Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Mapenzi ya mbali yashanichosha sijafika mbali mienzi kadhaa tooo. Naogopa kumwambia nimechoka siwezi tena sijui itakuwaje wadau ushauri. Si atanichukia maana kanambia hawezi kuowa tena nikimuacha...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
mimi nina mchumba wangu nmpenda xna lakin nna chllenge moja hataki tufanye mapenzi andai yeye ni bikra nkfanya nae ntamfundsha vbaya lkn mi na wacwac cyaamin mawzo hayo ht hvo mi nko mbli nae bc...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Having a good woman by your side as your girlfriend is always nice. In fact, it is a dream of every normal man in this world. The right woman is a woman who can make you grow into a better man...
5 Reactions
14 Replies
3K Views
Niaje humu ndani?Am new here guyz n i need som friends 2 cht with n xchange som ideas
0 Reactions
0 Replies
896 Views
Leo naomba tudiscuss hii ishu ya kudate(kuwa na mahusiano ya kimapenzi) na rafiki yako wa karibu. Kwanza naomba nitangaze maslahi binafsi,mimi mke wangu kabla hatujaanza uhusiano wa...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Katika ndoa mwana ndoa mmoja (mwanaume) akiwa hatumii pombe lakni mwanamke anatumia kutakuwa na athari zozote zitakazoweza kupelekea ndoa kuingia ktk migogoro???
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Hili huwa najiuliza bila majibu, Kwanini hasa inapofika kipindi cha kutafuta mwenza huwa tunachagua aliyemzuri wa sura na mrembo asilia ama dukani? Jambo hili lipo kwa binadamu wa jinsia zote.
0 Reactions
38 Replies
6K Views
*Wadau wa JF, MMU, naomba mnipe mwongozo kwa hili la mpenzi wangu. *Kuna mambo mawili yamejitokeza hv karibuni: * kwanza, juzi alinipigia simu[hatuko mkoa mmoja, anasoma] na katika maongezi...
0 Reactions
47 Replies
7K Views
Mungu ni mwema sana na ni waajabu pia, matendo yake hayaelezeki,yanatisha na wakati mwingine ukimtafakari sana unaweza usifike mwisho wa tafakari yako. Na mwisho uwaweza sema kweli Mungu ni wa...
40 Reactions
78 Replies
8K Views
Habari zenu wana MMU, I salute you all!!!! Kichwa hiki cha habari kimenifanya nikumbuke tangazo moja la mtandao wa simu za mkononi, hapa kazini kwetu imetokea kweli yaani habari yenyewe ilikuwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
1. Mwanamke atembee na kalamu ya chuma mkononi tayari kuwatoboa macho. 2. Tembea na kikopo cha ----- (kijijini) 3 Uwe na kucha za kuwaparua kwa ajili ya DNA test 4 Tumia kiatu chako cha stilleto...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Wana JF, Kuna kisa kimoja ambacho ni issue live mwanamke kaachana na Mumewe na kurudi kwao na kupangisha chumba chake ila hakai hapo ni anakaa kwao na kisa kagundua Mumewe ana Mwanamke mweingine...
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Habarini ndugu zanguni wapendwa?Tunamshukuru yule mweza yote muumba kwa kutuweka tukiwa hai na salama siku hii ya leo ambapo tunaendelea kuivuta hewa yake safi na kujadili mambo mbalimbali...
3 Reactions
183 Replies
25K Views
Mimi ni kijana mwenye miaka 21 nimekaa na mpenz wangu zaidi ya miaka minne..na katika faragha uwa nampa haki yake kisawasawa, lakin toka nimeachana nae kila nikichukua mwanamke mwngne mashne yang...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
mambo jamn,ndo hivyo nimepigwa marufuku kutumia internet hapa msaada pls.
0 Reactions
42 Replies
3K Views
Usisubiri shukrani. Ilikuwa pasaka ya mwaka 2007 usiku wa saa saba usiku. Nilikuwa natokea kwenye mizunguko ya pilikapilika ya pasaka kama ilivyo kawaida ya sikukuu ndani ya bongo. Nilifika kawe...
4 Reactions
14 Replies
3K Views
You probably are well aware of the fact that orgasms occur because of muscle contractions in the body, combined with an increase in blood pressure.A result of intense pleasure, when it comes to...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF,katika kipindi cha hivi karibuni nimegundua mpenzi wangu ana mahusiano na mtu mwingine japo wako mbali mmoja yupo Dar na Mwingine Arusha,hawa watu wanafamihamina kwa muda mrefu ,sina...
1 Reactions
43 Replies
7K Views
Hay wanajamvi wenzangu Leo mwenzenu nimeona nifurahi zaidi ya kfurahi kwa jambo ambalo Mungu amenitendea leo mwenzenu,nimebahatika kukutana au kuona jambo langu ambalo nilimwomba Mungu kwa muda...
7 Reactions
38 Replies
3K Views
Back
Top Bottom