1. Wana Nguo Nyingi Kuliko Wanaume.
2. Wanafahamu Nani Ni Baba Halisi Wa Watoto Wao.
3. Ni Wepesi Kupenda Na Wakipenda Hupenda Kweli.
4. Wanaoga Mara Nyingi Zaidi Kwa Siku.
5. Wana Huruma Sana...
Wakubwa heshimaa zenu Wadogo zangu Habarii ya nyiee!!! Jamanii mimi ni mvulana mwenye miaa kadhaaa , najishugulisha na kazii zilizoo mbele yangu zikiwemoo za kujenga Taifaa sasa nilikuwa naomba...
mwenzenu leo nimetonozwa na gegedu mwenzangu eti anadai amevutiwa na mimi na ananitaman nisaidien jaman nimeshindwa hata kula sababu ya mawazo sijui hata nifanyeje nilitaman hata kujiua maana...
Kiukweli napenda kusema mapenzi yana fanya mtu kupoteza uhai wake maana baada ya mama yangu kumuacha baba yangu ndipo baba kufariki na presha na kujikuta sina la kufanya na sina pa kwenda mpaka...
Siku hizi imekuwa kawaida kuona au kushuhudia watu wazima bila staha au aibu wakibanjuana au kufanya ngono kwenye magari au Bajaj, hii inachangiwa haswa na nini? Je ni safe kuliko kwenda Guest au...
Hiyo ni sms nimetumiwa jana na mpenzi wangu ambae niko kwa takribani mwaka 1,kwamba tangu tunaanza nae tayari alikuwa ameathirika ila alifanya makusudi kuaniambukiza kwa kweli usiku sikulala...
Heshima yenu wakuu.Tangia mwaka jana nlikua nimefanya uchunguzi binafsi wa swala hili na kugundua kuwa wanawake wanao badili rangi ya nywele zao na kua ya dhahabu unakuta asilimia kubwa...
habar wana jf.
nina rafiki yangu ameolewa miaka 5 iliyopita.kabla ya kuolewa alikuwa na mtoto mmoja,shida aliyonayo ni kwamba toka aingie kwenye ndoa mume wake hasimamish kabisa.hivyo hutumia...
Naandika nikiwa na kilio cha jitimai na majonzi yasiyoisha milele.
Mwezi desemba mwaka jana nimefunga ndoa na mke wangu.
Lakini tangu tufunge ndoa nikawa na mashaka na mwenendo wa mke wangu...
Nimekuwa kwenye uhusiano na mpenzi wa roho yangu kwa takriban miaka mitatu.
Kwa kipindi chote hicho tumekuwa tukiishi mikoa tofauti. Yeye anafanya kazi Babati na mimi nafanya kazi Dodoma.
Licha...
Wakubwa Shikamooni,---
Wadogo habari zenu.
Kuanguka na kupiga makelele kwa watoto Mashuleni hasa wa kike, nini kinacho sababisha hali hio? nikwanini wakike? na nini kifanyike kuwa nusuru...
Hi!
Kwa kuwa wadada wengi wanakuwa wamepoteza bikira zao kabla ya ndoa basi hali hiyo inasababisha wanaume wengi ku test mashine zao kabisa kabla ya kutangaza ndoa ili angalau wapate K iliyo...
++
Elimu ambayo ilitarajiwa iwajenge vijana waipende ndoa na kuthamini maadili yake,,sasa ni wazi mambo hayako sawa kama yanavyoonekana.Inawagawa wasomi walio vyuoni ktk makundi yafuatayo;
++...
jamani mimi naomba niwaeleze huu mkasa unaonikuta mimi, hapa kwetu kuna msichana wa kazi ambaye kiukweli tabia zake zinanikera sana, anatabia ya kukaa vibaya na kuonesha (IKULU YAKE) kikweli...
Nakereka sana na baadhi ya wafanyakazi wanaotumia ofisi zao kufanya mapenzi. Wanakaa muda mrefu wakisubiri wenzao watoke ofisini wala hawaangalii kama wanyakazi wengine wapo.
Habari zenu wana jf, km ni wazima w afya bas hii ndo furaha yetu sote. Mwenzenu kuna binti nimempenda sana na ni bint ambaye nataka nimuandae kwa kumuoa lkn nakuwa bize sana na kaz, hata nikipata...
Jana nimehudhuria ulipwaji mahari wa jamaa yangu... lakini mara baada ya familia kupokea mahari waooji wakasema wanatarajia kuoa mwezi wa Desemba mwaka huu, cha ajabu mzazi wa binti anauliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.