Wakuu nilienda kuchumbia kwa binti mmoja wa kisukuma/ mnyantuzu huku maeneo ya bariadi na wakaniambia nitoe 4.5milioni nimejikakamua nimetoa 1milioni na binti ni msukuma/ mnyantuzu na ni msabato...
Salaam wakuu,
Niko mwaka wa pili chuo "X", huyu Lecturer ni mwanamke na pia ni Profesa. Amekuwa rafiki yangu kwa muda wa mwaka moja sasa, huwa nachat nae sana hadi zile sms za kimapenzi lakini...
Habarini za weekend Watanganyika, mwaka Jana nilikutana na dada mmoja mmoja Wilayani Bunda ambaye mmewe ni mmiliki wa hiace zinazoenda bunda-kibara-kisorya. Baada ya kupeana mawasiliano tukaanza...
Habari ndugu zangu..
Mimi kijana wenu sipingi ndoa maana ndoa kwangu ni baraka, hivyo nimekusudia kwa akili zangu timamu kuoa.
Siku kadhaa nilileta kwenu huu uzi kuomba ushauri wa hali na mali...
Ndugu zangu nitawasalimia baadae kuna swali najiuliza, hivi inakuaje mwanamke yupo tayari kutembea na mume wa mtu ila siyo yule aliye single?
Yaani unakuta anaongozwa na jamaa ana mke wake au...
Mwanzo wa mahusiano mengi huwa ni bora na imara sana. Lakini kwa bahati mbaya si kila mahusiano yanaendelea na ubora huo.
Mahusiano mengi huanza kwa mbwembwe nyingi sana lakini mwisho wake ni...
Hello .
Kucheat kwa mwanaume ni kitu cha kawaida .
Karibu Tupeane mbinu mpya za michepuko.
1..Kuna umuhimu wa kuwa na WhatsApp mbili.
2.Kuna App ya Calculator ya muhimu Sana kuwa nayo unaweza...
1. Kuwa na uhusiano wa kingono na mwingine (sexual cheating). Huu wengi mnaujua. Na ndio kiwango cha juu kabisa katika udanganyifu. Lakini zipo aina nyingine.
2. Kuficha mapato na matumizi...
GHETTO LANGU LILINISALITI; MREMBO AKANIKIMBIA!
Anaandika, Robert Heriel
Vijana jijengeni! Wekeni mambo yenu Sawa kama mnataka hizi pisikali! Wanawake hawana Jema! Wengi ni materialists...
Salute wakuu
Kuna dada ni rafiki yangu na amekua akinishirikisha mambo yake mengi ya ndani.
Huyu dada aliachwa na jamaa yake ila kile kibuti cha jamaa kidogo kiondoke na roho ya dada, aliteseka...
Hello MMU.The Love Connect ndo jukwaa kwa ajili ya kutafuta wapenzi/girlfriend Ila najaribu kujiuliza kama kweli kuna mtu alishawahi kubahatika kupata Girlfriend/Boyfriend hapa JF kupitia JF.
Sio...
Nimegundua wife alichepuka akabeba mimba na kujifungua mtoto hafanani na mimi baba yake wala mama yake
Hapa nimekaa na mtoto hadi miaka miwili imefika
Nipo njia panda nimuache wife na mtoto au...
Kuna watu humu walianzisha mahusiano kwa mbwe mbwe sana, mpaka sisi ambao hatukuwa na mahusiano tukajiona labdo dunia hii sio sehemu yetu sahihi ya kuishi.
Ilikuwa kila sehemu wakipitia nyuzi...
Habari yenu wandugu.
Hivi ni wangapi kati yenu baada ya muda kupita tangu kuanza mahusiano/kuingia kwenye ndoa zenu mmewahi kukaa chini ma wenzi wenu na kuwauliza mahusiano yenu yanaendelea...
Wazazi timizeni wajibu wenu. Mzigo wa kuwatunza mabinti zenu wamebebeshwa vijana ambao bado wanajitafuta
Mahusiano ya kimapenzi yamekua liability kwa kijana wa kiume. Vijana wa kiume wanashindwa...
Ndoa nyingi za siku hizi zinavunjika kwasababu zinaendeshwa kidini katika ulimwengu wa kisasa.
Ndoa za kileo zinafaidisha wanawake zaidi kuliko wanaume, ukweli mchungu zaidi ni kwamba sheria...
Habari zenu wakuu,
Inakuwaje mtu ameoa, yupo na mkewe wanaishi nyumba moja na wanapeana tendo la ndoa kila siku, lakini huyu mwanamke kamkuta mume wake kalala uchi kapiga punyeto na aliweka na...
Ukweli mchungu ni kwamba smart potential spouse wapo wachache sana Sokoni
Ukiwa na akili kubwa kupata mke Tanzania ni ngumu sana. Mpaka ujishushe ukubali kuoa kilaza
Sababu ukiwa na akili...
Kwanza nawaombe Mods msiufute huu uzi. Maana una umuhimu na mafunzo makubwa sana kwa sisi wanaume.
Baada ya kutoa angalizo hilo, basi niende moja kwa moja kwenye kuzijadili sasa hizo kanuni moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.