Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wadau wa The Team Mtakuwa mnamfahamu. Akiwa Mkeo huyu lazima kila siku uwe unarudi saa 8 usiku halafu saa 12 unaondoka au ukahama kabisa nyumba. Ladies! don't be like this!Mcheki Episode ya Tisa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Kuna wanaume very good men wenye nia nzuri ila ndo hivo tena codes na ethics za mchezo wa malavida hawazielewi sasa kujikuta...
3 Reactions
74 Replies
12K Views
Ni hali ngumu ya uchumi? Ni kwenda na wakati? Ni kuporomoka kwa maadili? Ni biashara? Au ndio kutafuta kuolewa? Niko kwenye sherehe ya send off Urafiki Social Hall. Sio kama ni mgeni wa...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Kila M2 anasema anataka kuolewa na mwanaume mwema,mzur na mwenye tabia njema... swali ni je hawa mnao wachuna na kuwasaliti sasa hv nan watamuoa?????
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Iliwahi kujadiliwa hapa jinsi baadhi ya wanawake wanavyofake orgasm. Sas naona wameadvance, na wanafake mimba aisee. Hii inafanyika sana pale msichana anapogundua kuwa uhusiano alimo hauna nafasi...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
We stress over our jobs, our relationships, our finances and our friendships -- and unfortunately, even our bedrooms can become a breeding ground for anxiety. Séx may be touted as one of the...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mke wangu hatak kushirik tendo la ndo nami hata siku ambazo hayupo period eti akidai kua mtoto ataharibika...kuna ukweli wowote kuhusu hili jaman????
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Despite the fight in life,yet same life goes on.
0 Reactions
4 Replies
746 Views
1. Muheshimu anayekununulia 2. Muamkie mtoa ofa kabla hujakaa kitini 3. Uwe ndie mchekeshaji wa kikao, lakini usimkatishe mazungumzo anaetoa ofaa 4. Daima jitolee kufuata na kubeba vinywaji toka...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Mshikaji akiwa safarini kapoteza Pete ya ndoa. Anasema aliingia chooni kujisaidia. Akaivua akaitundika kwenye bomba ili wakati wa usafi isichafuke. Sasa alipotoka akaisahau, alipokumbuka akarush...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hiv ni sahihi mtoto kuona baba na mam yake wanafanya mapenzi? Mtoto wa miaka miwil,.Hajui hata kuongea vizuri, Kwa huu umri atakuja kukumbuka alichoona?
0 Reactions
36 Replies
38K Views
Habari wanaMMU, Naomba leo tujadiliane kuhusu issue hii ya mama wa kambo. Naamini humu ndani ya jamvi kuna waliowahi kuishi na mama wa kambo au wao wenyewe wamejikuta wanaitwa mama wa kambo kwa...
0 Reactions
39 Replies
6K Views
Kissing is so great.. it is a painkiller, mentally, emotionally as well as physically.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
To every successful man, there is a very complicated woman who is causing a headache behind!. Bobi Wine-Uganda
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Shkamoooni wakubwa. Hiii inakuwaje lakini. Unakuta umetoka katika familia ya kimaskini mama anahangaika anapika maandazi chapati anauza mnapata rizki unakula na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kiukweli huwa nawaheshimu sana wanawake wanaojiheshimu, maana usipojiheshimu hautoheshimiwa hawa Kwa madada zetu inaniuma sana kuona Dada mwenye Akili kwenda kufanya mapenzi na Mbwa.kisa pesa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
mara nyingi wanaume wanalalamika wake zao wakishazaa watoto mapenzi huanza kupungua kwa baba, km mlikua mna do sex mara mbili kwa wiki inakua mara mbili kwa mwezi, tatizo nini jamani?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
It is said we need three things to be happy: relationships, occupation and recreation. In other words, we need to love, work, and play. Under the stress of our modern lifestyle, we tend to focus...
1 Reactions
6 Replies
869 Views
Kissing is so great.. it is a painkiller, mentally, emotionally as well as physically.
0 Reactions
0 Replies
524 Views
Back
Top Bottom