Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Rafiki yangu mmoja ana miaka takriban ishirini kwenye ndoa ya kikristo. Hakuwahi kupata mtoto kwenye ndoa yake. Baada ya kukaa kwenye ndoa miaka kumi na mitatu, akakutana na dada mmoja muislamu...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
waleo sijui wamekuwaje hawana mapenzi ya kweli waleo sjui wamekuwaje wa poteza dira kwa mapenzi ya kwenye vidoe waleo sjui wamekuaje wana kuwa na muonekano feki kuanzia nywele,nyusi midomo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau mm nina umri wa miaka 26 now, nimemaliza Sheria Chuo Kikuu Mzumbe ila sijabahatika kupata kazi bado. Imetokea nimependana sana na dada mmoja ambaye ni Kaimu Mchumi wa Halmashauri fulani ya...
1 Reactions
128 Replies
11K Views
L ove + Care = Mother Love + Fear = Father Love + Help = Sister Love + Fight = Brother Love + Life = Wife / Husband Love+Care+Fear+Help+Fight+Life = Friends
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ukitaka Kubadilika Badilisha Pia Mfumo Unaotumia Kuwasiliana Na Watu, Jifunze Kuwasiliana Vizur Na Watu. Kila Siku Tafuta Nani Umjue Na Nani Uwasiliane Vizur, Hata Kusema Asante, ni kitu kikubwa...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Hbari zenu wanajamii forum kuna rafiki yangu mmoja yupo katika wakati mgumu sana baada ya x wa boyfriend wake kugoma kukubali matokeo kwamba wameachana kwani mdada analazimisha kuendelea na...
1 Reactions
26 Replies
5K Views
Binti huyu namtafuta nilipotezana nae mwaka 2011 udom baada ya kuhitimu masomo plz kwa anayeweza nipatia contact zake anipe kupitia hapa au number 0657371095 yeye ni mwenyeji wa mbeya.
0 Reactions
42 Replies
4K Views
kuna huyu mama mume wake ni mtu wa kusafiri sana.. mume akiwa safarini kumbe mke akawa anatoka na mwalimu wa chekechea anakosoma mwanae..alitoka na huyo mwalimu ili asamehewe ada ya mwezi sh elfu...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Love is an act of endless forgiveness, tender look which becomes a habit. By peter ustinov. love means to commit oneself without guarantee, to give oneself completely in hope that your love will...
1 Reactions
4 Replies
941 Views
Cell phones offer brilliant advantages, but they also present users with problems. Chief among them: Making the user overly accessible. Many love affairs have been killed by wireless technology...
1 Reactions
1 Replies
843 Views
MKAZI wa Kijiji cha Borenga katika Kata ya Kisaka wilayani Serengeti, Nyaraya Chacha (65), amemkeketa kwa siri usiku Esta Ouru (13) aliyemuoa hivi karibuni kwa madai kuwa asingeweza kushiriki naye...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
This picture of Bubba Watson's baby boy will make your heart extremely happy By Shane Bacon Posts Website Email RSS By Shane Bacon | Devil Ball Golf – 14 hours ago Email...
0 Reactions
0 Replies
968 Views
Edgar bantulaki and Deogratius Sizimwe aka Prince Sizimwe..hawa jamaa nilisoma nao elimu ya sekondari nchini Uganda, me nikaendelea chuo makerere, edgar alirudi TZ, Sizimwe alienda amerika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
huu ugonjwa wa kisonono aisee unanisononesha sana na kunipa mawazo sababu anarudi toka safari na akirudi lazima atataka penzi maana analalamika kwamba nyege alizokua nazo akirudi anataka kama siku...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
mimi ni kijana ambaye nimemaliza chuo mwaka juzi, kipindi nikiwa chuoni nilibahatika kuwa na mchumba aliyekuwa ametokea Canada, tulipendana sana, ila mwenzangu alinionjesha mambo ya kigeni(tigo)...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Hello JF!!am a lady 24 by age. Kuna kitu kinanishangaza sana,toka mwaka huu uanze nimekuwa natamani sana and wishing to get married.Sometimes utakuta nimekaa peke yangu naanza ku fantasize kuhusu...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Nilipoingia katika mahusiano naye nilimuamini,nikampa kila kitu nilichoweza. Nakumbuka enzi zile nyumbani tulikuwa tuna ng’ombe, niliiba maziwa kila siku na kumpelekea kwao. Akanenepa!! Penzi...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
WANAUME kwenye Semina Wakaulizwa! Mara Ya Mwisho kumwambia Mkeo UNAMPENDA Ni Lini? Wengi Wakasema Leo Asubuhi. MWEZESHAJI Akawaambia Kila Mtu Sasa Hv Amwandikie Mkewe Msg Amwambie "NAKUPENDA MKE...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wana JF! Kuna wengine waliamua kubeba mimba/kumpa binti mimba kabisa ili waolewe wakiwa na imani kwamba siku zote upendo hujengeka kadri watakavyokuwa karibu, kwa kutumia njia hii wengi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
MABINTI WASHINDANA KUONESHA CHUCHU ZAO.... Hii inaitwa Wet T-shirt Competition msichana anamwagiwa maji akiwa amevaa t-shirt nyepesi mpaka chuchu zake zionekane vizuri... Tamasha hili...
8 Reactions
104 Replies
71K Views
Back
Top Bottom