Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari wana JF. Kama nilivyo waahidi last time kuwaleeteeni mrejesho baada ya kwenda kumtembelea mchuchu wangu bila taarifa baada ya kuhic kunakitu kinaendelea. Namshukuru Mungu nilifika salama...
0 Reactions
69 Replies
5K Views
If your woman or man was a fruit which fruit name would you give him/her? Mine would be an Apple
0 Reactions
21 Replies
2K Views
:heh: Men almost always agree on what women are attractive, but women are inconsistent when rating male attractiveness. .......
11 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari za mida hii wanaJF, hongereni kwa majukumu ya kulijenga taifa letu. Nakuja tena kwenu na hoja niliyokumbana nayo huko nje mara nyingi kila nainapotoka katika mjengo huu JF,sasa nimeona nije...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Girl: Babe, delete her. I don't like her. Boy: Okay, no problem. I deleted her for you. Girl: Don't talk to her. I don't trust you guys talking. Boy: Okay, I won't talk to her, baby. Girl: Don't...
8 Reactions
12 Replies
1K Views
naombeni msaada wanajamvi. mimi nimsichana naombeni ushauri mwenzenu nikiwa katika mahusiano haichukui mda namchukia bf nitakae kuwa nae tena kila mda natamani kumuacha na nitafanya mbinu zote ili...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Imeonekana kuwa 90% ya imani zetu hujitengeneza katika umri wa miaka 7 na mpangilio huu unahitajika sana kutoka kwa wazazi wetu kisha marafiki na ikifuatiwa na vyombo vya habari kama vile...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenyu banaaa wakati niko a levo niliwahi fall in love deeply like never b4 . Kijana mwenyewe alikuwa handsome usipime ,ila msela baada ya kugundua nampenda alinitesa xana,nilikuwa naumwa...
3 Reactions
83 Replies
6K Views
.....Najua swala hili liko mahakamani vyombo vya habari leo vimetangaza.... mara nyingi inakuwa ni vigumu mtu wa kawaida kuamini kwamba wadada wa vyuo UDSM, CBE, IFM, VETA na wengineo wanauza...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Sijaolewa wala sina mtoto na nina ajira. Ningependa kulea mtoto anaeishi katika mazingira magumu, ninawaona wengi mtaani lakini sijajua ni hatua gani nipitie kisheria.
3 Reactions
32 Replies
2K Views
jamani mwenzenu nina tatizo naona litaniletea shida hapo baadae ni hivi sasa nimeanza kunenepeana na kutoka kitambi ambacho kwa kweli sikipendi naomba mnijulishe dawa ya kukiondoa wadau.nawasilisha
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Wakuu Naomba kuuliza tu kwamba je watu kulala uchi wa Mnyama maana/mantiki yake ni nn?
6 Reactions
182 Replies
30K Views
Jeshi la polisi limekumbwa na kashfa nyingine baada ya askari wake kudaiwa kumpiga risasi msichana wa miaka 16 baada ya kumkuta akivunja amri ya sita ndani ya gari. Msichana huyo (Jina...
4 Reactions
93 Replies
11K Views
Wanawake/wadada wenzangu, naomba mnisaidie katika hili tatizo linalonikabili ambalo naona linazidi kuwa sugu kwa sasa; Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikipata wachumba wengi tu wanaodai wana lengo...
8 Reactions
93 Replies
6K Views
Je watoto wanajifunza wap mapenz? 1.kwa baba na mama? 2.wap?
0 Reactions
0 Replies
829 Views
Heshima kwenu brothers and sisters,, Safari yangu ya Angaza inavyozidi kukaribia some Bad memories zinarudi kichwani zinazoninyima raha sana na sana... Zaidi ya mara kadhaa ya relation ship...
6 Reactions
155 Replies
14K Views
Kama Boy friend/Mumeo anatatizo lifuatalo huu ni ufumbuzi wake. Mnapokuwa faragha wakati wa majamboz boy friend/mumeo ana tatizo la kuwahi kumaliza kabla hata wewe hujafika hata robo ya 'safari'...
4 Reactions
150 Replies
16K Views
Inadaiwa kwamba hata hawa wamegawana watoto! Kuna dhana imejengeka sana miongoni mwa jamii, na sio hapa nyumbani tu, bali pia hata huko katika nchi za wenzetu, ya wazazi kugawana watoto. Kwa...
13 Reactions
45 Replies
3K Views
Heshima kwenu, Kwa sasa naona kama ni utamaduni umezoeleka bibi harusi wengi wanakuwa na mimba tayari.Nimehudhuria harusi nyingi sana na kugundua bibi harusi karibu wote tayari walikuwa na mimba...
0 Reactions
40 Replies
3K Views
Hii imekaaje wanaMMU, Unakuta mwanaume kaachana na mkewe wa ndoa kisha akaoa, ilakwenye documentation anawaandika mke wa ndoa na watoto ila Bi. Mdogo ndo hivyotena haandikwi wala hana reference...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom