Tangu juzi nimepoteza kabisa mapenzi kwa mke wangu kutokana na matatizo yake na sitaki hata kuongea na kwani bado nina hasira sana na yeye naisi nikiongea naye atanijibu kitu kibaya nikafanya...
Between 18 and 22, a woman is like Africa. Half discovered, half wild, fertile and naturally Beautiful!
Between 23 and 30, a woman is like Europe. Well developed and open to trade, especially for...
..while everyday here tunasoma vibweka na sarakasi za wanandoa,wachumba,marafiki na vimada but still life should go ON!!
just to inform you lara1 na wenzako that nimefanya booking ya wedding...
mpenzi wangu ananiambia tuachane bila sababu na sijawahi hata kumwambia swala la kufanya mapenzi lakini basi tuu ananiambia tuachane bila kosa lolote nifanyeje maana nahisi kuchukia mapenzi
Nauliza mujuao, Mulio na nyingi fani
Watu na elimu zao, Magwiji na Magogeni
Nimekwama hadi leo, Mebaki mushkelini
Unaopenda ni moyo, Au akili kichwani?
Wengi...
Ni ushauri kutoka kwenu wana jamii...maana nina rafiki yangu...yeye anapenda sana totoz ila hasa wake au wapenzi wa watu wa karibu naye hasa mabest zake...sasa amenisimulia hali hiyo pamoja na...
mimi ni msichana ninakaa na baba mtoto wangu hatujaoana lakini tunamtoto wa miezi mitatu sasa, baba mtoto wangu ni kijana ambaye anajipenda sana yani yupo very smart sijawahi kuona kijana...
Wapendwa wana jamii naomba nifike kwenu japo kwa neno la faraja na ushauri maana mpenzi wangu tumekuwa pamoja kwa muda wa miaka miwili sasa...takribani miezi miwili kuna siku nilimshauri tabia ya...
Salaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam..................
Yamenikuta jamani.
Nikweli nampenda kwa dhati hata yeye ananipenda kwa dhati kiufupi ni kwamba tumeshibana
I mean we are in deep love. Hivi...
Ogopa Sana Mtu Anayekuwa Na Wewe Kwa Sababu Haoni Chaguo Lake. Adhabu Yako Ni Kubwa Mbele Ya Safari Ingawa Unaweza Kujiona Upo Kwenye Bwawa La Asali Mwanzoni. Kiama Chako Ni Pale Atakapomuona...
Ni kitu gani hutokea hadi mtu una deny jambo ambalo ni facts hasa mwenye mahusiano? what makes our eyes and ears closed?? kwa extent ya kuja kujuta baadae??
je mtu una deny jambo kwasababu gani...
Researchers from the University of Cambridge and Microsoft Research have been quietly (and innocuously) collecting data on Facebook user likes and personality traits using applications like...
Hii ni kwa wanaume na wadada pia mnaweza kuchangia
Hivi mwanaume mwenye mapenzi ya dhati kwa mpenzi wake ambaye anataka awe mkewe (yaani afunge naye ndoa) ana act vipi kwake? kimatendo...
Ninakushukuru Mungu Baba Mwenye Enzi, muumba wa mbingu na nchi utupaye uzima na kutujalia shibe. Ninakushukuru kwakuwa umenijalia kuifikia siku hii ya leo muhimu ninapotimiza nusu karne duniani...
wakuu demu wangu kaamua kuniacha , nipo nae hu n mwaka 3, na mwez 1 this year alinitambulisha kwa mama yake , na mama yake maneno aliyotuambia muheshimiane , msichezeane alafu mkashindwa kufika...
Asalam aleikhum wanaume wote. Wanaume wengi wa mujini wamekuwa wakisifiwa sana na watu back kwa ukarimu wa bia, michango mikubwa ya send-off/harusi na kwenye sector ya kula bata. Napenda...
Nimekuwa nikisema kwamba wanawake ni wakatili sana, nao wakaja juu na kusema kwamba eti wanaume ndo wakatili zaidi. Sasa haya anayafanya nani? Wanaume tunapigwa, tena kisawasawa tu, watoto ndo...
Wana JF,
Kuna thread nyingi sana humu ambazo wanawake wamedai wanawapenda wanaume wenye pesa, magari and kupenda kuolewa na mwanaume ambaye ana nyumba, tena sio hiyo ya pale Gongolamboto au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.