Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habarini wana MMU. Namtafuta kaka mmoja aitwae Arafati Tengeneza, ambae alikuwa anasoma na amemaliza Form 4 Chidya Boys Sec. School kwenye miaka ya 2003 au 2004 kule Masasi Mtwara. Kama kuna...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Although the pornography industry reportedly generated a staggering $10 billion per year at one point, the blue movie biz may be plagued by the age-old looming specter of racism. Based on the...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Hapa najua hamna jambo laweza haribka,hasa ukizngatia kuna GT in love affair!!! humu ndan Katika mapenz kuna matmz ya experience yoyote ambayo umewah kupata katka mapenz?, Nalazmka kuandka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwanaume cash ,nyumba iwe cash gari cash .heri mpande mabasi kuliko kufinance Vipi.its irresponsible way of living .Kuepuka matatizo ya ndoa kelele use cash .huna pesa panda basi ,kunywa chai na...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Sasa hivi kuna trend kubwa ya wasichana ambao kidogo unakuta wamejaaliwa kupata walau kipato cha kawaida tu na kuamua kutoka nyumbani kwao kwenda kupanga chumba..... Je hili mnalionajae liko...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
habari wanajamvi... Nina mpenzi wangu, nampenda saana, we have been dating for 1 year and 9 months now. Hatujawahi ku-doo. At the early stages of our relationship, i once cheated, na nlimuumiza...
0 Reactions
73 Replies
6K Views
Wanaume saa ingine muwe mnayabana mioyoni.......yafuatayo ni maneno ya mkaka baada ya kuandamwa kuhusu utambulisho "Ndo kwanza mna wiki 8 unaanza kumuuliza maswali kibao,ooh utanioa lini,lini...
14 Reactions
31 Replies
4K Views
Nina miaka 27, nafanya kazi mkoa fulani Hivi karibuni nilipata mchumba wa kipare nikaamua nimuoe lkn kwa bahati mbaya au nzuri nishindwa kumuelewa kwasababu 1) ni mvivu sana nilienda kwake yaani...
1 Reactions
93 Replies
7K Views
Men, Look at Yourself and Now Look at Your Ring Finger – is It Longer than the Index? According to a study that was published in Discovery Magazine, men whose ring finger is longer than...
5 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari za jioni Wana MMU. Poleni na uchovu wa kurudi kazini na uchovu wa Pasaka. Mie ni mzazi wa ka baby kenye umri wa miezi 6 na nusu. We are doing okay tunamshukuru Mungu. Tatizo ni kwamba...
1 Reactions
41 Replies
3K Views
I hope ni wazima wanajf,katika pitapita zangu nimegudua kitu kuhusu kiss, mara nyingi mkiwa mnapiga kiss na mpenzi wako hasa kiss ya face 2 face mmoja au wote lazima mfumbe macho, ni kwanini...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Hamjambo waungwana wangu Mwenzenu leo sasa nimeingia kwa kupindapinda na kunyooka kiasi Ishu niliyoingia nayo leo ni khusu hawa ndugu, marafiki, makaka na mababa zetu kiujumla sitaki kuwaita...
4 Reactions
69 Replies
6K Views
Bandugu nna hakika mko poa sana,, pamoja na majanga ya kitaifa yanayotupata... maisha lazima yasonge.. Naomba tusaidiane hii kitu: Jamaa alikuwa anasafiri,, wakati anapack, mahabuba wake (mkewe)...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Siku hizi kuna idadi kubwa sana ya madada wenye vitambi (siyo mimba).Ni bia za OFA hizo. Asilimia kubwa ya madada hawa ni hatari kwa kupenda OFA za bia. Aisee wanakunywa bia haoooo....che che che...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
1.The Whispers- And The Beat Goes On 2.Prince- When Doves Cry 3. New Order- Blue Monday 4.Salt n Pepa- Push It 5.Bon Jovi- Living On a Prayer 6.Michael Jackson- Billie Jean 7. Run DMC and...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
As far as stereotypes go, a wandering eye and the urge to jump into bed with multiple partners seems to be built into a man's DNA, but when it comes to cheating, the sexes are created more equally...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanawake wenzangu msijirahisishe kwa wale age yangu mnamo 20 someni sana maisha yanavoelekea sasa tofauti na watoishi wazazi wetu. Wanaume hawako serious wala msimamo kwa ajili yako.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
{Kisa chenye kusisimua} Maisha kati ya wanandoa ni maisha yanayo hitaji ikhlashwi na ukweli toka moyoni na subra ya hali ya juu, ... na yatakiwa kila mmoja kati ya wanandoa awe tayali kwa lolote...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
naomba kama kuna m2 anajua mwanamke ambaye siku zake za kupata hedhi zinabadilika badilika anaweza kupata mimba siku zipi?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni kweli kuwa sio jambo jema kwa mabinti kung'ang'ania mashugadadi na kuwatosa wachumba ambao wana nia ya kuwaoa On the other hand, nashindwa kuwalaumu baadhi ya mabinti ambao ugumu wa maisha ya...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom