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi...
5 Reactions
20 Replies
5K Views
Back
Top Bottom