Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Hay marafiki zangu; natumai mu wazima wa afya na mnaendelea vyema na shughuli zenu na masomo kwa wale wanaosoma na biashara kwa wafanyabiashara, nawatakia kheri na fanaka naa ufanisi wa hali ya...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Wadau, jana niliwaombeni ushauri juu ya binti ambaye alikuwa mchumba wangu, lakini hakuwa mwaminifu, alilala kwa mwanaume mwingine toka ijumaa hadi jumapili na baadae kuja kuomba msamaha! Leo...
5 Reactions
120 Replies
10K Views
A highly sex-hungry man who collapsed and died while having sex with a prostitute was killed by "sexual sweetness" in Malawi, a police spokesperson said. Reports from Malawi alleged that...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Jamani sio utani hili tatizo nilianza kama miaka minne mpaka sasa bado ninalo nimejaribu ila nimeshindwa kuacha mpaka sasa ...mpaka nimefika mwaka wa tatu chuo ....yaani ninapiga puchu mpaka...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Wadau salaam, Naandika hii with a clear knowledge of the ancestors' saying that:"Patience pays." But I sat back and thought...how long should you wait? I just lost her...and may be I may not have...
0 Reactions
123 Replies
8K Views
Nimemkuta mke wangu gesti na mwanaume mwingine tar.23.01.2013 hadi leo sijamuuliza na niko naye kama kawaida nimfanyeje?naombeni ushauri wenu.
1 Reactions
67 Replies
6K Views
Dalili za kupenda kupita mipaka; ukiwa na tabia hizi faham kwamba unatoka kwenye Kupenda kawaida unaelekea kwenye kupenda kupita kiasi ( From love to loving too much). Ebu tupia na wewe mawazo...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Kuna msemo katika Kiswahili kwamba, kipya ni kinyemi. Msemo huu una maana kwamba, kitu kikiwa kipya huvutia sana na wakati mwingine inakuwa kama vile tunaamini kwamba, hatutaweza kamwe kupunguza...
15 Reactions
68 Replies
7K Views
Upo njiani na gari lako Ukiwa umetoka mahakamani kushuhudia hukumu ya rafiki yako ambaye amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kesi ya kumpa mimba mwanafunzi huku akiwa amesingizia kwani sio...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Uchunguzi unaonyesha, wanawake weusi ni moja wapo kati ya sababu kuu zinazo wafanya vijana weusi kutukuza wanawake weupe ( wazungu ). Picha hii inajielezea yenyewe. USHAURI ...
4 Reactions
22 Replies
7K Views
Hi wana jf mwenzenu naumwa jaman yan nimelazwa alfajili ya kuamkia leo nina malaria na typhoid.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ama kweli siku hazigandi, alijiimbia Lady JD. Nikikumbuka miaka ile nikiwa kijana shababi mwenye siha nzuri, kipindi hicho, mkate wa Boflo kwa mpemba ulikuwa unauzwa hela kumi. Wakati huo...
29 Reactions
141 Replies
9K Views
Habari za usiku wanajamvi Hua na choshwa na baadhi ya tabia ya ndugu zetu. Mimi nilialikwa kwenye kikao kimoja cha harusi ya mtoto wa mama mkubwa na niliweza kuhudhuria vyema sasa kikao...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa hisani ya BBC! Many men are never taught how to talk to women. Because of this many guys go through life without the ability to attract a woman. Here are 15 tips to help make sure you aren’t...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Poleni na mishemishe za siku wanajamvi! Hivi kwanini wanaume tunakuwa wachafu kiasi hiki?????? hii ni kero kubwa sio tu kwa yule mtu wa karibu na mhusika bali hata jamii kwa ujumla. Utakuta mtu...
6 Reactions
54 Replies
8K Views
Wadau, Daily News imetoa story kuhusu biashara ya umalaya mjini Dar es Salaam. Lakini umalaya ni tatizo nchi nzima. Mchana na mnajua lunch ndefu (saa 6-saa 8) gesti zote zimejaa! Bukoba gesti...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
wadada ambao wako in their mid 20th hasa ambao wako chuo utasikia wanakwambia wanapenda married men kwa sababu uwa hawasumbui, wanajua ku take care, na sababu zingine mia kidogo. tatizo uwa...
19 Reactions
33 Replies
3K Views
1. Free yourself from negative people 2. Let go of those who are already gone 3. Give people you don't know a fair chance 4. Show everyone kindness and respect 5. Accept people just the way...
0 Reactions
1 Replies
830 Views
Habari zenu ndugu zangu wadau wa MMU? Ni matumaini yangu kuwa wote mu wazima. Mimi nipo bukheri wa Afya. Leo ningependa tujadiliane na kushauriana kuhusu suala la vijana wa kiume kuamua kuoa...
4 Reactions
77 Replies
11K Views
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Mpanda imemuhukumu Kassim Lugendo (41) mkazi wa Kijiji cha Kambanga kifungo cha miaka 10 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumnyonya ulimi msichana mwenye...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom